Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria

    Wanajeshi vamizi wa Marekani wanapora ngano ya Syria

    Mar 28, 2021 06:33

    Wanajeshi vamizi wa Marekani wamepora malori 38 ya ngano ya Syria iliyokuwa katika maghala huko Tal Alou katika mkoa wa Hasaka kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Makumi wauawa na kujeruhiwa huko Halab Syria katika mashambulizi ya magaidi wanaoungwa mkono na Uturuki

    Mar 22, 2021 03:48

    Makumi ya watu wameuawa na wengine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora yaliyofanywa akatika baadhi ya maeneo ya mji wa Halab huko Syria na magaidi wenye silaha wanaongwa mkono na Uturuki.

  • Jeshi la Syria lazima tena shambulio la makombora la Israel

    Jeshi la Syria lazima tena shambulio la makombora la Israel

    Mar 17, 2021 04:00

    Kwa mara nyingine tena, Jeshi la anga la Syria limekabiliana na shambulizi la makombora la utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Rif Dimashq, viungani mwa mji mkuu Damascus usiku wa kuamkia leo.

  • Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Iran: Marekani ni mvamizi Syria, itoke haraka

    Mar 15, 2021 23:45

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, madola vamizi ikiwemo Marekani yanapaswa kutoka katika ardhi ya Syria na hiyo ndiyo njia pekee ya kukomesha mapigano nchini humo na kutatuliwa kwa njia za amani mgogoro wa nchi hiyo.

  • Syria: Muongo mmoja baada ya kuanza vita vya kimataifa vya kigaidi

    Syria: Muongo mmoja baada ya kuanza vita vya kimataifa vya kigaidi

    Mar 15, 2021 07:56

    Umetimia muongo mmoja tokea vianze vita baina ya serikali ya Syria na makundi ya kigaidi. Swali muhimu ambalo linaibuka hapa ni hili, je ni kwa nini vita hivi vilianza na vimekuwa na matokeo gani baada ya kupita miaka 10.

  • Syria yakanusha madai ya kufanya mazungumzo ya siri na Israel

    Syria yakanusha madai ya kufanya mazungumzo ya siri na Israel

    Mar 14, 2021 04:24

    Syria imekanusha vikali ripoti zinazodai kuwa maafisa wa ngazi za juu wa nchi hiyo ya Kiarabu wanafanya mazungumzo ya siri na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    UAE : Vikwazo vya Marekani vinatatiza Syria kurudi katika Arab League

    Mar 09, 2021 23:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ametoa mwito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Russia: Magaidi wanapanga kufanya 'shambulio bandia la kemikali' Syria

    Russia: Magaidi wanapanga kufanya 'shambulio bandia la kemikali' Syria

    Mar 09, 2021 07:15

    Serikali ya Russia imetahadharisha kuwa, kuna mpango wa kufanywa shambulizi bandia la silaha za kemikali katika mkoa wa Idlib nchini Syria.

  • Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Syria yatuma barua mbili kwa Baraza la Usalama katika kipindi cha masaa 72

    Mar 04, 2021 00:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetuma barua mbili katika kipindi cha masaa 72 kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kulalamikia hujuma dhidi ya mji wa Damascus.

  • Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Marekani yazidi kujiimarisha kijeshi nchini Syria

    Mar 01, 2021 03:20

    Duru mbalimbali za Syria zimetangaza habari ya kuzidi wanajeshi magaidi wa Marekani, kujiimarisha ndani ya ardhi ya Syria. Duru hizo zimesema, msafara mwingine wa wanajeshi magaidi wa Marekani umevuka Iraq na kujizatiti katika viunga vya al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS