-
Kuendelea mgogoro wa Tunisia; kifungo cha maisha kwa Rashid al-Ghannouchi
Jun 13, 2023 02:17Baada ya kupita miezi miwili tangu atiwe mbaroni, Rashid al-Ghannouchi, Kiongozi wa Harakati ya al-Nahdha ya Tunisia, mahakama ya mwanzo wa mji wa Ariana imemhukumu mwanasiasa huyo mashuhuri kifungo cha maisha jela.
-
Rais Kais Saied: Tunisia haitakuwa mlinzi wa mipaka ya Ulaya
Jun 12, 2023 04:40Rais Kais Saied wa Tunisia amesema nchi hiyo haitakubali kufanywa gadi ya mpaka ya nchi za Ulaya, wakati huu ambapo safari za wahamiaji haramu kwenda Ulaya kupitia Bahari ya Mediterania zimeongezeka.
-
Chama cha Ennahda chaweka masharti kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa Tunisia
Jun 04, 2023 05:39Chama chenye mielekeo ya Kiislamu cha Ennahda nchini Tunisia kimetangaza masharti kadhaa kwa ajili ya kufungua ukurasa mpya katika uhusiano wake na rais wa nchi hiyo.
-
Ijumaa, tarehe 26 Mei, 2023
May 26, 2023 01:23Leo ni Ijumaa tarehe 6 Dhulqaada 1444 Hijria sawa na Mei 26 mwaka 2023
-
HRW: Serikali ya Tunisia imedhamiria kukivunja chama cha Kiislamu cha Al-Nahdhah
May 13, 2023 02:44Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limefichua njama zinazopangwa na viongozi wa serikali ya Tunisia za kulivunja na kulisambaratisha kikamilifu Vuguvugu la Kiislamu la An-Nahdhah, ambacho ndicho chama kikubwa zaidi cha siasa nchini humo.
-
Mauaji na vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake vimeongezeka nchini Tunisia
May 02, 2023 01:29Wanawake wa Tunisia wanakabiliwa na hali mbaya ya ongezeko la ukatili na mauaji dhidi yao yanayofanywa na waume zao au na ndugu wa familia zao.
-
Watunisia watangaza mshikamano na waliowekwa kizuizini kwa sababu za kisiasa
May 01, 2023 01:49Vuguvugu la Uokovu wa Taifa la Tunisia limefanya mkusanyiko kwenye barabara ya Habib Bourguiba mjini Tunis kutangaza mshikamano na viongozi na wanaharakati waliowekwa kizuizini kwa sababu za kisiasa.
-
Kutiwa nguvuni Rached Ghannouchi kiongozi wa Chama cha Kiislamu cha Ennahdha cha Tunisia
Apr 19, 2023 11:23Chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia Jumatatu wiki hii kilitangaza kuwa askari usalama wamemtia mbaroni Rached Ghannouchi mkuu wa chama hicho baada ya kuivamia nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.
-
Tunisia yafunga ofisi za chama cha Ennahdha baada ya kumtia mbaroni kiongozi wake
Apr 19, 2023 01:29Mamlaka husika nchini Tunisia jana Jumanne zilizifunga ofisi zote za chama cha upinzani chenye mwelekeo wa Kiislamu cha Ennahdha siku moja baada ya kumkamata kiongozi wa chama hicho, Rached Ghannouchi. Hayo yameelezwa na afisa wa ngazi ya juu wa chama hicho kikuu cha upinzani.
-
Muungano wa Kitaifa wa Uokovu wa Tunisia wataka kuachwa huru wafungwa wa kisiasa
Apr 15, 2023 06:55Muungano wa Kitaifa wa Uokovu wa Tunisia umetoa wito wa kuachwa huru wafungwa wa kisiasa katika maandamano ya kupinga utawala wa rais wa nchi hii, Kais Saied.