Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Muswada wa kujinaisha uhusiano na Israel wavuka kiunzi cha kwanza Tunisia

    Muswada wa kujinaisha uhusiano na Israel wavuka kiunzi cha kwanza Tunisia

    Oct 25, 2023 04:06

    Kamati ya Bunge la Tunisia imepasisha katika marhala ya kwanza muswada wa sheria inayotaka vitendo vya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel kuwa kosa la jinai.

  • Maelfu ya Watunisia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Maelfu ya Watunisia waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Oct 13, 2023 03:43

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano wakionyesha mshikamano wao na wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina sanjari na kulaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.

  • Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Tunisia yakataa msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya

    Oct 04, 2023 23:46

    Rais Kais Saied wa Tunisia amekataa kupokea msaada wa kifedha wa Umoja wa Ulaya (EU) uliokusudia kupiga jeki bajeti ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, sanjari na kuisaidia kukabiliana na mgogoro wa wakimbizi.

  • Mabalozi wa kigeni wanaoishi Tunisia walaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mabalozi wa kigeni wanaoishi Tunisia walaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 04, 2023 03:19

    Baadhi ya mabalozi wa nchi za kigeni wanaoishi nchini Tunisia wamelaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kutoa taarifa ya pamoja kwa mnasaba wa kukumbuka mashambulizi ya anga ya utawala huo dhidi ya Tunisia.

  • Rais wa Tunisia apinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Rais wa Tunisia apinga kuanzishwa uhusiano na Israel

    Aug 30, 2023 01:10

    Rais Kais Saied wa Tunisia amekanusha vikali madai kuwa taifa hilo lina azma ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia

    Aug 10, 2023 22:49

    Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.

  • Tunisia yatangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais

    Tunisia yatangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais

    Aug 10, 2023 03:27

    Msemaji wa Tume Kuu ya Uchaguzi ya Tunisia amesema kuwa uchaguzi ujao wa raia wa nchi hiyo umepangwa kufanyika katika msimu wa machipuo mwakani kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2014 ambayo haijabadilishwa au kufutwa.  

  • Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika

    Aug 08, 2023 04:02

    Wahajiri wasiopungua 11 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.

  • Siku 100 tangu kukamatwa kwa Ghannouchi, watu mashuhuri 800 wa Kiarabu na Kiislamu wataka aachiliwe huru

    Siku 100 tangu kukamatwa kwa Ghannouchi, watu mashuhuri 800 wa Kiarabu na Kiislamu wataka aachiliwe huru

    Jul 29, 2023 00:06

    Karibu watu mashuhuri 800 wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wametangaza mshikamano wao na Spika wa Bunge lililovunjwa la Tunisia, Rached Ghannouchi, kwa mnasaba wa kutimia siku 100 tangu kukamatwa kwake, na wametoa wito wa kuachiwa huru wafungwa wote wa kisiasa nchini Tunisia bila masharti yoyote.

  • Human Rights Watch: Tunisia inawadhalilisha pakubwa wahamiaji weusi wa Kiafrika

    Human Rights Watch: Tunisia inawadhalilisha pakubwa wahamiaji weusi wa Kiafrika

    Jul 20, 2023 07:56

    Shirika la Human Rights Watch limeeleza kuwa askari usalama wa Tunisia wamefanya unyanyasaji mkubwa dhidi ya wahamiaji weusi wa Kiafrika na limetoa wito kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha ufadhili wa kudhibiti uhamiaji nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS