-
UK yampokea kiongozi wa Polisario ikiwa imeiunga mkono Morocco katika mzozo wa Sahara
Aug 10, 2025 02:36Ujumbe wa Sahara Magharibi ukiongozwa na mwanadiplomasia mkuu wa Harakati ya Polisario umekutana na Waziri wa Uingereza anayehusika na Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini Hamish Falconer mjini London sambamba na kuongezeka juhudi za kimataifa za kuushughulikia mzozo wa Sahara Magharibi.
-
Wafuasi wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya Muungano Mkuu wa Wafanyakazi (UGTT)
Aug 08, 2025 02:30Mamia ya wafuasi wa Rais Kais Saied wa Tunisia jana waliandamana nje ya makao makuu ya Muungano Mkuu wa Wafanyakazi wa Tunisia (UGTT) na kumtaka kiongozi huyo kusimamisha muungano huo kufuatia mgomo wa sekta ya usafirishaji wiki iliyopita ambao umeilemaza nchi.
-
Mamia waandamana Tunis kuwaunga mkono Wapalestina wanaokabiliwa na njaa Gaza
Aug 05, 2025 02:47Mamia ya wananchi wa Tunisia jana Jumatatu walifanya maandamano katika mitaa mbalimbali ya mji mkuu wa nchi hiyo Tunis kuonyesha mshikamano mkubwa na wananchi wa Palestina kutokana na hali mbaya ya kibinadamu inayoendelea Gaza.
-
Jumatatu, tarehe 26 Mei mwaka 2025
May 26, 2025 02:12Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Pili Dhul-Qaadah 1446 Hijria sawa na tarehe 26 Mei 2025.
-
Watu kadhaa wajeruhiwa katika maandamano ya kulalamikia kuaga dunia wanafunzi 3 Tunisia
Apr 17, 2025 13:49Watu kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika katika mji wa Mezzouna katikati mwa Tunisia kufuatia vifo vya wanafunzi watatu. Wanafunzo hao wamepoteza maisha baada ya kuangukiwa na ukuta wa shule.
-
Pezeshkian: Mataifa ya Kiislamu yanaweza kukomesha jinai za Israel
Apr 03, 2025 11:38Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu unaweza kuwa chachu ya kukomeshwa jinai za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Tunisia yalaaniwa kwa kumkamata mwanachuo aliyepeperusha bendera ya Palestina
Mar 26, 2025 11:12Mwanafunzi mmoja wa Tunisia amekamatwa kwa kuingia uwanjani na kupeperusha bendera ya Palestina wakati wa mechi ya kuwania kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.
-
Rais wa Tunisia amfuta kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri
Mar 21, 2025 11:49Rais wa Tunisia, Kais Saied amemfukuza kazi Waziri Mkuu, Kamel Maddouri na kumteua Waziri wa Vifaa na Makazi, Sara Zaafarani kushika nafasi yake.
-
Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yafunguliwa Tunisia
Feb 17, 2025 04:34Maonyesho ya "Qur'ani katika Macho ya Wengine" yamefunguliwa katika Maktaba ya Kitaifa ya Tunisia, na yataendelea hadi Aprili 30, kwa ushirikiano wa Taasisi ya Urithi wa Kitaifa na Taasisi ya Utafiti wa Kisasa wa Maghreb.
-
Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu
Nov 23, 2024 07:56Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo wakipongeza na kukaribisha kutolewa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) hati ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant.