Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Aug 25, 2021 09:46

    Gazeti la Washington Post limeandika katika toleo lake la jana Jumanne kuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA William Burns amekutana na kufanya mazungumzo kwa njia ya siri na Mkuu wa Kisiasa wa Taliban Mullah Abdul Ghani Baradar, katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Taliban: Hatutaongeza muda wa siku ya mwisho ya askari wa kigeni kuondoka Afghanistan

    Taliban: Hatutaongeza muda wa siku ya mwisho ya askari wa kigeni kuondoka Afghanistan

    Aug 24, 2021 02:47

    Taliban imetoa onyo kwa Marekani ikisisitiza kuwa, siku ya mwisho iliyoainishwa kwa askari wa nchi hiyo kuondoka Afghanistan ni "mstari mwekundu" kwa kundi hilo na kwamba kurefushwa kwa muda wa zoezi hilo kutakuwa na "matokeo mabaya".

  • Washington Examiner: Joe Biden anakimbia Afghanistan

    Washington Examiner: Joe Biden anakimbia Afghanistan

    Aug 21, 2021 07:12

    Mtandao wa habari wa Washington Examiner umejadili kadhia ya Afghanistan kwa makala yenye kichwa cha habari: "Joe Biden anakimbia Afghanistan" na kusema, Marekani imejidanganya na kuona ndoto huko Afghanistan.

  • Ripoti mpya kuhusu matokeo ya vita vya miaka 20 vya Marekani huko Afghanistan

    Ripoti mpya kuhusu matokeo ya vita vya miaka 20 vya Marekani huko Afghanistan

    Aug 20, 2021 00:04

    Taasisi ya Watson Institute for International and Public Affairs katika Chuo Kikuu cha Brown imetangaza katika ripoti yake mpya kwamba, Marekani imetumia dola trilioni 2.26 katika vita vyake vya miaka 20 huko Afghanistan ambavyo vilianza msimu wa mapukutiko wa mwaka 2001.

  • Taliban: Imam Hussein AS ndiye aliyejitoa mhanga mkubwa zaidi katika historia ya Uislamu

    Taliban: Imam Hussein AS ndiye aliyejitoa mhanga mkubwa zaidi katika historia ya Uislamu

    Aug 19, 2021 03:18

    Mkuu wa kamati ya utamaduni ya kundi la Taliban amesema, kundi hilo halina mgongano wala uadui na Mashia na akasisitiza kwamba Imam Hussein AS ndiye aliyejitoa mhanga mkubwa zaidi katika historia ya Uislamu.

  • Kuanza duru mpya katika historia ya kisiasa ya Afghanistan

    Kuanza duru mpya katika historia ya kisiasa ya Afghanistan

    Aug 17, 2021 11:03

    Baada ya wanamgambo wa Taliban kudhibiti mji mmoja baada ya mwingine na hatimaye kuudhibiti mji mkuu Kabul baada ya Rais Muhammad Ashraf Ghani kuikimbia nchi, sasa kumeanza duru mpya katika historia ya kisiasa ya nchi hiyo.

  • Khatibzadeh: Iran itatumia uwezo wake kuleta maelewano Afghanistan

    Khatibzadeh: Iran itatumia uwezo wake kuleta maelewano Afghanistan

    Aug 17, 2021 04:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itatumia uwezo wake wote kwa ajili ya kuhimiza mazungumzo na maelewano nchini Afghanistan.

  • Taliban: Tutaunda utawala wa Kiislamu utakaoshirikisha Waafghani wengine pia

    Taliban: Tutaunda utawala wa Kiislamu utakaoshirikisha Waafghani wengine pia

    Aug 16, 2021 13:12

    Msemaji wa kundi la Taliban ametaka iundwe serikali ya Kiislamu nchini Afghanista inayoendana na mazingira itakayojumuisha na Waafghani wengine pia.

  • Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 15, 2021 10:01

    Sambamba na kundi la Taliban kuendelea kuteka maeneo zaidi huko Afghanistan na kuongezeka wasiwasi kuhusu mustakbali wa nchi hiyo, Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema Ijumaa kwamba hali ya Afghanistan ni mbaya mno na kwamba inatokana na uamuzi wa Rais Joe Biden wa kuondoa askari wa Marekani nchini humo.

  • NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    Aug 14, 2021 07:44

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO ametangaza kuwa, ikiwa kundi la Taliban litaidhibiti Afghanistan yote kupitia mashambulio yake ya kijeshi halitatambuliwa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS