Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Ghannouchi, kiongozi wa upinzani Tunisia aliyefungwa jela aanza mgomo wa kususia kula

    Ghannouchi, kiongozi wa upinzani Tunisia aliyefungwa jela aanza mgomo wa kususia kula

    Feb 20, 2024 07:06

    Rached Ghannouchi, mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tunisia na kiongozi wa chama cha Ennahda, ameanza mgomo wa kususia kula akiwa kifungoni jela kuonyesha mshikamano na wanaharakati wenzake wanaopinga serikali.

  • Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Wahajiri 40 wahofiwa kufa maji wakielekea Italia

    Jan 17, 2024 07:40

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha wakiwa katika safari ya baharini wakielekea Italia.

  • Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Dec 25, 2023 02:41

    Wananchi wa Tunisia jana Jumapili walifanya maandamano mkabala wa ubalozi wa Marekani katika mij mkuu wa nchi hiyo Tunis, kwa ajili ya kuiunga mkono Gaza. Wananchi wa Tunisia wamekuwa wakiandamana kwa ajili ya kuwaunga mkono raia wa Palestina wa Ukanda wa Gaza na kupinga mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni.

  • Muswada wa kujinaisha uhusiano na Israel wavuka kiunzi cha kwanza Tunisia

    Muswada wa kujinaisha uhusiano na Israel wavuka kiunzi cha kwanza Tunisia

    Oct 25, 2023 07:36

    Kamati ya Bunge la Tunisia imepasisha katika marhala ya kwanza muswada wa sheria inayotaka vitendo vya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel kuwa kosa la jinai.

  • Maelfu ya Watunisia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Maelfu ya Watunisia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Oct 13, 2023 07:13

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano wakionyesha mshikamano wao na wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina sanjari na kulaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.

  • Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Oct 05, 2023 03:16

    Rais Kais Saied wa Tunisia amekataa kupokea msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya (EU) uliokusudia kupiga jeki bajeti ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, sanjari na kuisaidia kukabiliana na mgogoro wa wakimbizi.

  • Mabalozi wa kigeni wanaoishi Tunisia walaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mabalozi wa kigeni wanaoishi Tunisia walaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 04, 2023 06:49

    Baadhi ya mabalozi wa nchi za kigeni wanaoishi nchini Tunisia wamelaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutoa taarifa ya pamoja kwa mnasaba wa kukumbuka mashambulizi ya anga ya utawala huo dhidi ya Tunisia.

  • Rais wa Tunisia apinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Rais wa Tunisia apinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Aug 30, 2023 04:40

    Rais Kais Saied wa Tunisia amekanusha vikali madai kuwa taifa hilo lina azma ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Aug 11, 2023 02:19

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Tunisia yatangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais

    Tunisia yatangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais

    Aug 10, 2023 06:57

    Msemaji wa Tume Kuu ya Uchaguzi ya Tunisia amesema kuwa uchaguzi ujao wa raia wa nchi hiyo umepangwa kufanyika katika msimu wa machipuo mwakani kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2014 ambayo haijabadilishwa au kufutwa.  

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS