Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Trump: Nilitaka kumuua Rais wa Syria lakini Mattis alinizuia

    Trump: Nilitaka kumuua Rais wa Syria lakini Mattis alinizuia

    Sep 16, 2020 21:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kukiri hadharani kwamba alikuwa na nia ya kumuua Rais Bashar al Assad wa Syria kinaonesha jinsi dola hilo la kibeberu linavyotumia kila unyama ikiwa ni pamoja na kuyatumia magenge ya kigaidi kufikia malengo yake.

  • Ngao ya makombora ya Syria yazima mashambulizi ya anga ya  Israel

    Ngao ya makombora ya Syria yazima mashambulizi ya anga ya Israel

    Sep 01, 2020 03:14

    Jeshi la Syria limetangaza kuwa, mfumo wake wa ulinzi wa anga umefanikiwa kutungua makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu, Damascus.

  • Askari wa Saudia waingia katika kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Syria

    Askari wa Saudia waingia katika kambi ya kijeshi ya Marekani nchini Syria

    Aug 29, 2020 02:02

    Saudi Arabia imetuma makumi ya wanajeshi wake katika kambi ya kijeshi ya Marekani katika mkoa wenye utajiri wa mafuta wa Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria. Hayo yameripotiwa na kanali ya televisheni ya al-Mayadeen ya Lebanon.

  • Marekani na wizi wa mafuta ya Syria

    Marekani na wizi wa mafuta ya Syria

    Aug 27, 2020 21:52

    Nchi tatu za Iran, Russia na Uturuki zimetoa taarifa ya pamoja mwishoni mwa kikao cha tatu cha Kamati ya Katiba ya Syria zikilaani wizi wa mafuta unaofanywa na Marekani nchini Syria.

  • Iraq kuendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia kupambana na Daesh

    Iraq kuendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia kupambana na Daesh

    Aug 26, 2020 23:34

    Kamandi ya operesheni za pamoja nchini Iraq imesisitiza kuwa, nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh yaani ISIS na kubadilishana taarifa.

  • Iran yaunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Syria

    Iran yaunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Syria

    Aug 26, 2020 08:33

    Mshauri wa ngazi za juu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amekutana na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria na kusema Tehran inaunga mkono mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria kwa njia sa kisiasa.

  • Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Aug 13, 2020 22:23

    Rais Bashar al Assad wa Syria amekosoa sera za Marekani, Uturuki na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi yake na kuitaja sheria ya Marekani ya Caesar kuwa ni "Uharamia wa Baharini".

  • Kabila la Akidat la nchini Syria laanzisha muqawama dhidi ya vikosi vya Marekani na wanamgambo wa SDF

    Kabila la Akidat la nchini Syria laanzisha muqawama dhidi ya vikosi vya Marekani na wanamgambo wa SDF

    Aug 10, 2020 20:58

    Kabila la Akidat katika mkoa wa Deir- ez Zor nchini Syria limeanzisha muqawama wa wananchi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na waitifaki wao.

  • Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Jul 25, 2020 22:11

    Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.

  • UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    Jul 25, 2020 03:45

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, usalama wa safari za ndege za abiria inapasa uheshimiwe na nchi zote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS