Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Abdollahian: Kukombolewa miinuko ya Golan ya Syria ni jambo linalowezekana

    Abdollahian: Kukombolewa miinuko ya Golan ya Syria ni jambo linalowezekana

    Jul 29, 2018 03:30

    Mshauri maalumu wa Spika wa bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema: kukombolewa miinuko ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu kunawezekana kwa juhudi za wananchi wa Syria.

  • Kukombolewa mji wa Quneitra, dakika za mwisho za uhai wa makundi ya kigaidi Syria

    Kukombolewa mji wa Quneitra, dakika za mwisho za uhai wa makundi ya kigaidi Syria

    Jul 28, 2018 01:58

    Juzi tarehe 26 Julai Jeshi la Syria na waitifaki wake liliingia katika mji wa Quneitra baada ya kukomboa mji huo kutoka kwenye makucha ya makundi ya kigaidi.

  • Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Mashauriano ya Lavrov na Merkel kuhusu Syria

    Jul 25, 2018 22:33

    Tangu mwezi Disemba mwaka 2015 Russia ilituma majeshi katika nchi ya Syria kwa ajili ya kupambana na makundi ya kigaidi na vilevile kuisaidia serikali halali ya nchi hiyo.

  • Moscow: Operesheni za Marekani huko Syria ni kinyume cha sheria

    Moscow: Operesheni za Marekani huko Syria ni kinyume cha sheria

    Jul 25, 2018 09:17

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesisitiza kuwa wanajeshi wa Marekani hawana haki yoyote ya kisheria ya kuendesha oparesheni zaidi huko Syria.

  • Hizbullah: Ushirikiano wetu na Syria upo imara na utaendelea

    Hizbullah: Ushirikiano wetu na Syria upo imara na utaendelea

    Jul 25, 2018 08:34

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba, Syria iko katika kambi ya mapambano na muqawama na kwamba uhusiano wa harakati hiyo na serikali ya Damascus upo imara na utaendelea.

  • Askari wa Marekani waigeuza shule kuwa jela ya kuogofya nchini Syria

    Askari wa Marekani waigeuza shule kuwa jela ya kuogofya nchini Syria

    Jul 22, 2018 23:23

    Askari vamizi wa Marekani wamegeuza jengo la shule moja huko katika mji wa Raqqa kuwa jela ya kuogofya.

  • Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Jul 21, 2018 02:42

    Gazeti la Independent la Uingereza limechapisha nyaraka zinazoonyesha namna ambavyo Saudi Arabia imekuwa ikiwapatia silaha magaidi nchini Syria.

  • Jumamosi, 21 Julai, 2018

    Jumamosi, 21 Julai, 2018

    Jul 20, 2018 20:47

    Leo ni Jumamosi tarehe 7 Mfunguo Pili Dhul-Qaad 1439 Hijria mwafaka na tarehe 21 Julai 2018.

  • Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria  ni wa kisheria

    Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria ni wa kisheria

    Jul 19, 2018 02:59

    Balozi wa Russia mjini Tehran, amesema kuwa uwepo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria ni wa kisheria na kwamba, kwa utashi wa Damascus, Iran itaendelea kuwepo nchini humo katika operesheni za kuwaangamiza magaidi.

  • Mashia waliozingirwa na magaidi wakufurishaji Syria kuokolewa

    Mashia waliozingirwa na magaidi wakufurishaji Syria kuokolewa

    Jul 18, 2018 08:29

    Mabasi kadhaa yamefika katika miji ya Kefraya na al-Foua katika mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria kwa lengo la kuwahamisha Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji hiyo ambao kwa miaka kadhaa sasa wamezingirwa na magaidi wakufurishaji wanaopata himaya ya nchi za kigeni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS