Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Watunisia wapatwa na wasiwasi kuhusu mpango wa kusafirisha gesi wa Algeria na Italia

    Jan 31, 2023 02:23

    Taarifa ya karibuni ya serikali ya Algeria kuhusu mpango wake kujenga bomba la pili la kusafirisha gesi ya nchi hiyo hadi Italia bila kupitia Tunisia imesababisha wasiwasi kkwa wananchi wa Tunisia.

  • Upinzani wa Tunisia watoa wito wa umoja dhidi ya Rais kufuatia ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa Bunge

    Upinzani wa Tunisia watoa wito wa umoja dhidi ya Rais kufuatia ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa Bunge

    Jan 30, 2023 13:23

    Matokeo rasmi ya awali baada ya upigaji kura kumalizika nchini Tunisia jana Jumapili, yalionyesha kuwa ni asilimia 11.3 tu ya wapiga kura walishiriki katika uchaguzi huo.

  • Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Jan 29, 2023 12:28

    Idadi ndogo ya wapiga kura wanatazamiwa kushiriki duru ya pili uchaguzi wa Bunge nchini Tunisia wa leo, baada ya makundi ya upinzani kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini humo cha Annahdha kutoa miito ya kususia uchaguzi huo.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana tena dhidi ya Rais Kais Saied

    Wananchi wa Tunisia waandamana tena dhidi ya Rais Kais Saied

    Jan 15, 2023 06:55

    Kwa mara nyingine tena wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa wakimtaka Rais Kais Saied wa nchi hiyo na serikali yake wajiuzulu, kwa kushindwa kuinasua nchi hiyo kutoka kwenye mgogoro wa kisiasa na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii.

  • Mgomo mkubwa Tunisia; jibu la kutotekeleza ahadi Rais Kais Saied

    Mgomo mkubwa Tunisia; jibu la kutotekeleza ahadi Rais Kais Saied

    Dec 30, 2022 02:33

    Muungano Sekta ya Usafiri na Uchukuzi wenye mfungamano na Muungano Mkubwa wa Wafanyakazi nchini Tunisia (UGTT) umetangaza mkakati wake wa kufanya mgomo wa siku mbili Januari 25 na 26 mwaka 2023.

  • Al-Ghannoushi: Uchaguzi wa Bunge la Tunisia ulikuwa jibu la

    Al-Ghannoushi: Uchaguzi wa Bunge la Tunisia ulikuwa jibu la "hapana" kwa Kais Saied

    Dec 25, 2022 02:18

    Mkuu wa chama cha Kiislamu cha Ennahda nchini Tunisia amesema idadi ndogo ya waliojitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa hivi karibuni wa Bunge ni ishara ya matakwa ya wananchi wanaomtaka rais huyo ajiuzulu.

  • Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Ushiriki mdogo wa wananchi wa Tunisia katika uchaguzi wa Bunge

    Dec 19, 2022 12:47

    Karibu akthari ya watu waliotimiza masharti ya kupiga kura nchini Tunisia walisusia uchaguzi wa Bunge uliofanyika Jumamosi ya juzi tarehe 17 Disemba.

  • Upinzani wataka Rais wa Tunisia ajiuzulu kwa 'kususiwa' uchaguzi wa bunge

    Upinzani wataka Rais wa Tunisia ajiuzulu kwa 'kususiwa' uchaguzi wa bunge

    Dec 18, 2022 10:41

    Muungano mkubwa zaidi wa upinzani nchini Tunisia umemtaka Rais Kais Saied wa nchi hiyo ajiuzulu kutokana na ushiriki mdogo wa wananchi katika uchaguzi wa bunge uliofanyika jana.

  • Wananchi wa Tunisia wapiga kura katika uchaguzi wa bunge uliosusiwa na wapinzani

    Wananchi wa Tunisia wapiga kura katika uchaguzi wa bunge uliosusiwa na wapinzani

    Dec 18, 2022 04:14

    Wananchi wa Tunisia jana Jumamosi walianza kupiga kura katika uchaguzi wa kwanza wa wabunge tangu Rais Kais Saied atangaze hatua za kipekee Julai 25 mwaka jana baada ya kulifuta kazi Bunge na kutwaa madaraka yote ya nchi. Vyama vya kisiasa na makundi ya upinzani yamesusia uchaguzi huo.

  • Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

    Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

    Oct 24, 2022 07:37

    Taasisi ya Kitaifa ya Kuunga Mkono Muqawama na Kupinga Kuanzishwa Uhusiano wa Kawaida na utawala haramu wa Israel ya nchini Tunisia imelaani vikali hukumu ya Saudi Arabia ya kumfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS