Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani

    Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani

    Mar 19, 2019 03:13

    Kamati ya usalama wa kisiasa ya pamoja kati ya Sudan na Sudan Kusini imeafiki suala la kufungua tena kivuko cha mpakani kati ya nchi mbili hizo.

  • Maandamano dhidi ya Rais Omar al-Bashir yaendelea kushuhudiwa nchini Sudan

    Maandamano dhidi ya Rais Omar al-Bashir yaendelea kushuhudiwa nchini Sudan

    Mar 18, 2019 01:02

    Maelfu ya raia wa Sudan jana walifanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakisisitiza kutekelezwa takwa lao la kuondoka madarakani Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo.

  • Maandamano ya upinzani yaendelea Sudan sambamba na kuapishwa baraza jipya la mawaziri

    Maandamano ya upinzani yaendelea Sudan sambamba na kuapishwa baraza jipya la mawaziri

    Mar 15, 2019 04:13

    Wakati mawaziri wa serikali mpya iliyoundwa nchini Sudan wakiwa wanakula kiapo cha utiifu, mamia ya watu wameandamana katika miji miwili mikubwa ya nchi hiyo ya Khartoum na Omdurman.

  • Waziri Mkuu mpya wa Sudan aunda Baraza la Mawaziri likiwa na mabadiliko madogo mno

    Waziri Mkuu mpya wa Sudan aunda Baraza la Mawaziri likiwa na mabadiliko madogo mno

    Mar 14, 2019 04:42

    Waziri Mkuu mpya wa Sudan ameunda baraza jipya la mawaziri lenye mabadiliko madogo mno kama moja ya njia ya kupunguza mashinikizo na malalamiko ya wananchi yanayoendelea kwa miezi kadhaa sasa nchini humo.

  • Muda wa hali ya hatari Sudan wapunguzwa huku maandamano yakishadidi

    Muda wa hali ya hatari Sudan wapunguzwa huku maandamano yakishadidi

    Mar 11, 2019 23:28

    Muda wa kutekelezwa sheria ya hali ya hatari nchini Sudan umepunguzwa kutoka mwaka mmoja na sasa ni miezi sita.

  • Wanawake 9 na viongozi wa upinzani wasukumwa jela Sudan

    Wanawake 9 na viongozi wa upinzani wasukumwa jela Sudan

    Mar 10, 2019 23:09

    Naibu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Umma na binti ya kinara wa chama hicho ni miongoni mwa wanawake tisa wa upinzani waliohukumiwa kifungo jela kwa tuhuma za kukiuka sheria ya hali ya hatari nchini Sudan.

  • Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi

    Mar 09, 2019 04:01

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuwastaafisha maafisa kadhaa wa jeshi la nchi hiyo.

  • Wasudan wafanya mgomo kumshinikiza Rais Bashir ajiuzulu

    Wasudan wafanya mgomo kumshinikiza Rais Bashir ajiuzulu

    Mar 05, 2019 10:44

    Mgomo wa siku moja uliotishwa hii leo kwa ajili ya kumshinikiza Rais Omar al-Bashir wa Sudan aachie ngazi umelemaza shughuli za kila siku katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

  • Wasudani waandamana kupinga kuhukumiwa wafanya maandamano

    Wasudani waandamana kupinga kuhukumiwa wafanya maandamano

    Mar 04, 2019 11:08

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano huko Khartoum mji mkuu wa nchi hiyo na katika miiji mingine kadhaa ya nchi hiyo wakitaka kuwa huru mahakama za nchi hiyo na kutowahukumu wafanya maandamano kwa mujibu wa sheria ya hali ya hatari.

  • Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel

    Middle East Eye: Salah Gosh amefanya mazungumzo ya siri na Israel

    Mar 02, 2019 04:36

    Idara ya Ujasusi ya Sudan imekanusha habari iliyotangazwa na Middle East Eye kwamba mkuu wa idara hiyo, Salah Abdallah Gosh amekutana kwa siri na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Israel MOSSAD, Yossi Cohen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS