-
Rais Kagame ziarani Tanzania, aeleza umuhimu wa nchi hiyo kwa Rwanda
Apr 27, 2023 22:53Rais wa Rwanda, Paul Kagame, jana alianza ziara ya siku mbili nchini Tanzania inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili huku akimpongeza mwenyeji wake, Rais Samia Suluhu Hassa kwa kufanya juhudi za kuupatia ufumbuzi mgogoro nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Poda za Kimarekani za Johnson & Johnson zinasababisha saratani, Tanzania yaanzisha uchunguzi
Apr 08, 2023 07:58Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linachunguza uwezekano wa kuwepo kwenye soko poda za watoto zinazotengenezwa na kampuni kubwa ya dawa ya Marekani, Johnson & Johnson (J&J), ambazo imebainika kuwa zinasababisha saratani.
-
WHO: Dunia iisaidie Tanzania kukabili Marburg; kesi mpya zaripotiwa E.Guinea
Mar 24, 2023 03:45Shirika la Afya Duniani (WHO) limeitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na kuiunga mkono Tanzania katika kupambana na mripuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Marburg.
-
Kongamano la Idhaa za Kiswahili Duniani lafanyika visiwani Zanzibar, Tanzania
Mar 19, 2023 09:09Kongamano la siku mbili la Idhaa za Kiswahili Duniani limeendelea leo visiwani Zanzibar nchini Tanzania kwa mada mbalimbali zilizowasilishwa na wataalamu wa lugha hiyo kutoka pembe tofauti za dunia.
-
Ugonjwa usiojulikana wazua wasiwasi mkoani Kagera, Tanzania, waua watu watano
Mar 17, 2023 03:32Serikali ya Tanzania imetoa tahadhari juu ya uwepo wa ugonjwa ambao bado haujajulikana Mkoani Kagera katika Wilaya ya Bukoba Vijijini ambapo watu 7 wanasadikika walipata dalili za homa, kutapika, kutokwa damu maeneo mbalimbali ya mwili na figo kushindwa kufanya kazi.
-
Rais Samia wa Tanzania: Wapinzani si maadui wa taifa
Mar 05, 2023 09:07Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuukumbatia upinzani na kusisitiza kuwa, wapinzani si maadui wa taifa, bali ni nguzo muhimu ya demokrasia ya nchi hiyo. Serikali ya mtangulizi wake hayati John Magufuli ilikuwa inatuhumiwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na viongozi wa upinzani.
-
Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Mar 04, 2023 00:24Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.
-
Mufti wa Tanzania alaani vikali mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja
Mar 02, 2023 23:37Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ali, amelaani vikali unyanyasaji wa watoto na kumpongeza Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan pamoja na serikali kwa ujumla kwa kupiga vita tabia hiyo mbaya.
-
UNHCR yaipongeza Tanzania kwa kuendelea kuwa kimbilio la waliofukuzwa makwao
Feb 11, 2023 08:27Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amepongeza utamaduni wa muda mrefu wa Tanzania wa kukaribisha wakimbizi, sambamba na juhudi za taifa hilo za kuendelea kukidhi mahitaji ya wale wanaokimbia ghasia makwao.
-
Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya
Feb 05, 2023 08:03Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Lodwar- Kakuma eneo la Kakwamunyen, kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya.