Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia

    Oct 04, 2021 11:36

    Zaidi ya watu elfu tano wameshiriki maandamano ya kumuunga mkono Rais Kais Saied wa Tunisia anayetuhumiwa na upinzani kuhodhi madaraka yote ya utendaji ya nchi hiyo.

  • Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake

    Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake

    Oct 04, 2021 04:12

    Rais Kais Saied wa Tunisia amefanya mazungumzo na simu na Rais mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kueleza kusikitishwa na umauzi uliochukuliwa na Paris wa kupunguza idadi ya viza zilizokuwa zikitolewa kwa raia wa Tunisia wanaotaka kuelekea Ufaransa.

  • Mgogoro wa kisiasa waendelea kutokota Tunisia baada ya wabunge kuzuiwa wasiingie bungeni

    Mgogoro wa kisiasa waendelea kutokota Tunisia baada ya wabunge kuzuiwa wasiingie bungeni

    Oct 02, 2021 07:40

    Serikali ya Tunisia imeweka ulinzi mkali kwenye majengo ya bunge la nchi hiyo na kuwazuia wabunge wasiingie bungeni humo.

  • Harakati ya Ennahda Tunisia yapinga maamuzi ya Rais Kais Saied

    Harakati ya Ennahda Tunisia yapinga maamuzi ya Rais Kais Saied

    Sep 30, 2021 11:29

    Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imepinga hatua ya rais wa nchi hiyo ya kumteua waziri mkuu mpya ikisema kuwa ni sawa na kukanyaga katiba ya nchi na kufanya mapinduzi dhidi ya utawala wa sheria na demokrasia.

  • Baada ya miezi miwili ya kuhodhi madaraka, Rais wa Tunisia ateua waziri mkuu wa kwanza mwanamke

    Baada ya miezi miwili ya kuhodhi madaraka, Rais wa Tunisia ateua waziri mkuu wa kwanza mwanamke

    Sep 29, 2021 13:00

    Rais Kais Saied wa Tunisia amemetua Najla Bouden Romdhane, kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo, baada ya kupita takribani miezi miwili tangu alipohodhi madaraka yote ya nchi, hatua iliyoelezwa na wapinzani wake kama mapinduzi ya kijeshi.

  • Watunisia waandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu, Tunis

    Watunisia waandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu, Tunis

    Sep 26, 2021 15:07

    Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis kupinga hatua za karibuni za Rais Kais Saeid.

  • HRW yakosoa hatua za karibuni za Rais wa Tunisia

    HRW yakosoa hatua za karibuni za Rais wa Tunisia

    Sep 26, 2021 04:34

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa hatua zilizochukuliwa na Rais Kais Saeid wa Tunisia.

  • Kuendelea mgogoro wa Tunisia; maandamano ya waungaji mkono na wapinzani wa maamuzi ya Rais

    Kuendelea mgogoro wa Tunisia; maandamano ya waungaji mkono na wapinzani wa maamuzi ya Rais

    Sep 21, 2021 08:56

    Mgogoro wa Tunisia umechukua wigo mpana zaidi hivi sasa ambapo waungaji mkono na wapinzani wa maamuzi ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo wamemiminika katika mitaa na barabaraza za miji ya nchi hiyo.

  • Vyama vitano vya siasa Tunisia vyapinga amri ya rais ya kusitishwa Katiba

    Vyama vitano vya siasa Tunisia vyapinga amri ya rais ya kusitishwa Katiba

    Sep 15, 2021 12:43

    Vyama 5 vya siasa nchini Tunisia vimetoa taarifa ya pamoja vikipinga amri ya kusitishwa Katiba na kufanyiwa mageuzi.

  • Spika wa Bunge la Tunisia ataka kufanyike mazungumzo ya kitaifa

    Spika wa Bunge la Tunisia ataka kufanyike mazungumzo ya kitaifa

    Sep 13, 2021 08:05

    Spika wa Bunge ambaye pia ni mkuu wa chama cha An Nahdhah cha Tunisia amesema anataraji kuwa mazungumzo ya kitaifa yataanza chini ya usimamizi wa Rais Kais Saeid wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS