-
Maandalizi ya kutekelezwa na magaidi shambulizi la silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun, Syria
Feb 07, 2019 07:46Jumanne iliyopita, duru za habari nchini Syria ziliripoti kuwepo maandalizi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Tahriru sh-Sham (Jab'hatu Nusrah) kwa ajili ya kutekeleza shambulizi la silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun, kusini mwa mkoa wa Idlib nchini Syria.
-
Syria mwaka 2018 iliuza bidhaa zake katika nchi 90 duniani
Feb 06, 2019 23:26Muungano wa Jumuiya za Syria zinazouza bidhaa nje ya nchi umetangaza kuwa, mwaka uliopita wa 2018 nchi hiyo iliuza bidhaa kwa nchi 90 duniani zikiwemo zile ambazo zilikuwa zimeiwekea vikwazo Damascus.
-
Onyo la Iran kwa chokochoko za Israel dhidi ya Syria
Feb 06, 2019 03:34Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuishambulia Syria.
-
Rais Assad: Jitihada za pamoja za Iran na Syria zimewatia kiwewe maadui
Jan 29, 2019 21:41Rais Bashar al-Assad wa Syria amesisitizia umuhimu wa kuendelea kushirikiana nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuzima njama za maadui wa mataifa haya mawili.
-
Jahangiri: Kama Iran isingelizisaidia Iraq na Syria, sasa hivi magaidi wangelikuwa na dola lao katika eneo hili
Jan 27, 2019 12:03Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kama Tehran isingelizisaidia Baghdad na Damascus katika mapambano yao dhidi ya magenge ya kigaidi, basi sasa hivi magenge hayo yangelikuwa yanazitawala nchi hizo.
-
Kuongezeka harakati za kisiasa za Russia Asia Magharibi; kukabiliana na hatua za Marekani
Jan 27, 2019 04:38Katika miaka ya karibuni Russia imezidisha pakubwa harakati zake katika eneo la Asia Magharibi na kaskazini mwa Afrika. Nukta muhimu kuhusu jitihada hizo za Russia ni kuimarisha uwepo wake wa kijeshi huko Syria tangu Septemba mwaka 2015 kwa lengo la kupambana na makundi ya kigaidi na kuiunga mkono serikali halali ya Syria.
-
Tunisia yaungana na Lebanon na Iraq kutaka Syria irejeshwe Arab League
Jan 27, 2019 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia Khemaies Jhinaoui ametoa mwito kwa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuirejeshea Syria kiti chake cha uwanachama katika jumuiya hiyo na kusisitiza kwamba "mahali pa kimaumbile" pa nchi hiyo ni katika jumuiya hiyo yenye nchi 22 wanachama.
-
Mamia ya wanajeshi wa Marekani na malori 250 yenye silaha waingia Syria
Jan 26, 2019 01:03Katika hali ambayo Washington inadai kuwa ina mpango wa kuondoa wanajeshi wake huko Syria; kundi moja linalofahamika kama Kundi la Kutetea Haki za Binadamu la Syria limeripoti habari kuhusu kuwasili nchini humo mamia ya wanajeshi wa Marekani wakiwa na makumi ya malori yenye silaha.
-
Syria yaalikwa kushiriki kikao cha mabunge ya nchi za Kiarabu
Jan 25, 2019 23:27Duru za Jordan zinaarifu kuwa Atef Tarawneh, spika wa bunge la Jordan amemwalika spika mwenzake wa Syria Hammouda Sabbagh, kushiriki katika kongamano la 29 la mabunge ya nchi za Kiarabu ambalo limepangwa kufanyika mwanzoni mwa mwezi Machi huko Amman mji mkuu wa Jordan.
-
Jenerali Mzayuni akiri uwezo wa kijeshi wa Syria licha ya vita vya ndani vya miaka mingi
Jan 24, 2019 12:26Jenerali mmoja mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amewataka viongozi wa utawala huo wasidharau tahadhari iliyotolewa na Syria kwamba kama Israel itaendelea kufanya mashambulizi nchini humo, basi Syria nayo itajibu kwa kuushambulia uwanja wa ndege wa Tel Aviv.