-
Machafuko yasababisha kufungwa shule nchini Sudan
Jul 31, 2019 03:45Muhyiddin al Jaali Mkurugenzi wa Wizara ya Elimu na Malezi ya Sudan ameagiza kufungwa shule kote nchini humo baada ya kuuawa wanafunzi kadhaa katika maandamano ya Jumatatu wiki hii.
-
Kuendelea uingiliaji wa kigeni nchini Sudan
Jul 30, 2019 23:09Huku mgogoro wa kisiasa ukiendelea nchini Sudan, uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umeongezeka kwa kadiri kwamba baadhi ya nchi za eneo zikiongozwa na Saudi Arabia zinafuatilia kwa nguvu zao zote suala la kuwa na ushawishi mkubwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Waandamanaji watano wakiwemo wanafunzi wauawa nchini Sudan
Jul 30, 2019 03:13Waandamanaji watano wakiwemo wanafunzi wanne wameuawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya jana nchini Sudan.
-
Wananchi wa Sudan waandamana kulalamikia ripoti ya mauaji ya Juni 3 mwaka huu
Jul 28, 2019 07:30Wananchi wa Sudan wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum kulalamikia ripoti ya Kamati ya Kutafuta Ukweli kuhusu mauaji yaliyotokea nchini humo tarehe 3 ya mwezi uliopita wa Juni.
-
Baraza la kijeshi la uongozi wa mpito Sudan laahidi kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa
Jul 28, 2019 02:59Baraza la kijeshi la uongozi wa mpito la Sudan limetangaza kuwa limeamua kuwaachia huru wafungwa wote wa kisiasa wenye mfungamno na Muungano wa Uhuru na Mabadiliko wa nchini humo.
-
Sudan yasambaratisha jaribio la mapinduzi; yawatia mbaroni maafisa kadhaa wa jeshi
Jul 25, 2019 06:34Jeshi la Sudan limesema kuwa limesambaratisha jaribio la mapinduzi na kuwatia nguvuni maafisa kadhaa wa ngazi ya juu jeshini kwa kuhusika na njama hiyo iliyokusudiwa kukirejesha uongozini chama cha Omar al Bashir, rais wa Sudan aliyeng'olewa madarakani.
-
Mazungumzo baina ya mahasimu wa Sudan yapiga hatua nzuri
Jul 24, 2019 02:10Mazungumzo baina ya Muungano wa Uhuru na Mabadiliko na kundi la wanajeshi wanaotawala Sudan yameripotiwa kupiga hatua kubwa katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.
-
Al Mahdi atahadharisha kuhusu uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya Sudan
Jul 21, 2019 02:51Mkuu wa chama cha Umma nchini Sudan ametahadharisha kuhusiana na uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kusema nchi hizo haziitakie mema Sudan.
-
Baraza la kijeshi Sudan: Katu hatutamkabidhi Al-Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC
Jul 20, 2019 08:39Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Sudan amesema, baraza hilo katu halitamkabidhi rais wa nchi hiyo aliyeondolewa madarakani Omar Hassan al Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).
-
Kikao cha hati ya pili ya Katiba ya Sudan chaakhirishwa
Jul 19, 2019 03:04Muungano wa Uhuru na Mabadiliko wa Sudan umesema kuwa, kikao cha kujadili hati ya pili ya Katiba ya nchi hiyo kimeakhirishwa.