Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF

    Feb 08, 2022 07:46

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwatia mbaroni raia watatu wa Tanzania, kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa ADF.

  • Dr. Tulia Ackson achaguliwa kuwa spika mpya wa Bunge la Tanzania

    Dr. Tulia Ackson achaguliwa kuwa spika mpya wa Bunge la Tanzania

    Feb 01, 2022 13:33

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemchagua Dk Tulia Ackson kuwa spika wa bunge hilo.

  • Tanzania yapata nafasi muhimu ya sayansi na teknolojia Umoja wa Mataifa

    Tanzania yapata nafasi muhimu ya sayansi na teknolojia Umoja wa Mataifa

    Jan 19, 2022 02:57

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii, ECOSOC, Collen Vixen Kelapile ameiteua nchi ya Tanzania kuwa Mwenyekiti Mwenza wa Jukwaa la Saba la Wadau Mbalimbali wa Masuala ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi katika kutekeleza Agenda ya 2030 ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs.

  • Athari za mabadiliko ya tabianchi; kiangazi chaua mifugo 62,000 Tanzania

    Athari za mabadiliko ya tabianchi; kiangazi chaua mifugo 62,000 Tanzania

    Jan 15, 2022 12:13

    Kipindi kirefu cha kiangazi kimeua makumi ya maelfu ya mifugo katika wilaya ya Simanjiro mkoani Manyarahuku, kaskazini mwa Tanzania, huku makali ya ukame yakiendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Ajali ya gari la waandishi habari yaua watu wasiopungua 14 Simiyu, Tanzania

    Ajali ya gari la waandishi habari yaua watu wasiopungua 14 Simiyu, Tanzania

    Jan 11, 2022 14:13

    Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia baada ya gari ya waandishi wa habari iliyokuwa kwenye msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza (RC), Robert Gabriel kugongana na gari ya abiria aina ya Toyota Hiace katika eneo la Nyamikoma wilaya ya Busega Mkoani Simiyu.

  • Biashara ya Kenya na Tanzania yaimarika kufuatia agizo la Rais Samia

    Biashara ya Kenya na Tanzania yaimarika kufuatia agizo la Rais Samia

    Jan 09, 2022 08:04

    Biashara baina ya Kenya na Tanzania inazidi kuimarika miezi kadhaa baada ya kuja madarakani Rais Samia Suluhu Hassan nchini Tanzania.

  • Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania ajiuzulu

    Job Yustino Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania ajiuzulu

    Jan 06, 2022 14:15

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo ndani ya Bunge leo Alkhamisi, Januri 6, 2022.

  • Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Watu 9 waaga dunia kwa kuzama baharini kisiwani Pemba, wengine hawajulikani waliko

    Jan 05, 2022 03:20

    Watu tisa wamefariki dunia na wengine kadhaa kuokolewa baada ya boti waliokuwa wakisafiria kuzama Mkoa wa Kusini Pemba.

  • Serikali ya Tanzania yawataka raia wachukue tahadhari ya magonjwa ya kuambukiza

    Serikali ya Tanzania yawataka raia wachukue tahadhari ya magonjwa ya kuambukiza

    Dec 18, 2021 08:14

    Wizara ya Afya ya Tanzania imewataka raia kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukiza, wakati huu hospitali nyingi nchini humo, zikiripoti ongezeko la wagonjwa wanaougua mafua, kifua na maumivu ya viungo.

  • Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Tanzania aomba Wimbo wa Taifa ubadilishwe

    Mkuu wa Kanisa la Kilutheri Tanzania aomba Wimbo wa Taifa ubadilishwe

    Dec 07, 2021 15:57

    Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Askofu Fredrick Shoo, ameomba neno HAKI liongezwe katika wimbo wa taifa hilo, akisisitiza kuwa ni tunda la amani ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS