Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taiwan

  • China yatuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na Taiwan kwa siku ya pili baada ya mkutano wa Tsai-McCarthy

    China yatuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na Taiwan kwa siku ya pili baada ya mkutano wa Tsai-McCarthy

    Apr 08, 2023 02:26

    Maafisa wa Taiwan walisema jana Ijumaa kwamba, China imetuma meli na ndege zaidi za kivita karibu na kisiwa hicho kwa siku ya pili, wakati mvutano ukiendelea kutokota kati ya Beijing na kisiwa hicho kinachojitawala kufuatia mkutano uliofanyika kati ya Rais Tsai Ing-wen wa kisiwa hicho na Spika wa Bunge la Marekani, Kevin McCarthy.

  • China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    China yaonya, tutatoa jibu Rais wa Taiwan akikutana na Spika wa US

    Mar 30, 2023 02:15

    China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua ya kujibu mapigo' iwapo Rais wa Taiwan, Tsai Ing-wen atakutana na Spika wa Kongresi ya Marekani, Kevin McCarthy katika safari yake inayotazamiwa kufanyika karibuni.

  • China yalalamikia safari za maafisa wa Ujerumani na Uingereza huko Taiwan

    China yalalamikia safari za maafisa wa Ujerumani na Uingereza huko Taiwan

    Mar 23, 2023 06:56

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China imelalamikia vikali safari ya Bettina Stark-Wattsinger, Waziri wa Elimu wa Ujerumani katika Kisiwa cha Taiwan na kusisitiza kuwa inapinga safari rasmi ya waziri huyo katika kisiwa hicho kinachomilikiwa na serikali ya Beijing.

  • Jumatatu, Oktoba 10, 2022

    Jumatatu, Oktoba 10, 2022

    Oct 10, 2022 02:13

    Leo ni Jumatatu tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1444 Hijria sawa na Oktoba 10 mwaka 2022 Milaadia.

  • Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Marekani yapiga ngoma ya vita kwa kuipa Taiwan 'msaada' wa kijeshi

    Sep 16, 2022 04:02

    Bunge la Seneti la Marekani limepasisha muswada wa sheria inayotaka Taiwan kupewa msaada wa kijeshi wa mabilioni ya dola, hatua inayotazamiwa kuighadhabisha China.

  • Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Marekani kuiwekea vikwazo China ili 'kuzuia' kuvamiwa Taiwan

    Sep 14, 2022 07:34

    Marekani imeripotiwa kuwa inatafakari kuiwekea China vikwazo ili kuzuia eti mashambulizi tarajiwa ya kijeshi ya Beijing dhidi ya kisiwa cha Taiwan.

  • Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Onyo la China kwa Canada kuhusu safari ya wabunge wake Taiwan

    Aug 26, 2022 02:25

    China imeionya vikali Canada na kusisitiza kuwa itachukua hatua madhubuti na za nguvu iwapo wabunge wa Canada watafanya safari ya kuitembelea Taiwan karibuni hivi.

  • Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Kiwewe cha Marekani kwa kuzidi kuongezeka nguvu za China

    Aug 20, 2022 02:41

    Marekani ambayo imeingia kiwewe kutokana na kuzidi kuongezeka nguvu za China, imeahidi kuchukua hatua za kukabiliana na Beijing katika kipindi cha wiki na miezi ijayo karibu na kisiwa cha Taiwan, kwa tamaa ya kupunguza kasi ya nguvu za kijeshi na kiuchumi za China.

  • China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    China: Uhuru wa Taiwan maana yake ni vita

    Aug 19, 2022 04:04

    Balozi wa China mjini London ameonya kuwa, uingiliaji wa mambo unaofanywa na Uingereza na Marekani juu ya suala la Taiwan hautakuwa na matokeo mengine ghairi ya vita.

  • Bloomberg: China ina uwezo wa kuteketeza kwa muda mfupi ndege 900 za kivita za Marekani

    Bloomberg: China ina uwezo wa kuteketeza kwa muda mfupi ndege 900 za kivita za Marekani

    Aug 13, 2022 01:31

    Jarida la Bloomberg linalochapishwa Marekani limeandika kuwa, endapo vitazuka vita baina ya Marekani na China kwa sababu ya Taiwan, Wachina wataweza kwa muda mfupi kuziangamiza ndege za kivita 900 za Marekani, yaani nusu ya uwezo wote wa kikosi cha anga cha nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS