Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Siku moja baada ya kutangaza hali ya hatari, Al-Bashir ateua Makamu wa Rais na Waziri Mkuu mpya

    Siku moja baada ya kutangaza hali ya hatari, Al-Bashir ateua Makamu wa Rais na Waziri Mkuu mpya

    Feb 23, 2019 23:16

    Rais Omar al-Bashir wa Sudan ameteua makamu wa kwanza wa rais na waziri mkuu mpya, siku moja baada ya kutangaza hali ya hatari, hatua ambayo haijawa na taathira ya kupoza moto wa maandamano ya mitaani ambayo yameutia msukosuko mkubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa, utawala wake wa miaka 30.

  • Mabadiliko makubwa nchini Sudan katika kivuli cha mgogoro wa kisiasa

    Mabadiliko makubwa nchini Sudan katika kivuli cha mgogoro wa kisiasa

    Feb 23, 2019 10:52

    Rais Omar al Bashir wa Sudan katika hatua ambayo haikutazamiwa amevunja baraza la mawaziri la serikali yake na kutangaza hali ya hatari katika maeneo yote nchini humo. Hatua hiyo imechukuliwa huku Sudan ikiendelea kuzongwa na maandamano yanayomtaka kiongozi huyo ang'atuke madarakani.

  • Rais wa Sudan avunja serikali na kutangaza hali ya hatari 'kuzima' maandamano dhidi yake

    Rais wa Sudan avunja serikali na kutangaza hali ya hatari 'kuzima' maandamano dhidi yake

    Feb 23, 2019 03:09

    Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan ametangaza hali ya hatari nchi nzima, huku akiipiga kalamu nyekundu serikali ya kifederali ya nchi hiyo.

  • Maandamano yaendelea Sudan, wananchi wamtaka al Bashir ang'atuke

    Maandamano yaendelea Sudan, wananchi wamtaka al Bashir ang'atuke

    Feb 22, 2019 12:39

    Askari wa usalama wa Sudan wametumia gesi ya kutoa machozi kukabiliana na mamia ya watu walifanya maandamano leo dhidi ya serikali ya nchi hiyo baada ya Swala ya Ijumaa.

  • Serikali ya Sudan yawakamata viongozi wa upinzani

    Serikali ya Sudan yawakamata viongozi wa upinzani

    Feb 21, 2019 12:03

    Maafisa wa polisi nchini Sudan wamewatia mbaroni viongozi waandamizi wa vyama vya upinzani, muda mfupi kabla ya kuanza wimbi jipya la maandamano dhidi ya serikali.

  • Bunge la Sudan lasimamisha mpango wa kurefusha uongozi wa Rais Bashir

    Bunge la Sudan lasimamisha mpango wa kurefusha uongozi wa Rais Bashir

    Feb 17, 2019 04:36

    Kamati ya Bunge la Sudan iliyotwikwa jukumu la kuifanyia marekebisho katiba kwa lengo la kurefusha uongozi wa Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo imesimamisha mpango huo.

  • Sadiq al Mahdi amuonya Rais al Bashir asiendelee kukandamiza waandamanaji Sudan

    Sadiq al Mahdi amuonya Rais al Bashir asiendelee kukandamiza waandamanaji Sudan

    Feb 11, 2019 10:19

    Kiongozi wa kambi ya upinzani nchini Sudan ameionya serikali ya Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo kuhusiana na hatari ya kuendelea kukandamizwa wananchi wanaoandamana kwa amani.

  • Muungano wa Madaktari Sudan: Watu 57 wameuawa katika maandamano

    Muungano wa Madaktari Sudan: Watu 57 wameuawa katika maandamano

    Feb 10, 2019 09:50

    Muungano wa Madaktari nchini Sudan umesema, watu 57 wameuawa hadi sasa tangu yalipoanza maandamano ya kupinga serikali tarehe 19 Disemba mwaka jana.

  • Nchi tatu za Afrika zataka Russia iwepo kijeshi katika ardhi zao

    Nchi tatu za Afrika zataka Russia iwepo kijeshi katika ardhi zao

    Feb 05, 2019 23:16

    Libya, Sudan na Misri, nchi tatu za Kiarabu za bara la Afrika zimetangaza utayari wa kuwapokea askari wa Russia au kuiruhusu nchi hiyo ianzishe kituo cha kijeshi katika ardhi zao.

  • Sherehe za kutiwa saini makubaliano ya Amani CAR sasa kufanyika Jumanne

    Sherehe za kutiwa saini makubaliano ya Amani CAR sasa kufanyika Jumanne

    Feb 04, 2019 04:25

    Sherehe za kuanza utekelezaji wa makubaliano ya amani baina ya serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati na makundi 14 yenye silaha zilizopangwa kufanyika jana Jumapili, zimeakhirishwa na sasa zitafanyika kesho Jumanne mjini Khartoum, Sudan. Mwenyeji wa makubaliano hayo yaani serikali ya Sudan imesema kuwa, saini ya mwisho ya makubaliano hayo itatiwa baadaye, ingawa haikusema ni lini hasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS