-
Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria
May 30, 2019 03:22Licha ya kutangazwa kwa mara ya kwanza na Rais Donald Trump wa Marekani habari ya kuondoka askari wa nchi yake kutoka Syria, hapo tarehe 19 Disemba mwaka jana, lakini hadi sasa Washington imeendelea kusisitizia kubakisha askari wake nchini humo.
-
Magaidi 350 waangamizwa na jeshi la Syria katika kipindi cha siku 4
May 25, 2019 21:58Kituo cha uratibu cha Russia katika kambi ya kijeshi ya Mheimim ya magharibi mwa Syria kimetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 350 katika mkoa wa Idlib wa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo, kwenye kipindi cha siku nne zilizopita.
-
Jumatano, 22 Mei, 2019
May 21, 2019 22:53Leo ni Jumatano tarehe 16 Ramadhani mwaka 1440 Hijria sawa na tarehe 22 Mei mwaka 2019 Miladia.
-
OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan
May 11, 2019 03:21Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukabidhi maeneo yote ulioyaghusubu ikiwemo Miinuko ya Golan ya Syria.
-
Amnesty: Muungano wa kijeshi wa Marekani uliua raia 1,600 Raqqa, Syria
Apr 26, 2019 09:49Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani uliua mamia ya raia katika mji wa Raqqa, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Syria yaridhia ombi la serikali ya Qatar la kutaka ndege zake kutumia anga ya nchi hiyo
Apr 24, 2019 09:25Wizara ya Usafirishaji ya Syria imekubali ombi la Shirika la Ndege la Qatar Air Ways la kutumia anga ya nchi hiyo kwa ndege zake, ambapo Damascus imetoa kibali hicho.
-
Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita
Apr 23, 2019 05:20Vyombo vya habari nchini Iraq vimeripoti kwamba kwa mara ya kwanza mabasi yaliyowabeba wafanyaziara wa Iraq yameingia Syria kwa ajili ya kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya kidini ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
-
Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019
Apr 17, 2019 06:40Leo ni Jumatano tarehe 11 Sha'aban 1440, Hijiria, sawa na tarehe 17 Aprili 2019 Miladia.
-
Mazungumzo ya Dakta Zarif na Rais Bashar al-Assad wa Syria
Apr 16, 2019 10:11Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko safarini nchini Syria, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.
-
Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia
Apr 13, 2019 22:00Serikali ya Iraq imetangaza habari ya kufikiwa makubaliano na Syria juu ya kufunguliwa vivuko vya pamoja vya mpakani.