-
Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani
Mar 19, 2019 03:13Kamati ya usalama wa kisiasa ya pamoja kati ya Sudan na Sudan Kusini imeafiki suala la kufungua tena kivuko cha mpakani kati ya nchi mbili hizo.
-
Maandamano dhidi ya Rais Omar al-Bashir yaendelea kushuhudiwa nchini Sudan
Mar 18, 2019 01:02Maelfu ya raia wa Sudan jana walifanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakisisitiza kutekelezwa takwa lao la kuondoka madarakani Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo.
-
Maandamano ya upinzani yaendelea Sudan sambamba na kuapishwa baraza jipya la mawaziri
Mar 15, 2019 04:13Wakati mawaziri wa serikali mpya iliyoundwa nchini Sudan wakiwa wanakula kiapo cha utiifu, mamia ya watu wameandamana katika miji miwili mikubwa ya nchi hiyo ya Khartoum na Omdurman.
-
Waziri Mkuu mpya wa Sudan aunda Baraza la Mawaziri likiwa na mabadiliko madogo mno
Mar 14, 2019 04:42Waziri Mkuu mpya wa Sudan ameunda baraza jipya la mawaziri lenye mabadiliko madogo mno kama moja ya njia ya kupunguza mashinikizo na malalamiko ya wananchi yanayoendelea kwa miezi kadhaa sasa nchini humo.
-
Muda wa hali ya hatari Sudan wapunguzwa huku maandamano yakishadidi
Mar 11, 2019 23:28Muda wa kutekelezwa sheria ya hali ya hatari nchini Sudan umepunguzwa kutoka mwaka mmoja na sasa ni miezi sita.
-
Wanawake 9 na viongozi wa upinzani wasukumwa jela Sudan
Mar 10, 2019 23:09Naibu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Umma na binti ya kinara wa chama hicho ni miongoni mwa wanawake tisa wa upinzani waliohukumiwa kifungo jela kwa tuhuma za kukiuka sheria ya hali ya hatari nchini Sudan.
-
Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi
Mar 09, 2019 04:01Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuwastaafisha maafisa kadhaa wa jeshi la nchi hiyo.
-
Wasudan wafanya mgomo kumshinikiza Rais Bashir ajiuzulu
Mar 05, 2019 10:44Mgomo wa siku moja uliotishwa hii leo kwa ajili ya kumshinikiza Rais Omar al-Bashir wa Sudan aachie ngazi umelemaza shughuli za kila siku katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.
-
Wasudani waandamana kupinga kuhukumiwa wafanya maandamano
Mar 04, 2019 11:08Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano huko Khartoum mji mkuu wa nchi hiyo na katika miiji mingine kadhaa ya nchi hiyo wakitaka kuwa huru mahakama za nchi hiyo na kutowahukumu wafanya maandamano kwa mujibu wa sheria ya hali ya hatari.
-
Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel
Mar 02, 2019 04:36Idara ya Ujasusi ya Sudan imekanusha habari iliyotangazwa na Middle East Eye kwamba mkuu wa idara hiyo, Salah Abdallah Gosh amekutana kwa siri na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD, Yossi Cohen.