Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Aug 08, 2023 07:32

    Wahajiri wasiopungua 11 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.

  • Siku 100 tangu kukamatwa kwa Ghannouchi, watu mashuhuri 800 wa Kiarabu na Kiislamu wataka aachiliwe huru

    Siku 100 tangu kukamatwa kwa Ghannouchi, watu mashuhuri 800 wa Kiarabu na Kiislamu wataka aachiliwe huru

    Jul 29, 2023 03:36

    Karibu watu mashuhuri 800 wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wametangaza mshikamano wao na Spika wa Bunge lililovunjwa la Tunisia, Rached Ghannouchi, kwa mnasaba wa kutimia siku 100 tangu kukamatwa kwake, na wametoa wito wa kuachiwa huru wafungwa wote wa kisiasa nchini Tunisia bila masharti yoyote.

  • Human Rights Watch: Tunisia inawadhalilisha pakubwa wahamiaji weusi wa Kiafrika

    Human Rights Watch: Tunisia inawadhalilisha pakubwa wahamiaji weusi wa Kiafrika

    Jul 20, 2023 11:26

    Shirika la Human Rights Watch limeeleza kuwa askari usalama wa Tunisia wamefanya unyanyasaji mkubwa dhidi ya wahamiaji weusi wa Kiafrika na limetoa wito kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha ufadhili wa kudhibiti uhamiaji nchini humo.

  • Mahakama ya Tunisia yawaachia huru wapinzani wawili wakuu wa Rais Saeid

    Mahakama ya Tunisia yawaachia huru wapinzani wawili wakuu wa Rais Saeid

    Jul 15, 2023 02:45

    Mahakama nchini Tunisia imewaachilia huru wapinzani wawili mashuhuri wa kisiasa wa Rais Kais Saied, karibu miezi mitano tangu walipokamatwa kwa tuhuma za kupanga njama dhidi ya usalama wa serikali. Hayo yameelezwa na wakili wa wanasiasa hao Monia Bouali.

  • Wahajiri kadhaa watoweka baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Wahajiri kadhaa watoweka baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia

    Jul 09, 2023 10:58

    Wahajiri kumi wameripotiwa kutoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.

  • Human Rights Watch yaitaka Tunisia kuacha kuwafukuza wahamiaji na kuwaelekeza jangwani

    Human Rights Watch yaitaka Tunisia kuacha kuwafukuza wahamiaji na kuwaelekeza jangwani

    Jul 08, 2023 12:06

    Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeihimiza Tunisia kuhitimisha kile ilichokitaja kuwa "Ufukuzaji wa Umati" wa wahajiri weusi wa Kiafrika kuelekea jangwani karibu na mpaka wa Libya.

  • Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Jun 22, 2023 07:08

    Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kuendelea mgogoro wa Tunisia; kifungo cha maisha kwa Rashid al-Ghannouchi

    Kuendelea mgogoro wa Tunisia; kifungo cha maisha kwa Rashid al-Ghannouchi

    Jun 13, 2023 02:17

    Baada ya kupita miezi miwili tangu atiwe mbaroni, Rashid al-Ghannouchi, Kiongozi wa Harakati ya al-Nahdha ya Tunisia, mahakama ya mwanzo wa mji wa Ariana imemhukumu mwanasiasa huyo mashuhuri kifungo cha maisha jela.

  • Rais Kais Saied: Tunisia haitakuwa mlinzi wa mipaka ya Ulaya

    Rais Kais Saied: Tunisia haitakuwa mlinzi wa mipaka ya Ulaya

    Jun 12, 2023 04:40

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema nchi hiyo haitakubali kufanywa gadi ya mpaka ya nchi za Ulaya, wakati huu ambapo safari za wahamiaji haramu kwenda Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania zimeongezeka.

  • Chama cha Ennahda chaweka masharti kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa Tunisia

    Chama cha Ennahda chaweka masharti kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa Tunisia

    Jun 04, 2023 05:39

    Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha Ennahda nchini Tunisia kimetangaza masharti kadhaa kwa ajili ya kufungua ukurasa mpya katika uhusiano wake na rais wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS