Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Majenerali wa Kijeshi Sudan wadai hawafuati sera za al Bashir

    Majenerali wa Kijeshi Sudan wadai hawafuati sera za al Bashir

    Jun 30, 2019 11:07

    Naibu wa Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Sudan amedai kuwa baraza hilo si muendelezo wa serikali ya Field Marshal Omar al Bashir aliyepinduliwa na jeshi mwezi Aprili mwaka huu baada ya kushadidi maandamano ya wananchi.

  • Baraza la Kijeshi Sudan lawaonya wapinzani kuhusu maandamano ya leo Jumapili

    Baraza la Kijeshi Sudan lawaonya wapinzani kuhusu maandamano ya leo Jumapili

    Jun 29, 2019 23:44

    Baraza la Kijeshi la Mpito la Sudan linaloongoza nchi hiyo limeonya kuwa muungano wa wapinzanio na wafanya maandamano watabeba dhima ya hasara au vifo vitakavyotoea kufuatia maandamano waliyopangwa kufanyika leo Jumapili.

  • Wapinzani Sudan: Baraza la Kijeshi la Mpito linahusika na ukatili dhidi ya waandamanaji

    Wapinzani Sudan: Baraza la Kijeshi la Mpito linahusika na ukatili dhidi ya waandamanaji

    Jun 29, 2019 12:41

    Muungano wa wapinzani nchini Sudan unaojulikana kwa jina la Harakati ya Uhuru na Mabadiliko umetangaza kuwa Baraza la Kijeshi la Uongozi wa Mpito la nchi hiyo linahusika na ghasia na ukatili uliofanywa dhidi ya waandamanaji.

  • Baraza la kijeshi la mpito Sudan: Hakuna wafungwa wa kisiasa nchini humo

    Baraza la kijeshi la mpito Sudan: Hakuna wafungwa wa kisiasa nchini humo

    Jun 25, 2019 08:25

    Naibu Mkuu wa Baraza la Kijeshi la Mpito la Sudan amedai kuwa hakuna mfungwa yoyote wa kisiasa aliyeko hivi sasa katika jela za nchi hiyo.

  • UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    Jun 24, 2019 22:47

    Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.

  • Mamluki wa Sudan waendelea kuwepo katika vita vya Saudi Arabia huko Yemen

    Mamluki wa Sudan waendelea kuwepo katika vita vya Saudi Arabia huko Yemen

    Jun 24, 2019 21:58

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ambao ulianza baada ya wananchi kufanya maandamano ya kila siku ya kulalamikia hali mbaya ya uchumi na kuongezeka umaskini, ungali unaendelea licha ya kuondolewa madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir.

  • Wimbi la tatu la mapinduzi na maandamano laanza Sudan

    Wimbi la tatu la mapinduzi na maandamano laanza Sudan

    Jun 19, 2019 22:16

    Muungano kwa jina la "Uhuru na Mabadiliko" unaolipinga Baraza la Kijeshi la Mpito linaloongoza Sudan umetangaza kuanza wimbi la tatu la mapinduzi na kurejea maandamano ya kila wiki nchini humo.

  • Kwa mara nyingine tena, Wasudan wailaani Imarati kwa kuingilia mambo yao ya ndani

    Kwa mara nyingine tena, Wasudan wailaani Imarati kwa kuingilia mambo yao ya ndani

    Jun 19, 2019 07:59

    Jumuiya ya Wafanyakazi nchini Sudan ambayo ni ya wapinzani, imeulaani Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kwa kuingilia masuala yao ya ndani na kumtaka balozi wa nchi hiyo mjini Khartoum akomeshe mara moja tabia yake hiyo.

  • Arab League yapinga uingiliaji wa nchi ajinabi katika mgogoro wa Sudan

    Arab League yapinga uingiliaji wa nchi ajinabi katika mgogoro wa Sudan

    Jun 17, 2019 21:58

    Akiwa ziarani nchini Sudan Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesisitiza kuwa mgogoro wa Sudan unapasa kupatiwa ufumbuzi bila ya uingiliaji wa nchi yoyote ajinabi.

  • Nafasi haribifu ya Saudia na Imarati katika kuzidisha mgogoro wa Sudan

    Nafasi haribifu ya Saudia na Imarati katika kuzidisha mgogoro wa Sudan

    Jun 17, 2019 07:04

    Mgogoro wa kisiasa wa Sudan umeshika mkondo mpya hususan baada ya mauaji ya raia zaidi ya mia moja waliokuwa wamekusanyika mbele ya makao makuu ya jeshi la nchi hiyo mjini Khartoum mapema mwezi huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS