-
Watunisia watangaza mshikamano na waliowekwa kizuizini kwa sababu za kisiasa
Apr 30, 2023 22:19Vuguvugu la Uokovu wa Taifa la Tunisia limefanya mkusanyiko kwenye barabara ya Habib Bourguiba mjini Tunis kutangaza mshikamano na viongozi na wanaharakati waliowekwa kizuizini kwa sababu za kisiasa.
-
Kutiwa nguvuni Rached Ghannouchi kiongozi wa Chama cha Kiislamu cha Ennahdha cha Tunisia
Apr 19, 2023 07:53Chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia Jumatatu wiki hii kilitangaza kuwa askari usalama wamemtia mbaroni Rached Ghannouchi mkuu wa chama hicho baada ya kuivamia nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.
-
Tunisia yafunga ofisi za chama cha Ennahdha baada ya kumtia mbaroni kiongozi wake
Apr 18, 2023 21:59Mamlaka husika nchini Tunisia jana Jumanne zilizifunga ofisi zote za chama cha upinzani chenye mwelekeo wa Kiislamu cha Ennahdha siku moja baada ya kumkamata kiongozi wa chama hicho, Rached Ghannouchi. Hayo yameelezwa na afisa wa ngazi ya juu wa chama hicho kikuu cha upinzani.
-
Muungano wa Kitaifa wa Uokovu wa Tunisia wataka kuachwa huru wafungwa wa kisiasa
Apr 15, 2023 03:25Muungano wa Kitaifa wa Uokovu wa Tunisia umetoa wito wa kuachwa huru wafungwa wa kisiasa katika maandamano ya kupinga utawala wa rais wa nchi hii, Kais Saied.
-
Azma ya Tunisia ya kujiunga na Jumuiya Ushirikiano ya Shanghai (SCO)
Apr 09, 2023 04:30Msemaji wa chama cha Harakati ya Julai 25 chenye mfungamano na Rais wa Tunisia amesema kuwa nchi hiyo inajipanga kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).
-
Kuongezwa kiwango cha uhusiano wa Tunisia na Syria; kutoka uwakilishi hadi balozi kamili
Apr 06, 2023 22:50Syria imepongeza uamuzi wa Rais Kais Saied wa Tunisia wa kuongeza kiwango cha uhusiano na ushirikiano wa kidiplomasia katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Damascus Syria.
-
29 wafa maji, 11 waokolewa katika ajali ya boti pwani ya Tunisia
Mar 27, 2023 08:05Gadi ya Kitaifa ya Ulinzi wa Pwani ya Tunisia imetangaza habari ya kuaga dunia wahamiaji 29 kati ya 34 wa Kiafrika waliotoweka Ijumaa iliyopita baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuelekea Ulaya kuzama baharini karibu na pwani ya Tunisia.
-
Waungaji mkono wa Rais wa Tunisia waandamana dhidi ya 'wasaliti'
Mar 20, 2023 22:57Mamia ya wafuasi wa serikali ya Rais Kais Saied wa Tunisia jana Jumatatu walifanya maandamano katika mji mkuu Tunis, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kiongozi huyo anayekabiliwa na mashinikizo ya kumtaka ajiuzulu.
-
Jumatatu, tarehe 20 Machi, 2023
Mar 19, 2023 22:47Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shaaban 1444 Hijria sawa na tarehe 20 Machi mwaka 2023.
-
Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus
Mar 12, 2023 22:58Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, serikali yake imechukua uamuzi wa kurejesha kikamilifu uuhusiano wake na taifa la Syria.