Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Brigedia Jenerali Hatami: Mustakabali wa uwepo wa washauri wa Iran nchini Syria utatokana na matakwa ya pande mbili

    Brigedia Jenerali Hatami: Mustakabali wa uwepo wa washauri wa Iran nchini Syria utatokana na matakwa ya pande mbili

    Aug 26, 2018 10:22

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uwepo wa washauri wa Kiirani nchini Syria ambao umefanyika kwa ombi la serikali ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa mustakabali wa kuwepo washauri wa Iran nchini Syria utategemea irada na matakwa ya viongozi wa nchi mbili.

  • Russia yaionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote nchini Syria

    Russia yaionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote nchini Syria

    Aug 25, 2018 09:53

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia imeionya Marekani kuhusiana na chokochoko ya aina yoyote ile nchini Syria.

  • Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Russia: Iran iko kihalali nchini Syria na sisi tunaliheshimu hilo

    Aug 24, 2018 21:50

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergei Ryabkov amesema kuwa nchi yake inaheshimu uwepo wa Iran nchini Syria kwani iko huko kihalali na kwa mwaliko wa serikali halali ya nchi hiyo.

  • Njama mpya za magaidi wa Syria za kupeleka gesi ya sumu katika mkoa wa Idlib

    Njama mpya za magaidi wa Syria za kupeleka gesi ya sumu katika mkoa wa Idlib

    Aug 24, 2018 21:50

    Genge la watu wanaovaa kofia nyeupe ambalo lina mfungamano na mashirika ya kijasusi ya Uingereza na Marekani limefanya njama mpya dhidi ya Syria kwa kupeleka shehena ya gesi ya sumu aina chlorine katika mji wa Jisr al-Shughur mkoani Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Damascus yagundua hospitali ya Israel waliyojengewa magaidi kusini mwa Syria

    Damascus yagundua hospitali ya Israel waliyojengewa magaidi kusini mwa Syria

    Aug 23, 2018 10:36

    Jeshi la Syria limegundua hospitali moja ya jangwani iliyokuwa inatumiwa na genge la kigaidi la Jabhat Fat'h al Sham ambalo zamani likuwa likijulikana kwa jina la Jab'hat al Nusra. Hospitali hiyo ambayo imejaa dawa na vifaa vilivyotengezwa Israel imegunduliwa katika mkoa wa Quneitra uliokombolewa hivi karibuni kusini mwa Syria.

  • Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi

    Wizara ya Ulinzi ya Russia: Zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imekombolewa kutoka mikononi mwa magaidi

    Aug 22, 2018 09:57

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa zaidi ya asilimia 96 ya ardhi ya Syria imesha kombolewa kutoka kwenye makucha ya magaidi.

  • Saudia imeupatia dola milioni 100 muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Syria

    Saudia imeupatia dola milioni 100 muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani nchini Syria

    Aug 17, 2018 10:57

    Duru za habari zimeeleza kuwa, utawala wa Kifalme wa Aal-Saudi nchini Saudi Arabia umeupatia kiasi cha Dola milioni 100 muungano wa kimataifa wa kijeshi wa eti kupambana Daesh unaoongozwa na Marekani nchini Syria.

  • Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Aug 16, 2018 08:47

    Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.

  • Syria yafichua njama za watawala wa nchi za Kiarabu

    Syria yafichua njama za watawala wa nchi za Kiarabu

    Aug 14, 2018 03:14

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Faisal Miqdad amesema kuwa, baadhi ya nchi za Kiarabu zimewapatia magaidi kiasi cha dola bilioni 137 kwa shabaha ya kuiharibu Syria.

  • Hasara ya dola bilioni 400 iliyosababishwa na magaidi nchini Syria

    Hasara ya dola bilioni 400 iliyosababishwa na magaidi nchini Syria

    Aug 10, 2018 01:26

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, hasara iliyosababishwa na vita vya zaidi ya miaka saba sasa nchini Syria ni karibu dola bilioni 400.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS