-
Iravani: Iran inaunga mkono kuundwa serikali jumuishi nchini Syria
Feb 13, 2025 06:52Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema: Iran inaunga mkono uundwaji wa serikali shirikishi kupitia uchaguzi huru na mazungumzo jumuishi ya kitaifa nchini Syria.
-
Jumamosi, Mosi Februari, 2025
Feb 01, 2025 02:32Leo ni Jumamosi Pili Shaaban 1446 Hijria mwafaka na Mosi Februari 2025 Miladia.
-
Mamluki wa Jolani wapigana na vikosi vya Wakurdi, Syria
Jan 20, 2025 11:07Vyombo vya habari vya Syria vimeripoti kujiri mapigano kati ya mamluki wa utawala wa Jolani na wanamgambo wa Kikurdi, QSD, katika viunga vya Deir ez-Zor.
-
Mapigano ya silaha yazuka kati ya wanamgambo wa Al-Joulani, wawania mamlaka ya kuendesha miji ya Syria
Jan 16, 2025 02:37Duru za Syria zimeripoti kuwa yamezuka mapigano ya silaha kati ya wanamgambo wenye mfungamano na Al-Joulani, kamanda wa kundi la wabeba silaha la Hay-at Tahrir al-Sham.
-
Makundi yanayopigana kwa niaba ya US na Uturuki nchini Syria yatwangana, zaidi ya 100 wauawa
Jan 06, 2025 03:06Wanamgambo zaidi ya 100 wameuawa katika muda wa siku mbili zilizopita kaskazini mwa Syria katika mapigano kati ya makundi yanayoungwa mkono na Uturuki na vikosi vya Wakurdi vinavyoungwa mkono na Marekani. Hayo ni kwa mujibu wa kundi linalofuatilia habari za vita lenye makao yake London, Uingereza.
-
Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria
Jan 04, 2025 12:37Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.
-
Ahadi ya Al-Joulani ya kushirikisha Wasyria wote katika uendeshaji nchi imethibiti kuwa ni uongo
Dec 29, 2024 11:02Kwa kuanza kwa wimbi la timuatimua ya maafisa wa jamii ya Maalawi katika wizara za serikali ya Syria, imethibiti kuwa ahadi alizokuwa ametoa Abu Muhammad Al-Jolani za kutotengwa tabaka lolote la jamii ya Wasyria katika uendeshaji nchi ni za uongo.
-
Baada ya Israel kuichoma moto hospitali kuu ya kaskazini ya Ghaza, yamkamata mkurugenzi na wafanyakazi wake
Dec 28, 2024 14:12Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa askari wa jeshi la utawala w Kizayuni wa Israel wamemkamata Hussam Abu Safiya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Kamal Adwan kaskazini mwa Ghaza, na wafanyakazi wengine mapema leo, siku moja baada ya askari wa jeshi hilo kuichoma moto hospitali hiyo, ambayo ndicho kituo kikuu pekee cha afya katika eneo hilo.
-
Araqchi: Kuvuka kipindi cha sasa kunahitaji kujiepusha na mifarakano
Dec 28, 2024 07:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amewaambia maafisa wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwamba: Kuvuka kipindi hiki chenye taharuki nyingi katika eneo la Magharibi mwa Asia kunahitaji busara, ushirikishwaji, ushirikiano na kuepusha mizozo na kujitakia maslahi ya muda mfupi.
-
Rais Putin wa Russia: Ninaamini Mungu. Na Mungu yu pamoja nasi
Dec 27, 2024 06:30Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, Mungu yuko pamoja na nchi yake akionyesha kujiamini kwamba Moscow itashinda katika mzozo wake na Ukraine.