-
Mahakama ya Tunisia yawaachia huru wapinzani wawili wakuu wa Rais Saeid
Jul 14, 2023 23:15Mahakama nchini Tunisia imewaachilia huru wapinzani wawili mashuhuri wa kisiasa wa Rais Kais Saied, karibu miezi mitano tangu walipokamatwa kwa tuhuma za kupanga njama dhidi ya usalama wa serikali. Hayo yameelezwa na wakili wa wanasiasa hao Monia Bouali.
-
Wahajiri kadhaa watoweka baada ya boti yao kuzama pwani ya Tunisia
Jul 09, 2023 07:28Wahajiri kumi wameripotiwa kutoweka baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika maji wa Bahari ya Mediterrania, pwani ya Tunisia.
-
Human Rights Watch yaitaka Tunisia kuacha kuwafukuza wahamiaji na kuwaelekeza jangwani
Jul 08, 2023 08:36Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limeihimiza Tunisia kuhitimisha kile ilichokitaja kuwa "Ufukuzaji wa Umati" wa wahajiri weusi wa Kiafrika kuelekea jangwani karibu na mpaka wa Libya.
-
Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.
Jun 22, 2023 03:38Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kuendelea mgogoro wa Tunisia; kifungo cha maisha kwa Rashid al-Ghannouchi
Jun 12, 2023 22:47Baada ya kupita miezi miwili tangu atiwe mbaroni, Rashid al-Ghannouchi, Kiongozi wa Harakati ya al-Nahdha ya Tunisia, mahakama ya mwanzo wa mji wa Ariana imemhukumu mwanasiasa huyo mashuhuri kifungo cha maisha jela.
-
Rais Kais Saied: Tunisia haitakuwa mlinzi wa mipaka ya Ulaya
Jun 12, 2023 01:10Rais Kais Saied wa Tunisia amesema nchi hiyo haitakubali kufanywa gadi ya mpaka ya nchi za Ulaya, wakati huu ambapo safari za wahamiaji haramu kwenda Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania zimeongezeka.
-
Chama cha Ennahda chaweka masharti kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa Tunisia
Jun 04, 2023 02:09Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha Ennahda nchini Tunisia kimetangaza masharti kadhaa kwa ajili ya kufungua ukurasa mpya katika uhusiano wake na rais wa nchi hiyo.
-
Ijumaa, tarehe 26 Mei, 2023
May 25, 2023 21:53Leo ni Ijumaa tarehe 6 Dhulqaada 1444 Hijria sawa na Mei 26 mwaka 2023
-
HRW: Serikali ya Tunisia imedhamiria kukivunja chama cha Kiislamu cha Al-Nahdhah
May 12, 2023 23:14Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limefichua njama zinazopangwa na viongozi wa serikali ya Tunisia za kulivunja na kulisambaratisha kikamilifu Vuguvugu la Kiislamu la An-Nahdhah, ambacho ndicho chama kikubwa zaidi cha siasa nchini humo.
-
Mauaji na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake vimeongezeka nchini Tunisia
May 01, 2023 21:59Wanawake wa Tunisia wanakabiliwa na hali mbaya ya ongezeko la ukatili na mauaji dhidi yao yanayofanywa na waume zao au na ndugu wa familia zao.