-
Al Bashir: Utawala haubadilishwi kwa WhatsApp na Facebook
Feb 01, 2019 03:59Rais Omar al Bashir wa Sudan amekemea maandamano yanayoendelea kufanywa na wananchi katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo dhidi ya serikali yake na kusema kuwa utawala hauwezi kubadilishwa kwa kutumia njia kama za WhatsApp na Facebook bali kupitia madanduku ya kupigia kura.
-
Vyombo vya usalama Sudan vyamwachia huru Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani
Jan 30, 2019 11:13Vyombo vya usalama vya serikali ya Sudan vimemwachia huru Naibu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani cha Umma Mariam Sadiq al-Mahdi.
-
Waandishi wa habari na wasomi Misri waunga mkono maandamano ya wananchi wa Sudan
Jan 27, 2019 23:15Waandishi wa habari na wasomi nchini Misri wametoa taarifa ya kuunga mkono maandamano ya wananchi wa Sudan dhidi ya utawala wa rais Omar al Bashir.
-
Makabiliano ya Saudia na Qatar nchini Sudan
Jan 27, 2019 08:22Baada ya safari ya siku mbili ya Rais Omar al-Bashir wa Sudan mjini Doha, Qatar Mfalme wa Saudia pia alituma ujumbe huko Sudan ulioongozwa na mmoja wa mawaziri wake kwa ajili ya kukutana na al-Bashir.
-
Wahandisi wajiunga na maandamano ya wapinzani nchini Sudan
Jan 24, 2019 12:26Kundi la wahandishi wa Sudan limejiunga na maandamano ya kupinga serikali ya nchi hiyo katika mji mkuu Khartoum.
-
Waandamanaji waendelea kuuawa Sudan, serikali yavituhumu vyama vya mrengo wa kushoto
Jan 21, 2019 23:52Idadi ya watu waliouawa kwa kupigwa risasi nchini Sudan katika "Maandamano ya Mkate" inaendelea kuongezeka baada ya kufariki dunia mwanafunzi wa chuo kikuu aliyepigwa risasi kichwani.
-
Mazungumzo ya kusaka amani CAR kufanyika Khartoum, Sudan
Jan 20, 2019 10:39Duru mpya ya mazungumzo ya amani kati ya serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na makundi 14 ya upinzani imepangwa kufanyika wiki ijayo mjini Khartoum, Sudan.
-
Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, polisi yaua watu watatu
Jan 18, 2019 12:35Maandamano ya kumtaka Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan ang'atuke madarakani yameendelea mapema leo Ijumaa katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo baada ya mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi na polisi katika maandamano ya jana mjini Khartoum.
-
Wasiwasi wa UN kuhusu kuuawa waandamanaji Sudan
Jan 18, 2019 03:58Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet amesema ana wasiwasi mkubwa juu ya ghasia zinazoendela nchini Sudan ambazo hadi sasa zimesababisha kuuawa kwa watu 24 na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Wasudan waendeleza maandamano ya mkate, wamtaka al Bashir ang'atuke
Jan 18, 2019 00:23Maelfu ya Wasudan waliandamana tena jana Alkhamisi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka kuondoka madarakani serikali ya Rais Omar al Bashir wa nchi hiyo.