Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad

    Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad

    Apr 21, 2025 02:25

    Kiongozi wa kundi la Muqawama na kupambana na ugaidi la Asa’ib Ahl al-Haq nchini Iraq ameonya kwamba, anayejiita rais wa Syria Abu Mohammed al-Jolani anaweza kukamatwa atakapowasili Baghdad, kutokana na kuwepo hati ya kukamatwa kwake.

  • Misafara ya askari, silaha za Marekani yaingia Ain al-Asad, Iraq ikitokea Syria

    Misafara ya askari, silaha za Marekani yaingia Ain al-Asad, Iraq ikitokea Syria

    Apr 21, 2025 02:24

    Jeshi la Marekani limeripotiwa kutuma misafara mingi ya malori yaliyobeba wanajeshi, silaha na zana kivita, pamoja na suhula za kilojistiki kutoka ndani kabisa ya Syria hadi katika kambi kubwa ya anga ya Ain al-Asad katika jimbo la Anbar nchini Iraq, ambayo ina wanajeshi na wakufunzi wa Marekani.

  • Alkhamisi, tarehe 17 Aprili, 2025

    Alkhamisi, tarehe 17 Aprili, 2025

    Apr 17, 2025 04:08

    Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili 17 mwaka 2025.

  • Iraq yaonya dhidi ya kuibuka upya ISIS nchini Syria

    Iraq yaonya dhidi ya kuibuka upya ISIS nchini Syria

    Apr 14, 2025 13:06

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein ameonya kuhusu kushadidi harakati za kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika nchi jirani ya Syria, kufuatia kuanguka kwa serikali ya Rais Bashar al-Assad mwishoni mwa mwaka jana.

  • Alkhamisi, Aprili 10, 2025

    Alkhamisi, Aprili 10, 2025

    Apr 10, 2025 02:47

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Mfunguo Mosi Shawwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 10 Aprili 2025 Milaadia.

  • China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    China yaitaka Syria iunde serikali shirikishi na ipambane na ugaidi

    Mar 26, 2025 07:41

    Mwakilishi wa Kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa mpito wa Syria waandae mchakato wa kuasisi serikali shirikishi na wachukua hatua madhubuti za kupabana na ugaidi nchini humo.

  • UN: Wakati umefika wa kuunda serikali ya shirikishi nchini Syria

    UN: Wakati umefika wa kuunda serikali ya shirikishi nchini Syria

    Mar 15, 2025 02:25

    Mwakilishi Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesisitiza kuwa, wakati umefika sasa wa kuchukua hatua za dhati na za kijasiri za kuunda serikali ya mpito na ya kuaminika nchini Syria.

  • Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Mar 10, 2025 11:25

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni katika eneo la pwani ya magharibi mwa Syria na kusisitiza kuwa, mbali na kuwa ghasia hizo ni tishio kwa wahusika wa jinai hizo na walezi wao, lakini pia ni somo kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.

  • UN yatoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini Syria

    UN yatoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini Syria

    Mar 10, 2025 06:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameonya katika taarifa yake kuhusu ghasia za hivi karibuni magharibi mwa Syria na kutoa wito wa kukomeshwa mauaji ya raia nchini humo.

  • 70 wauawa katika mapigano baina ya pande kinzani Syria

    70 wauawa katika mapigano baina ya pande kinzani Syria

    Mar 07, 2025 10:58

    Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa nchini Syria kutokana na mapigano makali kati ya wanamgambo wa kundi la kigaidi linalotawala la Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) na makundi ya Muqawama ya wananchi huko magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS