-
Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria
Dec 26, 2025 11:53Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (a.S) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa Homs , Syria na kuuwa watu 5 na kujeruhi wengine 21.
-
Kiongozi wa Wakurdi wa SDF: Suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuwa na serikali ya shirikisho
Dec 26, 2025 06:49Kamanda wa Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria (SDF), Mazloum Abdi amesema katika taarifa kwamba suluhisho pekee la matatizo ya Syria ni kuachana na mfumo wa utawala uliopita na kuelekea kwenye serikali ya shirikisho.
-
Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni
Dec 25, 2025 13:23Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini humo umechuukua wigo mpana zaidi.
-
Netanyahu: Israel haitaondoka katika maeneo ya kusini ya Syria iliyoyavamia
Dec 08, 2025 06:30Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu amesema, jeshi la utawala huo halitaondoka katika maeneo liliyoyavamia na kuyakalia kwa mabavu ya kusini mwa Syria.
-
Jinai za Marekani nchini Syria
Oct 15, 2025 08:44Marekani imekuwa nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na ISIS na imefanya jinai nyingi nchini humo.
-
Mjumbe maalumu wa US Syria: Israel na Syria zinakaribia kufikia makubaliano ya usalama
Sep 25, 2025 04:11Mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Syria Tom Barrack amedai kuwa utawala wa kizayuni wa Israel na Syria zinakaribia kufikia makubaliano ya usalama.
-
Kiongozi wa Wadruze Syria amshukuru Trump, Israel na EU, asisitizia msimamo wa jamii yao kujitawala
Sep 06, 2025 03:05Kiongozi wa kiroho wa jamii ya Wadruze wa Syria, Hikmat al-Hijri ametoa shukurani kwa Marekani, utawala wa kizayuni wa Israel na nchi za Ulaya, akisisitiza kwamba haki ya kujiamualia mustakabali wao ni haki takatifu inayodhaminiwa na mikataba yote ya kimataifa.
-
AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika
Aug 16, 2025 05:08Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.
-
Ijumaa, tarehe 8 Agosti, 2025
Aug 08, 2025 03:41Leo ni Ijuamaa tarehe 14 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2025.
-
Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita
Jul 19, 2025 06:45Rais wa mpito wa Syria na waziri mkuu wa Israel wamekubaliana kusitisha mapigano kufuatia makabiliano ya umwagaji damu ya siku kadhaa katika Jimbo la Suweida, lililoko kusini mwa Syria.