-
Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama
Mar 19, 2020 13:02Watu 27 ambao walichukuliwa sampuli za vipimo vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.
-
Mmarekani na Mjerumani waongeza idadi ya walioingia na corona nchini Tanzania
Mar 18, 2020 09:29Idadi ya watu walio na ugonjwa wa COVID-19 imeongezeka nchini Tanzania baada ya vipimo vya raia wawili wa Marekani na Ujerumani kuthibitika kuwa wameambukizwa kirusi cha corona.
-
Tanzania; Mufti afunga madrasa zote, hali ya mgonjwa wa kwanza wa corona inaendelea vizuri
Mar 18, 2020 09:17Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amewaagiza walimu wa madrasa kufunga madrasa zote nchini humo hadi utakapotangazwa utaratibu mpya.
-
SAUTI, Serikali ya Tanzania yafunga shule zote kuanzia za msingi na secondari kuzuia maambukizi ya virusi hatari vya Corona
Mar 17, 2020 13:47Serikali ya Tanzania imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Jumanne Machi 17, ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona (CODIV-19) ndani ya nchi hiyo.
-
Serikali ya Tanzania yafunga shule, matamasha na michezo kwa hofu ya corona
Mar 17, 2020 11:26Serikali ya Tanzania imesema shule zote za awali, msingi na sekondari zitafungwa kwa siku 30 kuanzia leo Jumanne Machi 17, 2020 ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya virusi vya corona (CODIV-19)
-
Tanzania yathibitisha kuwepo mgonjwa wa corona nchini humo
Mar 16, 2020 10:51Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo mgonjwa wa COVID-19 maarufu kama virusi vya corona ambaye aliingia nchini humo jana Jumapili.
-
Jeshi la Polisi Tanzania: Hatujawapiga wabunge wa upinzani
Mar 14, 2020 10:07Jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limetupilia mbali madai ya kuwapiga wabunge wa chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kusisitiza kuwa, hilo sio jukumu lake.
-
Bernard Membe: Kamati Kuu ya CCM ilifanya uamuzi wa haraka dhidi yangu na kuwaaminisha Watanzania ndivyo sivyo
Mar 09, 2020 11:28Aliyekuwa kada wa chama tawala nchini Tanzania CCM na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Bernard Membe, amesema kuwa kamati kuu ya chama hicho ilifanya haraka kutangaza mapendekezo yake ya kumfukuza ndani ya chama kabla ya kuchukuliwa uamuzi.
-
Dk Bashiru amjibu Membe, asema kama tatizo ni urais tukutane uwanjani
Mar 02, 2020 09:45Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi CCM nchini Tanzania, Dk Bashiru Ally amemjibu Bernard Membe aliyekuwa kada wa chama hicho na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zamani wa nchi hiyo, akimtaka kugombea urais kwa tiketi ya chama kingine cha siasa ili wakutane uwanjani.
-
Watanzania waendelea kutoa radiamali kufuatia Bernard Membe kupigwa kalamu nyekundu na CCM
Mar 01, 2020 11:19Uamuzi wa Kamati Kuu ya chama cha Mapinduzi CCM wa kumfukuza uanachama Bernard Membe kada wa chama hicho na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, umepokelewa kwa hisia tofauti na Watanzania.