-
Sisitizo la Iran la kuendelea kuiunga mkono Syria katika kupambana na ugaidi
Sep 28, 2016 09:24Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaitakidi kuwa kulindwa umoja, mshikamano na ardhi yote ya nchi zote za Mashariki ya Kati ikiwemo Syria ni suala la msingi. Aidha ni jukumu lake kutoa msaada katika kupambana na ugaidi na kurejesha amani na usalama nchini Syria na kwamba kubadilishwa mipaka ya nchi hiyo hakuwezi kamwe kuwa na maslahi kwa eneo hili.
-
Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni
Sep 27, 2016 10:38Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa
Sep 26, 2016 11:02Russia imekosoa matamshi yaliyotolewa na Mabalozi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa katika Umoja wa Mataifa kwa mashambulizi ya jeshi la Russia katika ngome za makundi ya kigaidi huko Syria.
-
Madola ya Magharibi yanatumia vibaya hali ya kibinadamu Syria
Sep 25, 2016 04:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Walid al-Muallem amekosoa baadhi ya madola ya Magharibi na Mashariki ya Kati kwa kutumia vibaya masaibu ya kibinadamu ya Wasyria kufikia malengo yao ya kisiasa.
-
Obama ampigia magoti Rais Assad, kufuatia shambulio la ndege za US huko Syria
Sep 24, 2016 11:53Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Rais Barack Obama wa Marekani amemuomba radhi Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia shambulio la ndege za nchi hiyo dhidi ya maeneo ya jeshi la Syria hivi karibuni.
-
Sputnik: Kitabu cha mwongozo wa magaidi wa Syria kimechapishwa nchini Uturuki
Sep 24, 2016 04:40Vikosi vya jeshi la Syria vimenasa nakala ya kitabu kilichochapishwa nchini Uturuki ambacho ndani yake kina maelezo ya utoaji mafunzo kwa magaidi kuhusu jinsi ya kutumia silaha za nyuklia.
-
Rais Assad: Marekani inayatumia makundi ya Daesh na Jab'hatu Nusrah kufikia malengo yake
Sep 22, 2016 11:05Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, Marekani inayatumia makundi ya kigaidi ya Daesh (ISIS) na Jab'hatu Nusrah kufikia malengo yake na kwamba Washington haina nia yoyote ya kuyasambaratisha makundi hayo.
-
UN yataka msaada wa Iran kuhusu migogoro ya Syria, Yemen
Sep 22, 2016 00:55Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametaka msaada wa Iran katika kutafutia suluhisho la kudumu migogoro inayotokota Syria na Yemen.
-
Assad akosoa "uchokozi wa kifedhuli wa Marekani" dhidi ya ngome za jeshi la Syria
Sep 19, 2016 22:16Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema shambulio la ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya ngome za jeshi la nchi hiyo ya Kiarabu ni "uchokozi wa kifedhuli".
-
Russia: Shambulio dhidi ya vikosi vya Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita
Sep 18, 2016 09:54Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imeonya kuwa shambulio la muungano unaoongozwa na Marekani dhidi ya vikosi vya jeshi la Syria linahatarisha makubaliano ya usitishaji vita katika nchi hiyo ya Kiarabu.