Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  •  Mpango wa kutumwa kundi la kwanza la wanajeshi wa kieneo wa UN Sudan Kusini

    Mpango wa kutumwa kundi la kwanza la wanajeshi wa kieneo wa UN Sudan Kusini

    Mar 25, 2017 08:54

    Herve Ladsous Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayesimamia oparesheni za kulinda amani ametangaza kuwa kundi la kwanza la kikosi cha wanajeshi wa kieneo walio chini ya usimamizi wa Umoja wa Mataifa watakuwa wamewasilii Sudan Kusini hadi mwishoni mwa mwezi Aprili na mwanzoni mwa Mei kufuatia kuvurugika hali ya kisiasa na kibinadamu nchini humo.

  • Kikosi cha kijeshi cha UN kuingia Sudan Kusini

    Kikosi cha kijeshi cha UN kuingia Sudan Kusini

    Mar 25, 2017 03:07

    Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wanatazamiwa kuingia Sudan Kusini katika kipindi cha chini ya mwezi moja.

  • Maafisa wa kulinda amani wa Rwanda kuanza kuwasili Sudan Kusini kesho

    Maafisa wa kulinda amani wa Rwanda kuanza kuwasili Sudan Kusini kesho

    Mar 24, 2017 02:56

    Jeshi la Polisi la Rwanda limetuma suhula na zana za kivita mjini Juba, zitakazotumiwa na kikosi kipya cha maafisa wake wa kulinda amani nchini Sudan Kusini.

  • UN yataka kuongezwa juhudi za kutatua mgogoro wa Sudan Kusini

    UN yataka kuongezwa juhudi za kutatua mgogoro wa Sudan Kusini

    Mar 23, 2017 03:11

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kuongezwa juhudi za kuutatua mgogoro wa Sudan Kusini na kusisitiza kuwa mazungumzo ya kisiasa ndiyo njia pekee ya kumaliza machafuko nchini humo.

  • Ndege ya abiria yaanguka ikiwa na watu 45 Sudan Kusini

    Ndege ya abiria yaanguka ikiwa na watu 45 Sudan Kusini

    Mar 20, 2017 14:48

    Ripoti kutoka Sudan Kusini zinasema ndege moja ya abiria iliyokuwa na wasafiri 40 na wahudumu 5 imeanguka katika uwanja wa ndege wa Wau.

  • UNHCR yatahadharisha kuhusu janga la wakimbizi wa Sudan Kusini

    UNHCR yatahadharisha kuhusu janga la wakimbizi wa Sudan Kusini

    Mar 19, 2017 00:37

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema limeshtushwa na idadi kubwa ya raia wa Sudan Kusini wanaokimbia makaazi yao na kuelekea nchi jirani au kuwa wakimbizi ndani ya nchi.

  • Serikali Sudan Kusini yalaumiwa kwa kusababisha baa la njaa

    Serikali Sudan Kusini yalaumiwa kwa kusababisha baa la njaa

    Mar 17, 2017 10:06

    Serikali ya Sudan Kusini ndiyo inayobeba lawama kubwa kwa baa la njaa linaloshuhudiwa katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo iliyoharibiwa na vita.

  • UN: Serikali ya Sudan Kusini ya kulaumiwa kwa baa la njaa; ingali inanunua silaha

    UN: Serikali ya Sudan Kusini ya kulaumiwa kwa baa la njaa; ingali inanunua silaha

    Mar 17, 2017 04:09

    Serikali ya Sudan Kusini ndiyo inayobeba lawama kubwa kwa baa la njaa linaloshuhudiwa katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo iliyoharibiwa na vita huku Rais wa nchi hiyo Salva Kiir akiendelea kutumia mamilioni ya dola zinazotokana na mauzo ya mafuta kuimarisha vikosi vyake vya ulinzi.

  • Maafisa wa misaada ya kibinadamu washambuliwa Sudan Kusini

    Maafisa wa misaada ya kibinadamu washambuliwa Sudan Kusini

    Mar 17, 2017 00:26

    Kundi moja la watu wenye silaha limeshambulia msafara wa maafisa wa kutoa misaada ya kibinadamu nchini Sudan Kusini.

  • Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Sudan Kusini: Marekani inachochea machafuko kwa kuwafadhili waasi nchini mwetu

    Mar 16, 2017 11:04

    Serikali ya Juba imeituhumu Marekani kuwa inachochea machafuko na mapigano nchini humo, kwa kuyaunga mkono na kuyafadhili magenge ya waasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS