Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Jul 11, 2019 21:55

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.

  • Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria

    Ujerumani yakataa ombi la Marekani la kutuma askari Syria

    Jul 09, 2019 03:48

    Rais Donald Trump wa Marekani Disemba mwaka 2018 aliwaahidi Wamarekani kwamba ataliondoa jeshi la nchi hiyo huko Syria. Trump alitoa ahadi hiyo katika kile kinachoaminika kuwa ni sehemu ya kutekeleza kampeni yakee ya kubakia ikulu ya White House.

  • Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria

    Jul 07, 2019 03:18

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuendelezwa oparsheni za jeshi la ulinzi la nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.

  • Russia yaunga mkono njia ya kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria

    Russia yaunga mkono njia ya kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria

    Jul 05, 2019 23:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amehimiza kufanyika juhudi zaidi za kuutatua kisiasa mgogoro wa Syria na kujiepusha na kutumia mabavu.

  • Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Jul 05, 2019 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, mgogoro wa kiusalama Libya huenda ukapanuka zaidi kutokana na wimbi la wananchama wa magenge ya kigaidi ambao wanatorokea nchi hiyo, wakitokea katika mkoa wa Idlib uliko kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Jul 02, 2019 03:14

    Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja huo ikilaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema uchokozi huo ni sehemu ya njama za Tel Aviv za kutaka kurefusha mgogoro nchini Syria.

  • Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Jun 08, 2019 22:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija yoyote.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 07:37

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Jun 02, 2019 10:55

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema sera za Saudi Arabia na Imarati (UAE) zitawadhuru katika siku za usoni.

  • Walid al Mualim: Mzingiro wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Syria ni aina ya ugaidi

    Walid al Mualim: Mzingiro wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Syria ni aina ya ugaidi

    May 30, 2019 03:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa mzingiro wa kiuchumi wa Marekani na baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya na katika eneo dhidi ya wanachi wa Syria ni aina fulani ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS