-
Baqaei: Kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa Israel nchini Syria
Feb 27, 2025 11:47Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka kukomesha uvunjaji sheria wa utawala haramu wa Israel nchini Syria
-
Israel inakusudia nini kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya Syria?
Feb 27, 2025 09:58Utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatano Februari 26 ulishambulia mara kadhaa maeneo mbalimbali ya Syria na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
Kufichuka nia halisi ya utawala wa Kizayuni nchini Syria
Feb 23, 2025 02:41Kimya na kutochukua hatua yoyote watawala wapya wa Syria vimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufikirie kuyatwaa kabisa maeneo mapya yaliyokaliwa kwa mabavu nchini Syria.
-
Ripoti: Marekani na Ufaransa zinataka askari mamluki wapelekwe kusini mwa Lebanon
Feb 19, 2025 06:54Marekani na Ufaransa zimeripotiwa kuwa zimependekeza mamluki wanaoitwa wakandarasi binafsi wapelekwe kusini mwa Lebanon katika jitihada za kuushawishi utawala wa Kizayuni wa Israel uondoe kikamilifu majeshi yake nchini humo.
-
Iravani: Iran inaunga mkono kuundwa serikali jumuishi nchini Syria
Feb 13, 2025 06:52Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Iran inaunga mkono uundwaji wa serikali shirikishi kupitia uchaguzi huru na mazungumzo jumuishi ya kitaifa nchini Syria.
-
Jumamosi, Mosi Februari, 2025
Feb 01, 2025 02:32Leo ni Jumamosi Pili Shaaban 1446 Hijria mwafaka na Mosi Februari 2025 Miladia.
-
Mamluki wa Jolani wapigana na vikosi vya Wakurdi, Syria
Jan 20, 2025 11:07Vyombo vya habari vya Syria vimeripoti kujiri mapigano kati ya mamluki wa utawala wa Jolani na wanamgambo wa Kikurdi, QSD, katika viunga vya Deir ez-Zor.
-
Mapigano ya silaha yazuka kati ya wanamgambo wa Al-Joulani, wawania mamlaka ya kuendesha miji ya Syria
Jan 16, 2025 02:37Duru za Syria zimeripoti kuwa yamezuka mapigano ya silaha kati ya wanamgambo wenye mfungamano na Al-Joulani, kamanda wa kundi la wabeba silaha la Hay-at Tahrir al-Sham.
-
Makundi yanayopigana kwa niaba ya US na Uturuki nchini Syria yatwangana, zaidi ya 100 wauawa
Jan 06, 2025 03:06Wanamgambo zaidi ya 100 wameuawa katika muda wa siku mbili zilizopita kaskazini mwa Syria katika mapigano kati ya makundi yanayoungwa mkono na Uturuki na vikosi vya Wakurdi vinavyoungwa mkono na Marekani. Hayo ni kwa mujibu wa kundi linalofuatilia habari za vita lenye makao yake London, Uingereza.
-
Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria
Jan 04, 2025 12:37Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.