Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Rais wa Tunisia: Bunge linaendelea kusitishwa hadi uchaguzi mpya utakapoandaliwa

    Rais wa Tunisia: Bunge linaendelea kusitishwa hadi uchaguzi mpya utakapoandaliwa

    Dec 14, 2021 03:23

    Rais wa Tunisia Kais Saied alitangaza jioni ya Jumatatu jana kwamba Bunge la nchi hiyo litaendelea kusitishwa hadi uchaguzi mpya utakapoandaliwa, akiyashutumu makundi ya kisiasa kuwa yamesaliti nchi na kupora fedha za umma.

  • Mabrouk: Tunisia sasa iko nje ya klabu ya mataifa ya kidemokrasia

    Mabrouk: Tunisia sasa iko nje ya klabu ya mataifa ya kidemokrasia

    Dec 11, 2021 08:09

    Waziri wa zamani wa Tunisia ameseaa kuwa nchi hiyo imeachana na klabu ya nchi za kidemokrasia baada ya rais wa nchi hiyo kutwaa mamlaka yote ya utendaji mapema mwaka huu, na kusababisha mzozo mkubwa wa kisiasa nchini humo.

  • Kuendelea mgogoro wa kisiasa Tunisia

    Kuendelea mgogoro wa kisiasa Tunisia

    Dec 03, 2021 04:33

    Licha ya mgogoro wa kisiasa wa Tunisia kuendela kwa miezi kadhaa sambamba na kufanyika juhudi za kujaribu kuumaliza, lakini juhudi hizo zimeshindwa kuzaa matunda.

  • Financial Times: Fungate ya Rais Kais Saied wa Tunisia inaelekea ukingoni

    Financial Times: Fungate ya Rais Kais Saied wa Tunisia inaelekea ukingoni

    Nov 16, 2021 07:09

    Gazeti la Financial Time la Uingereza limeripoti kuwa wataalamu wanasema fungate ya Rais wa Tunisia itamalizika hivi karibuni kutokana na mashaka ya kushindwa kwake kupata suluhisho la haraka la mgogoro wa kiuchumi unaoisumbua nchi hiyo licha ya kuwa na uungaji mkono wa kiasi fulani kwa sasa.

  • Serikali ya Tunisia yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kutokana na misimamo yake

    Serikali ya Tunisia yaamuru kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo kutokana na misimamo yake

    Nov 05, 2021 11:20

    Maafisa wa serikali ya Tunisia wametoa amri ya kukamatwa rais wa zamani wa nchi hiyo Moncef Marzouki kutokana na misimamo yake inayopinga maamuzi yaliyochukuliwa na kiongozi wa sasa wa nchi hiyo, Kais Saied.

  • Moncef Marzouki: Saeid auzuliwe na kushtakiwa kwa kuangamiza utawala wa Sheria Tunisia

    Moncef Marzouki: Saeid auzuliwe na kushtakiwa kwa kuangamiza utawala wa Sheria Tunisia

    Oct 28, 2021 10:04

    Rais wa zamani wa Tunisia amewataka wananchi wa nchi hiyo wafanye maandamano ya kupinga maamuzi ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Kais Saied, kumuondoa madarakani na kumfikisha mahakamani kwa tuhuma za kuangamiza serikali, mapinduzi ya wananchi na utawala wa sheria.

  • Rais wa Tunisia aahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini

    Rais wa Tunisia aahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini

    Oct 22, 2021 09:35

    Rais Kais Saied wa Tunisia amesema kuwa karibuni ataanzisha mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho katiba na mfumo wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa Tunisia

    Kuapishwa Waziri Mkuu mpya wa Tunisia

    Oct 13, 2021 02:30

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute ya kisiasa ya majuma kadhaa nchini Tunisia, serikali mpya ya nchi hiyo imeapishwa ikiongozwa na mwanamama Najla Bouden Romdhane.

  • Maelfu ya watu waandamana nchini Tunisia kutaka Rais Kais Saied ajiuzulu

    Maelfu ya watu waandamana nchini Tunisia kutaka Rais Kais Saied ajiuzulu

    Oct 11, 2021 02:31

    Maelfu ya watu wamemiminika kwenye mitaa ya mji mkuu wa Tunisia, Tunis katika maandamano mapya ya kumtaka rais wa nchi hiyo Kais Saied ajiuzulu.

  • Rais wa zamani ataka maandamano makubwa dhidi ya Rais wa sasa Tunisia

    Rais wa zamani ataka maandamano makubwa dhidi ya Rais wa sasa Tunisia

    Oct 10, 2021 07:41

    Aliyekuwa rais wa Tunisia amewataka wananchi wa hiyo ya Kiarabu kushiriki kwa wingi katika maandamano yanayotazamiwa kufanyika leo Jumapili, dhidi ya rais wa sasa wa hiyo, Kais Saied, anayemtuhumu kuwa amehodhi madaraka na mamlaka yote ya nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS