Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Kushindwa Marekani kuzuia kuanzishwa tena uhusiano wa nchi za Kiarabu na Syria

    Oct 16, 2021 03:53

    Akizungumza Jumatano mbele ya waandishi habari mjini Washington, Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema nchi hiyo haina nia ya kuunga mkono juhudi za kuboreshwa uhusiano na serikali ya Syria.

  • Vikosi vya ulinzi vya Iraq vyadhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Vikosi vya ulinzi vya Iraq vyadhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa nchi hiyo na Syria

    Oct 13, 2021 22:49

    Komandi ya Vikosi vya Gadi ya Mipakani ya Iraq imetangaza kuwa hivi sasa jeshi la nchi hiyo linalidhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa Iraq na Syria.

  • Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli

    Jeshi la Syria latungua makombora ya utawala haramu wa Israeli

    Oct 10, 2021 04:17

    Mfumo wa ngao ya makombora wa Syria umefanikiwa kutungua aghalabu ya makombora ya Israeli yaliyokuwa yamevurumishwa kuelekea kwenye mkoa wa Homs, katikati mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Amir-Abdollahian: Iran ipo pamoja na Syria kwa nguvu zake zote

    Amir-Abdollahian: Iran ipo pamoja na Syria kwa nguvu zake zote

    Oct 09, 2021 22:59

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili lipo pamoja na bega kwa bega na Syria na kuitaja nchi hiyo ya Kiarabu kama mshirika wa kistratijia wa Iran.

  • Interpol yairejeshea Syria uanachama wake

    Interpol yairejeshea Syria uanachama wake

    Oct 05, 2021 04:28

    Syria imerejeshewa uanachama wake katika shirika la Polisi ya Kimataifa (Interpol).

  • Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Oct 04, 2021 22:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuna tishio la kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini mwa Syria na kwamba tishio hilo linaongezeka pia katika baadhi ya maeneo nchini humo.

  • Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Uturuki: Tuna haki kama zilivyo Russia na Marekani ya kuwepo kijeshi nchini Syria

    Oct 02, 2021 08:52

    Msemaji wa rais wa Uturuki amedai kuwa, nchi hiyo, kama zilivyo Russia na Marekani, ina haki ya kuwepo kijeshi katika ardhi ya Syria.

  • Al Miqdadi: Marekani ikomeshe kuwepo kwake haramu kijeshi katika ardhi ya Syria

    Al Miqdadi: Marekani ikomeshe kuwepo kwake haramu kijeshi katika ardhi ya Syria

    Sep 25, 2021 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa, kuwepo kijeshi Marekani nchini humo ni haramu na kinyume cha sheria na inapasa Washington iondoke katika ardhi ya nchi hiyo haraka iwezekanavyo.

  • Meli ya pili ya mafuta kutoka Iran kwa ajili ya Lebanon yatia nanga Baniyas

    Meli ya pili ya mafuta kutoka Iran kwa ajili ya Lebanon yatia nanga Baniyas

    Sep 24, 2021 04:13

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa meli kubwa ya pili ya mafuta kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetia nanga katika bandari ya Baniyas nchini Syria.

  • Msafara mpya wa malori ya mafuta kutoka Iran yamewasili Lebanon

    Msafara mpya wa malori ya mafuta kutoka Iran yamewasili Lebanon

    Sep 22, 2021 04:02

    Televisheni ya al Mayadeen imetangaza kuwa msafara mwingine wa malori yenye shehena ya mafufa kutoka Iran umewasili Lebanon baada ya kuvuka mpaka wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS