Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Kiongozi wa Wadruze Syria amshukuru Trump, Israel na EU, asisitizia msimamo wa jamii yao kujitawala

    Kiongozi wa Wadruze Syria amshukuru Trump, Israel na EU, asisitizia msimamo wa jamii yao kujitawala

    Sep 06, 2025 03:05

    Kiongozi wa kiroho wa jamii ya Wadruze wa Syria, Hikmat al-Hijri ametoa shukurani kwa Marekani, utawala wa kizayuni wa Israel na nchi za Ulaya, akisisitiza kwamba haki ya kujiamualia mustakabali wao ni haki takatifu inayodhaminiwa na mikataba yote ya kimataifa.

  • AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    Aug 16, 2025 05:08

    Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.

  • Ijumaa, tarehe 8 Agosti, 2025

    Ijumaa, tarehe 8 Agosti, 2025

    Aug 08, 2025 03:41

    Leo ni Ijuamaa tarehe 14 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2025.

  • Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita

    Syria na Israel zafikia makubaliano tete ya usitishaji vita

    Jul 19, 2025 06:45

    Rais wa mpito wa Syria na waziri mkuu wa Israel wamekubaliana kusitisha mapigano kufuatia makabiliano ya umwagaji damu ya siku kadhaa katika Jimbo la Suweida, lililoko kusini mwa Syria.

  • Afisa wa Syria aonya: Yumkini Israel imetuvamia ili kumpindua al-Sharaa

    Afisa wa Syria aonya: Yumkini Israel imetuvamia ili kumpindua al-Sharaa

    Jul 19, 2025 06:18

    Afisa mmoja wa Syria amesema Israel imeishambulia Syria kwa kisingizio cha kuwalinda wafuasi wa jamii ya Druze walio wachache huko Suwayda, lakini nia ya hasa ni kupindua serikali ya Syria inayoongozwa na Rais wa mpito, Ahmed al-Sharaa.

  • Kiongozi wa kidini wa Wadruze: Hatutaki 'himaya' ya Israel

    Kiongozi wa kidini wa Wadruze: Hatutaki 'himaya' ya Israel

    Jul 19, 2025 04:54

    Kiongozi wa kiroho wa kabila la wachache la Druze nchini Lebanon amesema jamii hiyo inapinga ombi la utawala wa Israel la "kuwalinda" walio wachache.

  • Maafisa wa Syria na Israel wanatazamiwa kukutana Baku

    Maafisa wa Syria na Israel wanatazamiwa kukutana Baku

    Jul 13, 2025 05:48

    Maafisa wa Syria na Israel wanatazamiwa kukutana mjini Baku ili kujadili "uwepo wa hivi karibuni wa jeshi la Israel nchini Syria.

  • US yaamua kuiondoa Hay-at Tahrir Sham kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    US yaamua kuiondoa Hay-at Tahrir Sham kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Jul 07, 2025 18:09

    Marekani imetangaza siku ya Jumatatu kuwa inabatilisha uamuzi wake wa huko nyuma kwa kuliondoa kundi la kigaidi la kigeni la Hay'at Tahrir al-Sham (HTS) la Syria kwenye orodha ya makundi ya kigaidi, miezi kadhaa baada ya kundi hilo kuongoza mashambulizi ya kijeshi yaliyoiangusha serikali ya Rais Bashar al Assad.

  •  Wanawake wa Kialawi Syria wanatekwa nyara mchana kweupe chini ya utawala wa Tahrir al Sham

    Wanawake wa Kialawi Syria wanatekwa nyara mchana kweupe chini ya utawala wa Tahrir al Sham

    Jun 28, 2025 07:47

    Makumi ya wanawake wa jamii ya Waalawi wametekwa nyara nchini Syria tangu kundi la Hay'at Tahrir al Sham (HTS) lenye mfungamano na mtandao wa al Qaida lilipochukua madaraka mwezi Disemba mwaka jana.

  • Jolani azidi kujikomba kwa Wazayuni, adai Syria, Israel zina maadui wa pamoja!

    Jolani azidi kujikomba kwa Wazayuni, adai Syria, Israel zina maadui wa pamoja!

    Jun 01, 2025 07:08

    Abu Mohammed al-Jolani, Mkuu wa utawala wa Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) unaoongoza nchini Syria ameliambia gazeti linalohudumia jumuiya ya Wayahudi huko Damascus kwamba, "ukweli ni kwamba, tuna maadui wa pamoja - na tunaweza kuwa na jukumu kubwa katika usalama wa kikanda."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS