Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria

    Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria

    Dec 26, 2025 11:53

    Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (a.S) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.

  • Kiongozi wa Wakurdi wa SDF: Suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuwa na serikali ya shirikisho

    Kiongozi wa Wakurdi wa SDF: Suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuwa na serikali ya shirikisho

    Dec 26, 2025 06:49

    Kamanda wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria (SDF), Mazloum Abdi amesema katika taarifa kwamba suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuachana na mfumo wa utawala uliopita na kuelekea kwenye serikali ya shirikisho.

  • Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

    Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni

    Dec 25, 2025 13:23

    Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini humo umechuukua wigo mpana zaidi.

  • Netanyahu: Israel haitaondoka katika maeneo ya kusini ya Syria iliyoyavamia

    Netanyahu: Israel haitaondoka katika maeneo ya kusini ya Syria iliyoyavamia

    Dec 08, 2025 06:30

    Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amesema, jeshi la utawala huo halitaondoka katika maeneo liliyoyavamia na kuyakalia kwa mabavu ya kusini mwa Syria.

  • Jinai za Marekani nchini Syria

    Jinai za Marekani nchini Syria

    Oct 15, 2025 08:44

    Marekani imekuwa nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na ISIS na imefanya jinai nyingi nchini humo.

  • Mjumbe maalumu wa US Syria: Israel na Syria zinakaribia kufikia makubaliano ya usalama

    Mjumbe maalumu wa US Syria: Israel na Syria zinakaribia kufikia makubaliano ya usalama

    Sep 25, 2025 04:11

    Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Syria Tom Barrack amedai kuwa utawala wa kizayuni wa Israel na Syria zinakaribia kufikia makubaliano ya usalama.

  • Kiongozi wa Wadruze Syria amshukuru Trump, Israel na EU, asisitizia msimamo wa jamii yao kujitawala

    Kiongozi wa Wadruze Syria amshukuru Trump, Israel na EU, asisitizia msimamo wa jamii yao kujitawala

    Sep 06, 2025 03:05

    Kiongozi wa kiroho wa jamii ya Wadruze wa Syria, Hikmat al-Hijri ametoa shukurani kwa Marekani, utawala wa kizayuni wa Israel na nchi za Ulaya, akisisitiza kwamba haki ya kujiamualia mustakabali wao ni haki takatifu inayodhaminiwa na mikataba yote ya kimataifa.

  • AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    Aug 16, 2025 05:08

    Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.

  • Ijumaa, tarehe 8 Agosti, 2025

    Ijumaa, tarehe 8 Agosti, 2025

    Aug 08, 2025 03:41

    Leo ni Ijuamaa tarehe 14 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2025.

  • Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita

    Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita

    Jul 19, 2025 06:45

    Rais wa mpito wa Syria na waziri mkuu wa Israel wamekubaliana kusitisha mapigano kufuatia makabiliano ya umwagaji damu ya siku kadhaa katika Jimbo la Suweida, lililoko kusini mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS