Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Waungaji mkono wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya 'wasaliti'

    Waungaji mkono wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya 'wasaliti'

    Mar 21, 2023 02:27

    Mamia ya wafuasi wa serikali ya Rais Kais Saied wa Tunisia jana Jumatatu walifanya maandamano katika mji mkuu Tunis, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kiongozi huyo anayekabiliwa na mashinikizo ya kumtaka ajiuzulu.

  • Jumatatu, tarehe 20 Machi, 2023

    Jumatatu, tarehe 20 Machi, 2023

    Mar 20, 2023 02:17

    Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shaaban 1444 Hijria sawa na tarehe 20 Machi mwaka 2023.

  • Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus

    Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus

    Mar 13, 2023 02:28

    Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, serikali yake imechukua uamuzi wa kurejesha kikamilifu uuhusiano wake na taifa la Syria.

  • Upinzani Tunisia wataka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Upinzani Tunisia wataka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Mar 09, 2023 06:42

    Mrengo mkubwa zaidi wa upinzani huko Tunisia umetaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa huku mgogoro wa kisiasa ukizidi kupanuka katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mar 05, 2023 10:39

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika wamerejea katika nchi zao wakitokea Tunisia, siku chache baada ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo kutoa matamshi yaliyoonekana kuwa dhidi ya wahamiaji nchini humo.

  • Wanadiplomasia wa kigeni wanaoingilia masuala ya ndani Tunisia waonywa

    Wanadiplomasia wa kigeni wanaoingilia masuala ya ndani Tunisia waonywa

    Mar 01, 2023 06:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imewaonya vikali wanadiplomasia wa nchi za kigeni wanaoingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN yaikosoa Tunisia kwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na wapinzani

    UN yaikosoa Tunisia kwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na wapinzani

    Feb 17, 2023 02:50

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa umoja huo unatiwa wasiwasi na kushtadi wimbi la kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa kisiasa na wapinzani wa serikali ya Rais Kais Saeid wa Tunisia.

  • Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Jan 31, 2023 02:23

    Taarifa ya karibuni ya serikali ya Algeria kuhusu mpango wake kujenga bomba la pili la kusafirisha gesi ya nchi hiyo hadi Italia bila kupitia Tunisia imesababisha wasiwasi kkwa wananchi wa Tunisia.

  • Upinzani wa Tunisia watoa wito wa umoja dhidi ya Rais kufuatia ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa Bunge

    Upinzani wa Tunisia watoa wito wa umoja dhidi ya Rais kufuatia ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa Bunge

    Jan 30, 2023 13:23

    Matokeo rasmi ya awali baada ya upigaji kura kumalizika nchini Tunisia jana Jumapili, yalionyesha kuwa ni asilimia 11.3 tu ya wapiga kura walishiriki katika uchaguzi huo.

  • Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Jan 29, 2023 12:28

    Idadi ndogo ya wapiga kura wanatazamiwa kushiriki duru ya pili uchaguzi wa Bunge nchini Tunisia wa leo, baada ya makundi ya upinzani kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini humo cha Annahdha kutoa miito ya kususia uchaguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS