-
Netanyahu ndiye aliyeamuru kushambuliwa kwa droni meli za msafara wa Sumud bandarini Tunisia
Oct 06, 2025 02:22Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ndiye aliyetoa idhini ya kufanywa mashambulio ya ndege zisizo na rubani yaliyolenga msafara wa kimataifa wa meli za misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Ghaza zilizokuwa zimetia nanga kwenye bandari ya Tunisia.
-
Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza
Sep 05, 2025 10:24Wananchi wa nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Yemen na Gaza, wakionesha mshikamano wa wazi na harakati za ukombozi wa Wapalestina.
-
Tunisia yaijia juu polisi ya Ufaransa kwa kuua raia wake Marseille
Sep 04, 2025 07:36Tunisia imewasilisha malalamiko rasmi kwa Ufaransa, ikilaani mauaji ya raia wa nchi hiyo ya Kiarabu yaliyofanywa na polisi wa Ufaransa katika mji wa kusini wa Marseille.
-
Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?
Sep 03, 2025 02:32Wananchi wa baadhi ya nchi za Kiafrika wamefanya maandamano makubwa kujibu jinai za Israel za kuishambulia Yemen na kuendelea jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Jibu la Tunisia kwa kauli ya Netanyahu ni ishara ya wasiwasi wa nchi za Kiarabu kuhusu mipango ya upanuzi ya Israel
Aug 22, 2025 02:13Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano ya kupinga uzayuni wakilaani matamshi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, kuhusu kile kinachoitwa “Israeli Kubwa.”
-
UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara
Aug 10, 2025 02:36Ujumbe wa Sahara Magharibi ukiongozwa na mwanadiplomasia mkuu wa Harakati ya Polisario umekutana na Waziri wa Uingereza anayehusika na Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Hamish Falconer mjini London sambamba na kuongezeka juhudi za kimataifa za kuushughulikia mzozo wa Sahara Magharibi.
-
Wafuasi wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya Muungano Mkuu wa Wafanyakazi (UGTT)
Aug 08, 2025 02:30Mamia ya wafuasi wa Rais Kais Saied wa Tunisia jana waliandamana nje ya makao makuu ya Muungano Mkuu wa Wafanyakazi wa Tunisia (UGTT) na kumtaka kiongozi huyo kusimamisha muungano huo kufuatia mgomo wa sekta ya usafirishaji wiki iliyopita ambao umeilemaza nchi.
-
Mamia waandamana Tunis kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na njaa Gaza
Aug 05, 2025 02:47Mamia ya wananchi wa Tunisia jana Jumatatu walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa nchi hiyo Tunis kuonyesha mshikamano mkubwa na wananchi wa Palestina kutokana na hali mbaya ya kibinadamu inayoendelea Gaza.
-
Jumatatu, tarehe 26 Mei mwaka 2025
May 26, 2025 02:12Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria sawa na tarehe 26 Mei 2025.
-
Watu kadhaa wajeruhiwa katika maandamano ya kulalamikia kuaga dunia wanafunzi 3 Tunisia
Apr 17, 2025 13:49Watu kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika katika mji wa Mezzouna katikati mwa Tunisia kufuatia vifo vya wanafunzi watatu. Wanafunzo hao wamepoteza maisha baada ya kuangukiwa na ukuta wa shule.