Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Azma ya Tunisia ya kujiunga na Jumuiya Ushirikiano ya Shanghai (SCO)

    Azma ya Tunisia ya kujiunga na Jumuiya Ushirikiano ya Shanghai (SCO)

    Apr 09, 2023 08:00

    Msemaji wa chama cha Harakati ya Julai 25 chenye mfungamano na Rais wa Tunisia amesema kuwa nchi hiyo inajipanga kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Kuongezwa kiwango cha uhusiano wa Tunisia na Syria; kutoka uwakilishi hadi balozi kamili

    Kuongezwa kiwango cha uhusiano wa Tunisia na Syria; kutoka uwakilishi hadi balozi kamili

    Apr 07, 2023 02:20

    Syria imepongeza uamuzi wa Rais Kais Saied wa Tunisia wa kuongeza kiwango cha uhusiano na ushirikiano wa kidiplomasia katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Damascus Syria.

  • 29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia

    Mar 27, 2023 11:35

    Gadi ya Kitaifa ya Ulinzi wa Pwani ya Tunisia imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 29 kati ya 34 wa Kiafrika waliotoweka Ijumaa iliyopita baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuelekea Ulaya kuzama baharini karibu na pwani ya Tunisia.

  • Waungaji mkono wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya 'wasaliti'

    Waungaji mkono wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya 'wasaliti'

    Mar 21, 2023 02:27

    Mamia ya wafuasi wa serikali ya Rais Kais Saied wa Tunisia jana Jumatatu walifanya maandamano katika mji mkuu Tunis, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kiongozi huyo anayekabiliwa na mashinikizo ya kumtaka ajiuzulu.

  • Jumatatu, tarehe 20 Machi, 2023

    Jumatatu, tarehe 20 Machi, 2023

    Mar 20, 2023 02:17

    Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shaaban 1444 Hijria sawa na tarehe 20 Machi mwaka 2023.

  • Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus

    Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus

    Mar 13, 2023 02:28

    Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, serikali yake imechukua uamuzi wa kurejesha kikamilifu uuhusiano wake na taifa la Syria.

  • Upinzani Tunisia wataka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Upinzani Tunisia wataka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa

    Mar 09, 2023 06:42

    Mrengo mkubwa zaidi wa upinzani huko Tunisia umetaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa huku mgogoro wa kisiasa ukizidi kupanuka katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika warejea nyumbani wakitokea Tunisia

    Mar 05, 2023 10:39

    Mamia ya wahajiri wa Kiafrika wamerejea katika nchi zao wakitokea Tunisia, siku chache baada ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo kutoa matamshi yaliyoonekana kuwa dhidi ya wahamiaji nchini humo.

  • Wanadiplomasia wa kigeni wanaoingilia masuala ya ndani Tunisia waonywa

    Wanadiplomasia wa kigeni wanaoingilia masuala ya ndani Tunisia waonywa

    Mar 01, 2023 06:51

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia imewaonya vikali wanadiplomasia wa nchi za kigeni wanaoingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • UN yaikosoa Tunisia kwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na wapinzani

    UN yaikosoa Tunisia kwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na wapinzani

    Feb 17, 2023 02:50

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa umoja huo unatiwa wasiwasi na kushtadi wimbi la kamatakamata dhidi ya wanaharakati wa kisiasa na wapinzani wa serikali ya Rais Kais Saeid wa Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS