Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    May 30, 2019 03:22

    Licha ya kutangazwa kwa mara ya kwanza na Rais Donald Trump wa Marekani habari ya kuondoka askari wa nchi yake kutoka Syria, hapo tarehe 19 Disemba mwaka jana, lakini hadi sasa Washington imeendelea kusisitizia kubakisha askari wake nchini humo.

  • Magaidi 350 waangamizwa na jeshi la Syria katika kipindi cha siku 4

    Magaidi 350 waangamizwa na jeshi la Syria katika kipindi cha siku 4

    May 25, 2019 21:58

    Kituo cha uratibu cha Russia katika kambi ya kijeshi ya Mheimim ya magharibi mwa Syria kimetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 350 katika mkoa wa Idlib wa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo, kwenye kipindi cha siku nne zilizopita.

  • Jumatano, 22 Mei, 2019

    Jumatano, 22 Mei, 2019

    May 21, 2019 22:53

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Ramadhani mwaka 1440 Hijria sawa na tarehe 22 Mei mwaka 2019 Miladia.

  • OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    May 11, 2019 03:21

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukabidhi maeneo yote ulioyaghusubu ikiwemo Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Amnesty: Muungano wa kijeshi wa Marekani uliua raia 1,600 Raqqa, Syria

    Amnesty: Muungano wa kijeshi wa Marekani uliua raia 1,600 Raqqa, Syria

    Apr 26, 2019 09:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani uliua mamia ya raia katika mji wa Raqqa, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Syria yaridhia ombi la serikali ya Qatar la kutaka ndege zake kutumia anga ya nchi hiyo

    Syria yaridhia ombi la serikali ya Qatar la kutaka ndege zake kutumia anga ya nchi hiyo

    Apr 24, 2019 09:25

    Wizara ya Usafirishaji ya Syria imekubali ombi la Shirika la Ndege la Qatar Air Ways la kutumia anga ya nchi hiyo kwa ndege zake, ambapo Damascus imetoa kibali hicho.

  • Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita

    Usalama warejea Syria, wafanyaziara wa Iraq waingia kwa mabasi baada ya miaka 5 ya vita

    Apr 23, 2019 05:20

    Vyombo vya habari nchini Iraq vimeripoti kwamba kwa mara ya kwanza mabasi yaliyowabeba wafanyaziara wa Iraq yameingia Syria kwa ajili ya kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya kidini ikiwa ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.

  • Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019

    Jumatano, tarehe 17 Aprili, 2019

    Apr 17, 2019 06:40

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Sha'aban 1440, Hijiria, sawa na tarehe 17 Aprili 2019 Miladia.

  • Mazungumzo ya Dakta Zarif na Rais Bashar al-Assad wa Syria

    Mazungumzo ya Dakta Zarif na Rais Bashar al-Assad wa Syria

    Apr 16, 2019 10:11

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye yuko safarini nchini Syria, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.

  • Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Sababu ya umuhimu wa kufikiwa makubaliano ya Iraq na Syria kwa ajili ya kufunguliwa vivuko vya kiistratijia

    Apr 13, 2019 22:00

    Serikali ya Iraq imetangaza habari ya kufikiwa makubaliano na Syria juu ya kufunguliwa vivuko vya pamoja vya mpakani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS