Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taiwan

  • Alkhamisi, 10 Oktoba, 2019

    Alkhamisi, 10 Oktoba, 2019

    Oct 10, 2019 04:22

    Leo ni Alkhamisi tarehe 11 Safar 1441 Hijria sawa na tarehe 10 Oktoba 2019

  • China: Marekani isicheze na moto katika kadhia ya Taiwan

    China: Marekani isicheze na moto katika kadhia ya Taiwan

    Jul 12, 2019 15:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China ameionya vikali Marekani isijaribu kucheza na moto kuhusiana na suala la Taiwan, huku akikosoa vikali mpango wa Washington wa kukiuzia silaha kisiwa hicho ambacho Beijing inasisitiza kuwa ni milki yake.

  • Jumatano tarehe 10 Oktoba 2018

    Jumatano tarehe 10 Oktoba 2018

    Oct 10, 2018 01:24

    Leo ni Jumatano tarehe 30 Muharram 1440 Hijria sawa na tarehe 10 Oktoba 2018.

  • Marekani kuiuzia Taiwan silaha za kijeshi za dola milioni 330

    Marekani kuiuzia Taiwan silaha za kijeshi za dola milioni 330

    Sep 25, 2018 08:11

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imesema serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha za kijeshi kwa Taiwan yenye thamani ya dola milioni 330.

  • eSwatini (Swaziland) kutokata uhusiano na Taiwan licha ya mashinikizo ya China

    eSwatini (Swaziland) kutokata uhusiano na Taiwan licha ya mashinikizo ya China

    Jun 02, 2018 04:08

    Jamhuri ya eSwatini (Swaziland) imesisitiza kuwa haitakata uhusiano wake wa kidiplomasia na Taiwan licha ya mashinikizo ya kila upande kutoka China.

  • Baada ya kuitelekeza Taiwan, Burkina Faso yaanzisha uhusiano wa kidiplomasia na China

    Baada ya kuitelekeza Taiwan, Burkina Faso yaanzisha uhusiano wa kidiplomasia na China

    May 26, 2018 15:24

    China na Burkina Faso zimeanzisha uhusiano rasmi wa kidiplomasia baada ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi kuvunja uhusiano wake na Taiwan, ukiwa ni ushindi mwingine kwa Beijing inayoendelea kutoa mashinikizo kwa serikali ya Taipei.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Taiwan ajiuzulu baada ya Burkina Faso kukata uhusiano na kisiwa hicho

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Taiwan ajiuzulu baada ya Burkina Faso kukata uhusiano na kisiwa hicho

    May 24, 2018 14:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Taiwan, Joseph Wu ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, baada ya Burkina Faso kukata uhusiano wake wa kidiplomasia na kisiwa hicho ambacho China inadai ni milki yake.

  • Jumanne 10 Oktoba, 2017

    Jumanne 10 Oktoba, 2017

    Oct 10, 2017 18:47

    Leo ni Jumanne tarehe 19 Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 10, 2017.

  • China kuisaidia Gambia baada ya kukata uhusiano na Taiwan

    China kuisaidia Gambia baada ya kukata uhusiano na Taiwan

    Aug 02, 2017 08:10

    China imeahidi kuipa msaada Gambia baada ya nchi hiyo ya Kiafrika kukata uhusiano rasmi na serikali tya Taiwan.

  • Trump akengeuka sera ya Marekani kwa kufanya mazungumzo na Rais wa Taiwan

    Trump akengeuka sera ya Marekani kwa kufanya mazungumzo na Rais wa Taiwan

    Dec 03, 2016 07:49

    Rais mteule wa Marekani Donald Trump amekengeuka sera ambayo nchi hiyo imekuwa ikifuata kwa miaka 37 sasa kwa kuzungumza kwa njia ya simu na Rais wa Taiwan.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS