Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Salami: Habari ya kutumwa askari wa Saudia nchini Syria ni utani wa kisiasa

    Salami: Habari ya kutumwa askari wa Saudia nchini Syria ni utani wa kisiasa

    Feb 07, 2016 04:30

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (SEPAH) amesema habari ya uwezekano wa Saudi Arabia kutuma majeshi ya nchi kavu nchini Syria ni kichekesho na utani wa kisiasa.

  • Al- Muallem: Watakaoivamia Syria watarejeshwa makwao wakiwa kwenye majeneza

    Al- Muallem: Watakaoivamia Syria watarejeshwa makwao wakiwa kwenye majeneza

    Feb 06, 2016 11:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Walid al-Muallem amesema watakaoivamia ardhi ya Syria watarejeshwa makwao wakiwa kwenye majeneza.

  • Bahrain nayo yasema iko tayari kutuma askari Syria

    Bahrain nayo yasema iko tayari kutuma askari Syria

    Feb 06, 2016 04:22

    Utawala wa Aal-Khalifa umesema Bahrain iko tayari kutuma askari wake wa nchi kavu nchini Syria, eti kupambana na wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran mjini London

    Feb 04, 2016 08:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif leo yuko mjini London, kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Uingereza Phillip Hammond, kushiriki katika kikao cha kimataifa cha kuisaidia Syria na Mashariki ya Kati.

  • Zarif asisitiza umuhimu wa kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Syria

    Zarif asisitiza umuhimu wa kuzingatia kadhia ya wakimbizi wa Syria

    Feb 04, 2016 03:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametaka kuzingatiwa kadhia ya wakimbizi wa Syria na hali ngumu ya kibinadamu nchini humo.

  • Lavrov: Mashambulizi ya anga Syria yataendelea hadi kushindwa kikamilifu magaidi

    Lavrov: Mashambulizi ya anga Syria yataendelea hadi kushindwa kikamilifu magaidi

    Feb 03, 2016 23:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa Moscow itaendeleza mashambulizi yake ya anga huko Syria hadi pale makundi ya kigaidi yatakaposhindwa kikamilifu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS