-
Jeshi la Syria laingia Khan Sheikhoun, katika awamu muhimu ya ukombozi wa Idlib
Aug 20, 2019 02:26Jeshi la Syria usiku wa kiamkia tarehe 18 Agosti liliingia katika eneo la Khan Sheikhoun huko kusini mwa mkoa wa Idlib.
-
Alkhamisi tarehe 8 Agosti 2019
Aug 07, 2019 23:34Leo ni Alkhamisi tarehe 6 Dhulhuja 1440 Hijria sawa na tarehe 8 Agosti 2019.
-
Pentagon yakadhibisha madai ya Trump, yasema Daesh bado inaendesha shughuli zake Iraq na Syria
Aug 07, 2019 23:31Rais Donald Trump wa Marekani tarehe 19 Disemba 2018 alitangaza kuwa, askari wa Marekani wataondoka nchini Syria. Trump alidai kuwa, sababu ya uamuzi huo ni kushindwa kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria.
-
Trump atishia kuwaachilia magaidi wa Daesh warejee katika nchi za Ulaya
Aug 02, 2019 07:27Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kubuni na kueneza shughuli za makundi ya kigaidi likiweo la Daesh katika mgogoro wa Syria kwa lengo la kuindoa madarakani serikali halali ya nchi hiyo.
-
Ukosoaji wa Russia kwa utendaji wa Umoja wa Mataifa mkabala na jinai za magaidi nchini Syria
Aug 01, 2019 20:46Syria imekuwa ikikabiliwa na hali ya mchafukoge tangu mwakak 2011 na kisha ikatumbukia katika vita vya ndani baina ya serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo na waungaji mkono wake kwa upande mmoja na makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na madola ya Magharibi na washirika wao wa Kiarabu kwa upande wa pili.
-
UN yatahadharisha juu ya kuendelea mashambulizi ya magaidi huko Syria
Jul 31, 2019 03:23Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kundi la kigaidi la Jabhatul Nusra lingali linaendelea kuwashambulia wananchi wa Syria.
-
Jumatano, 31 Julai, 2019
Jul 30, 2019 20:45Leo ni Jumatano tarehe 28 Dhulqaada 1440 Hijria sawa na Julai 31 mwaka 2019.
-
Vyombo vya ujasusi vya Iraq: Kiongozi wa Daesh yuko Syria, amepooza viungo vya mwili
Jul 29, 2019 22:29Kundi la Vipanga (Falcons) la shirika la upelelezi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq limetangaza kuwa, kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh, Abu Bakr al Baghdadi amejificha Syria na angali na satua baina ya wafuasi wa kundi hilo japokuwa amepooza viungo.
-
Ujumbe wa Putin kwa Bashar al Assad: Russia itaendelea kuiunga mkono Syria
Jul 21, 2019 22:01Rais wa Russia amesisitiza katika ujumbe aliomtumia Rais mwenzake wa Syria kwamba Moscow itaendelea kuunga mkono umoja wa ardhi yote ya Syria.
-
Waziri wa Mafuta wa Daesh (ISIL) auawa na askari wa Iraq nchini Syria
Jul 20, 2019 03:32Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Daesh ameangamizwa na vikosi vya kiintelijensia vya Iran katika mkoa wa Deir Ezzur, mashariki mwa Syria.