Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Shehena ya mabomu ya Israel yapatikana katika maficho ya ISIS, Syria

    Shehena ya mabomu ya Israel yapatikana katika maficho ya ISIS, Syria

    Jul 18, 2018 03:09

    Jeshi la Syria limegundua shehena iliyojaa mabomu yaliyotengenezwa Israel katika mkoa wa Hama, magharibi mwa nchi; huku vikosi vya serikali vikizidi kupata mafanikio na kusonga mbele katika jitihada za kuyasafisha mabaki ya wanachama wa magenge ya kigaidi na ukufurishaji.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Jul 15, 2018 02:36

    Baada ya kuibuka machafuko ya ndani nchini Syria mwaka 2011, Marekani na waitifaki wake walianza kuunga mkono makundi ya kigaidi yaliyoibua ghasia kwa lengo la kuipundua serikali halali ya nchi hiyo.

  • Daraa Yakombolewa, Jeshi la Syria Lakaribia Kudhibiti Kikamilifu Eneo la Kusini

    Daraa Yakombolewa, Jeshi la Syria Lakaribia Kudhibiti Kikamilifu Eneo la Kusini

    Jul 13, 2018 22:47

    Jeshi la Syria limetangaza kwamba mji wa Daraa ulioko kusini mwa nchi hiyo umekombolewa kikamilifu.

  • Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Jul 13, 2018 10:45

    Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesisitiza kuwa Iran na Russia zitaendelea kuwepo huko Syria na kwamba Iran haitaondoka nchini humo kwa vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Jul 13, 2018 03:07

    Kwa akali raia 30 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika mji wa Bukamal, mkoa wa Dayr al-Zawr mashariki mwa Syria.

  • Hadithi ya Uongofu (117)

    Hadithi ya Uongofu (117)

    Jul 11, 2018 08:40

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran popote pale yanapokufikieni matangazo haya hususan huko nyumbani Afrika Mashariki. Tunakutana tena katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.

  • Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Jul 10, 2018 09:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kipaumbele chake ni ujenzi mpya wa nchi hiyo baada ya kutimuliwa magaidi walioanzisah vita nchini humo mwaka 2011 kwa uungaji mkono wa kigeni.

  • Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Jul 08, 2018 09:41

    Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, washauri wa kijeshi wa Iran watasalia nchini Syria kuisaidia nchi hiyo ya Kiarabu kuzima chokochoko za mabaki ya magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi.

  • Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Jul 08, 2018 03:36

    Russia imezitolea wito nchi mbalimbali ziisaidie Moscow kutegua mabomu ya ardhi katika maeneo yaliyokombolewa kutoka mikononi mwa magaidi huko Syria.

  • OPCW: Hakuna ushahidi wa kutekelezwa shambulizi la kemikali Douma, Syria

    OPCW: Hakuna ushahidi wa kutekelezwa shambulizi la kemikali Douma, Syria

    Jul 07, 2018 02:56

    Uchunguzi wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) umebainisha kwamba hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika katika mji wa Douma, ulioko katika viunga ya mji mkuu wa Syria, Damascus.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS