Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Jumuiya ya Madaktari nchini Sudan yaitisha mgomo wa nchi nzima

    Jumuiya ya Madaktari nchini Sudan yaitisha mgomo wa nchi nzima

    Jan 11, 2019 04:37

    Jumuiya ya Madaktari nchini Sudan imeitisha mgomo wa nchi nzima ikilalamikia kuuawa kiholela waandamanaji kadhaa katika mji wa Omdurman. 

  • Mo Ibrahim: ICC imfutie mashitaka Rais wa Sudan iwapo ataachia ngazi

    Mo Ibrahim: ICC imfutie mashitaka Rais wa Sudan iwapo ataachia ngazi

    Jan 09, 2019 23:20

    Bilionea mashuhuri mzawa wa Sudan, Mohammed Ibrahim amesema Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC inapaswa kumuondolea mashitaka Rais Omar al-Bashir wa Sudan iwapo atakubali kujiuzulu, kama anavyoshinikizwa na wananchi wanaofanya maandamano dhidi yake tangu mwezi uliopita.

  • Omar al Bashir: Machafuko ya Sudan yanachochewa na baadhi ya makundi

    Omar al Bashir: Machafuko ya Sudan yanachochewa na baadhi ya makundi

    Jan 09, 2019 03:58

    Rais wa Sudan amewatuhumu watu aliowaita kuwa wanafanya njama kuwa wanahusika katika machafuko ya hivi sasa katika maandamano yanayofanyika nchini humo dhidi ya serikali yake.

  • Kuendelea maandamano ya kupinga serikali nchini Sudan

    Kuendelea maandamano ya kupinga serikali nchini Sudan

    Jan 08, 2019 21:28

    Katika hali ambayo malalamiko na maandamano dhidi ya serikali yanaendelea nchini Sudan, Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo ameanza safari ya kutembelea baadhi ya majimbo ya nchi hiyo kwa shabaha ya kutuliza hali ya mambo.

  • Zaidi ya waandamanaji 800 wakamatwa Sudan

    Zaidi ya waandamanaji 800 wakamatwa Sudan

    Jan 08, 2019 03:54

    Zaidi ya waandamanaji 816 wamekamatwa kote Sudan katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita baada ya kuanza maandamano dhidi ya utawala wa Omar al-Bashir.

  • Sudan yakanusha madai ya Netanyahu kwamba nchi hiyo imeruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

    Sudan yakanusha madai ya Netanyahu kwamba nchi hiyo imeruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

    Jan 07, 2019 09:58

    Rais Omar al Bashir wa Sudan amekanusha madai ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel aliyesema kuwa ndege za utawala huo zimeruhusiwa kutumia anga ya Sudan.

  • Maandamano yaendelea Sudan, wahadhiri wa vyuo vikuu watiwa nguvuni

    Maandamano yaendelea Sudan, wahadhiri wa vyuo vikuu watiwa nguvuni

    Jan 06, 2019 09:11

    Askari usalama wa Sudan wamewatia nguvuni wahadhiri wa vyuo vikuuu walioanzisha mgomo leo mjini Khaertoum na kukabiliana na waandamanaji kwa mabomu ya kutoa machozi.

  • Polisi ya Sudan yatumia mabomu ya kutoa machozi kukabiliana na waandamanaji wanaodai 'amani na uadilifu'

    Polisi ya Sudan yatumia mabomu ya kutoa machozi kukabiliana na waandamanaji wanaodai 'amani na uadilifu'

    Jan 04, 2019 23:11

    Askari polisi wa Sudan wametumia mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wapinzani wa serikali waliokuwa wakiandamana katika mji wa Omdurman, karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.

  • Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Sudan wamtaka Rais Bashir ajiuzulu

    Jan 02, 2019 23:43

    Muungano mkubwa zaidi wa upinzani wa Nidaa nchini Sudan umemtaka Rais Omar al-Bashir wa nchi hiyo aachie ngazi, huku maandamano dhidi ya serikali yakiendelea.

  • Al Bashir aamuru kuundwe tume ya kuchunguza machafuko ya sasa nchini Sudan

    Al Bashir aamuru kuundwe tume ya kuchunguza machafuko ya sasa nchini Sudan

    Jan 01, 2019 11:41

    Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuundwa tume ya kuchunguza ghasia na machafuko yanayoendelea sasa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS