-
Maelfu ya Watunisia wakaribisha kutolewa hati ya kukamatwa Netanyahu
Nov 23, 2024 04:26Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo wakipongeza na kukaribisha kutolewa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) hati ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa utawala huo Yoav Gallant.
-
Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege
Nov 07, 2024 06:25Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa kwa vile uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unazidi kuimarisha siku baada ya siku.
-
Watunisia wapiga kura kumchagua Rais
Oct 06, 2024 08:14Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wameshiriki katika uchaguzi wa rais pasina upinzani mkali dhidi ya rais aliyeko madarakani, Kais Saied, ambaye anatazamiwa kuibuka mshindi.
-
Maiti 13 za wahajiri zapatikana pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia
Sep 26, 2024 00:30Askari wa gadi ya baharini ya Tunisia wameopoa majini miili 13 ya wahamiaji wasio na vibali katika mkoa wa pwani wa Mahdia kusini mashariki mwa Tunisia.
-
Wahamiaji waliotelekezwa waokolewa karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria
Aug 31, 2024 04:37Kundi la haki za binadamu nchini Tunisia limesema limewapatia hifadhi wahajiri na wahamiaji 28 mbao waliachwa bila maji na chakula karibu na mpaka wa Tunisia na Algeria.
-
Kambi ya upinzani Tunisia yalaani 'mbinyo' wa kabla ya uchaguzi wa rais
Aug 03, 2024 03:24Wagombea urais wa kambi ya upinzani nchini Tunisia, mashirika ya kutetea haki za binadamu na vyama vya kisiasa vimelaani 'vizuizi vya kiholela' vilivyowekwa dhidi yao na serikali ya Tunis kabla ya uchaguzi wa Oktoba 6.
-
Tunisia yatangaza tarehe ya uchaguzi wa rais
Jul 06, 2024 07:50Tume ya Uchaguzi nchini Tunisia imetangaza Oktoba 6 mwaka huu kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.
-
Rais wa Tunisia amfuta kazi waziri kwa vifo vya makumi ya Mahujaji Makka
Jun 22, 2024 07:48Rais Kais Saied wa Tunisia amempiga kalamu nyekundu Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo, Brahim Chaibi, akimbebesha dhima ya vifo vya makumi wa raia wa nchi hiyo, waliokuwa miongoni mwa malaki ya Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah mjini Makka, Saudi Arabia mwaka huu.
-
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar
May 23, 2024 01:32Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na "Tamim bin Hamad Al-Thani" Amir wa Qatar na ujumbe aliofuatana nao, ameishukuru Qatar kwa rambirambi zake katika msiba wa kufa shahidi Sayyid Ebrahim Raisi na mashahidi wenzake, na kusisitiza haja ya kuendelea ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.
-
Watunisia waandamana kupinga 'uingiliaji wa kigeni'
May 20, 2024 03:24Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kulaani na kupinga hatua ya nchi za Magharibi ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.