Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Askari wa Tanzania, Botswana wauawa Cabo Delgado, Msumbiji

    Askari wa Tanzania, Botswana wauawa Cabo Delgado, Msumbiji

    Dec 02, 2022 02:44

    Wanajeshi wawili wa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC wameuawa katika makabiliano baina yao na wanamgambo katika jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji.

  • Viongozi wa Tanzania watakiwa kutoa uhuru wa kisiasa + SAUTI

    Viongozi wa Tanzania watakiwa kutoa uhuru wa kisiasa + SAUTI

    Nov 21, 2022 02:21

    Viongozi Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wametakiwa kuhakikisha harakati za kisiasa zinafanyika katika mazingira ya uhuru na haki nchini humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nchi za Afrika zakutana Zanzibar kujadili maji safi na taka

    Nov 15, 2022 07:51

    Nchi 42 za Afrika zinakutana Zanzibar nchini Tanzania kuanzia leo kujadili na kubadilishana uzoefu kuhusu udhibiti wa sekta ya maji safi na taka Afrika.

  • Mabaharia 16 Wairani waachiliwa huru Tanzania

    Mabaharia 16 Wairani waachiliwa huru Tanzania

    Nov 13, 2022 04:46

    Mabaharia 16 Wairani waliokuwa wanashikiliwa nchini Tanzania wameachiliwa huru hivi karibuni. Hayo yamedokezwa na Mkuu wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran katika Eneo la Biashara Huria la Chabahar katika mkoa wa Sistan na Baluchestan kusini-mashariki mwa Iran ambaye amesema mabaharia hao walioachiliwa huru ni wenyeji wa mkoa wa Sistan na Baluchestan.

  • Walimu waliombadilishia namba ya mtihani mwanafunzi wa Darasa la 7 Tanzania wafukuzwa kazi

    Walimu waliombadilishia namba ya mtihani mwanafunzi wa Darasa la 7 Tanzania wafukuzwa kazi

    Oct 26, 2022 02:33

    Serikali ya Tanzania imeifungia Shule ya Awali na Msingi ya Chalinze Modern Islamic kuwa kituo cha Mitihani pamoja na kuwafuta kazi wasimamizi wa mtihani ambao ni walimu kutokana na udanganyifu uliofanyika katika Mtihani wa Darsa la Saba uliofanyika tarehe 5 na 6 za mwezi huu wa Oktoba.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran apongeza kuteuliwa mwenzake wa Tanzania

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran apongeza kuteuliwa mwenzake wa Tanzania

    Oct 18, 2022 07:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemnyooshea mkono wa tahania Stergomena Lawrence Tax, kwa kuteuliwa kuwa Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Tanzania.

  • Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Daktari Mtanzania aaga dunia kwa Ebola nchini Uganda

    Oct 01, 2022 12:14

    Daktari mmoja raia wa Tanzania aliyekuwa akifanya kazi nchini Uganda ameaga dunia kutoka na ugonjwa wa Ebola.

  • Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger

    Maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein yafanyika Tanzania, Nigeria, Niger

    Sep 18, 2022 08:16

    Waislamu ya madhehebu ya Shia Tanzania, visiwani Zanzibar, Nigeria na Niger wamefanya marasimu, matembezi na vikao vya kuadhimisha Arubaini ya Imam Hussein (AS).

  • Mkuu wa UNHCR awataka wahisani waisaidie Tanzania kwa inavyoendelea kukirimu wakimbizi

    Mkuu wa UNHCR awataka wahisani waisaidie Tanzania kwa inavyoendelea kukirimu wakimbizi

    Aug 28, 2022 07:07

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR amewahimiza wahisani kuunga mkono zaidi suluhu na hiari juu ya suala la wakimbizi na kusifu maendeleo yaliyopigwa katika ulinzi wa wakimbizi nchini Tanzania.

  • Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika

    Iran: Uhusiano wetu na Tanzania unazidi kustawi na kuimarika

    Aug 27, 2022 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter kuwa, uhusiano wa Tehran na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unazidi kuwa imara.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS