Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani lafanyika visiwani Zanzibar, Tanzania

    Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani lafanyika visiwani Zanzibar, Tanzania

    Mar 19, 2023 12:39

    Kongamano la siku mbili la Idhaa za Kiswahili Duniani limeendelea leo visiwani Zanzibar nchini Tanzania kwa mada mbalimbali zilizowasilishwa na wataalamu wa lugha hiyo kutoka pembe tofauti za dunia.

  • Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano

    Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano

    Mar 17, 2023 07:02

    Serikali ya Tanzania imetoa tahadhari juu ya uwepo wa ugonjwa ambao bado haujajulikana Mkoani Kagera katika Wilaya ya Bukoba Vijijini ambapo watu 7 wanasadikika walipata dalili za homa, kutapika, kutokwa damu maeneo mbalimbali ya mwili na figo kushindwa kufanya kazi.

  • Rais Samia wa Tanzania: Wapinzani si maadui wa taifa

    Rais Samia wa Tanzania: Wapinzani si maadui wa taifa

    Mar 05, 2023 12:37

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuukumbatia upinzani na kusisitiza kuwa, wapinzani si maadui wa taifa, bali ni nguzo muhimu ya demokrasia ya nchi hiyo. Serikali ya mtangulizi wake hayati John Magufuli ilikuwa inatuhumiwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na viongozi wa upinzani.

  • Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti

    Mar 04, 2023 03:54

    Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.

  • Mufti wa Tanzania alaani vikali mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja

    Mufti wa Tanzania alaani vikali mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja

    Mar 03, 2023 03:07

    Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ali, amelaani vikali unyanyasaji wa watoto na kumpongeza Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan pamoja na serikali kwa ujumla kwa kupiga vita tabia hiyo mbaya.

  • UNHCR yaipongeza Tanzania kwa kuendelea kuwa kimbilio la waliofukuzwa makwao

    UNHCR yaipongeza Tanzania kwa kuendelea kuwa kimbilio la waliofukuzwa makwao

    Feb 11, 2023 11:57

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amepongeza utamaduni wa muda mrefu wa Tanzania wa kukaribisha wakimbizi, sambamba na juhudi za taifa hilo za kuendelea kukidhi mahitaji ya wale wanaokimbia ghasia makwao.

  • Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya

    Feb 05, 2023 11:33

    Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Lodwar- Kakuma eneo la Kakwamunyen, kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya.

  • Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani

    Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani

    Jan 27, 2023 06:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tuko tayari kutoa ujuzi na uzoefu wetu, hasa katika nyanja za elimu, kilimo, uvuvi, ujenzi wa mabwawa, usimamizi wa vyanzo vya maji na kilimo umwagiliaji, ili kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za mapinduzi ya viwanda.

  • Lissu arejea nyumbani kwa kishindo; ujio wake utahuisha upinzani Tanzania?

    Lissu arejea nyumbani kwa kishindo; ujio wake utahuisha upinzani Tanzania?

    Jan 25, 2023 12:09

    Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu amerejea nyumbani kutoka uhamishoni baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa marufuku ya mikutano ya kisiasa ya hadhara.

  • Vigogo wa upinzani kurejea Tanzania kufuatia tangazo la Rais Samia

    Vigogo wa upinzani kurejea Tanzania kufuatia tangazo la Rais Samia

    Jan 10, 2023 07:39

    Huku Chama cha Demokrasia ya Maendeleo 'Chadema' kikitarajia kuzindua mikutano ya hadhara Januari 21 mwaka huu nchini Tanzania, viongozi wa chama hicho kikuu cha upizani walioko nje ya nchi, Tundu Lissu, Godbless Lema na Ezekia Wenje wanatazamiwa kuwa miongoni mwa washiriki katika mikutano hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS