-
Rais wa Tunisia apinga kuanzishwa uhusiano na Israel
Aug 30, 2023 04:40Rais Kais Saied wa Tunisia amekanusha vikali madai kuwa taifa hilo lina azma ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Maiti 27 za wahajiri zapatikana jangwani karibu na mpaka wa Tunisia
Aug 11, 2023 02:19Mamlaka za Libya zimetangaza habari ya kugunduliwa miili 27 ya wahajiri wa Kiafrika katika jangwa la magharibi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Tunisia.
-
Tunisia yatangaza tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais
Aug 10, 2023 06:57Msemaji wa Tume Kuu ya Uchaguzi ya Tunisia amesema kuwa uchaguzi ujao wa raia wa nchi hiyo umepangwa kufanyika katika msimu wa machipuo mwakani kwa mujibu wa sheria ya mwaka 2014 ambayo haijabadilishwa au kufutwa.
-
Wakimbizi 16 wakufa maji baada ya boti zao kuzama Kaskazini mwa Afrika
Aug 08, 2023 07:32Wahajiri wasiopungua 11 wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.
-
Siku 100 tangu kukamatwa kwa Ghannouchi, watu mashuhuri 800 wa Kiarabu na Kiislamu wataka aachiliwe huru
Jul 29, 2023 03:36Karibu watu mashuhuri 800 wa nchi za Kiarabu na Kiislamu wametangaza mshikamano wao na Spika wa Bunge lililovunjwa la Tunisia, Rached Ghannouchi, kwa mnasaba wa kutimia siku 100 tangu kukamatwa kwake, na wametoa wito wa kuachiwa huru wafungwa wote wa kisiasa nchini Tunisia bila masharti yoyote.
-
Human Rights Watch: Tunisia inawadhalilisha pakubwa wahamiaji weusi wa Kiafrika
Jul 20, 2023 11:26Shirika la Human Rights Watch limeeleza kuwa askari usalama wa Tunisia wamefanya unyanyasaji mkubwa dhidi ya wahamiaji weusi wa Kiafrika na limetoa wito kwa Umoja wa Ulaya kusimamisha ufadhili wa kudhibiti uhamiaji nchini humo.
-
Mahakama ya Tunisia yawaachia huru wapinzani wawili wakuu wa Rais Saeid
Jul 15, 2023 02:45Mahakama nchini Tunisia imewaachilia huru wapinzani wawili mashuhuri wa kisiasa wa Rais Kais Saied, karibu miezi mitano tangu walipokamatwa kwa tuhuma za kupanga njama dhidi ya usalama wa serikali. Hayo yameelezwa na wakili wa wanasiasa hao Monia Bouali.
-
Wahajiri kadhaa watoweka baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia
Jul 09, 2023 10:58Wahajiri kumi wameripotiwa kutoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.
-
Human Rights Watch yaitaka Tunisia kuacha kuwafukuza wahamiaji na kuwaelekeza jangwani
Jul 08, 2023 12:06Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeihimiza Tunisia kuhitimisha kile ilichokitaja kuwa "Ufukuzaji wa Umati" wa wahajiri weusi wa Kiafrika kuelekea jangwani karibu na mpaka wa Libya.
-
Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.
Jun 22, 2023 07:08Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.