-
Mbunge Marekani: Hujuma za kigaidi Tehran ni stratejia ya Trump
Jun 10, 2017 03:35Mbunge katika chama tawala cha Republican nchini Marekani amesema hujuma za hivi karibuni za kundi la kigaidi la ISIS mjini Tehran inaweza kuwa stratijia ya Rais Donald Trump.
-
Mohammadi-Golpayegani: Maadui hawawezi kulikatisha tamaa taifa la Iran kwa kufanya mauaji
Jun 09, 2017 15:25Mkuu wa ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, hatua ya maadui ya kufanya mauaji katu haiwezi kulikatisha tamaa taifa la Iran.
-
Wairan wawaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi ya Tehran
Jun 09, 2017 08:21Shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya juzi hapa Tehran imefanyika kwa kuhudhuriwa na viongozi wa ngazi ya juu pamoja na familia za mashahidi hao katika ukumbi wa Aftab wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran yaani Bunge.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran hayatavuruga azma ya taifa la Iran
Jun 09, 2017 08:21Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametoa ujumbe wa rambirambi kwa mnasaba wa mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika siku chache zilizopita mjini Tehran akisisitiza kuwa, jinai hiyo haiwezi kutia doa katika irada na azma ya taifa la Iran.
-
Zarif: Matamshi ya Trump kuhusu mashambulio ya kigaidi ya Tehran yanaudhi
Jun 08, 2017 15:35Dk. Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, matamshi ya rais wa Marekani, Donald Trump kuhusiana na mashambulizi ya kigaidi ya mjini Tehran ni kejeli kwa wahanga wa mashambulizi hayo na yanaudhi.
-
Kiongozi Muadhamu: Magaidi hawawezi kufua dafu mbele ya irada ya taifa la Iran
Jun 08, 2017 04:52Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alasiri ya jana alihutubia hadhara ya wanafunzi wa vyuo vikuu waliokwenda kuonana naye na kusema kuwa, mashambulizi ya kigaidi yaliyofanyika jana mjini Tehran hayawezi kutia doa katika irada na azma kubwa ya taifa na viongozi wa Iran.
-
Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran kufunguliwa
May 29, 2017 07:25Maonyesho ya 25 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran yanaanza leo Alasiri katika Ukumbi wa Sala wa Imam Khomeini MA mjini Tehran.
-
Ayatullah Kermani apongeza ushiriki mkubwa wa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa leo
May 19, 2017 16:24Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amepongeza ushiriki mkubwa wa wananchi katika upigaji kura wa uchaguzi wa rais leo na kusema kuwa, suala hilo ni jambo muhimu.
-
Ayatullah Kadhim Siddiqi: Uchaguzi ni alama ya uwezo na izza ya taifa la Iran
May 12, 2017 16:15Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran, amesema kuwa ushiriki wa wananchi wa Iran katika nyanja mbalimbali za kisiasa na katika uchaguzi ni dhihirisho la uwezo, izza na imani ya wananchi hao kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Kujitokeza kwa wingi Wairani katika upigaji kura kutawashangaza maadui
Apr 28, 2017 14:49Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika upigaji kura hapo Mei 19 ni jambo ambalo litawashangaza maadui na kuwapelekea wapoteze matumaini.