-
Rais wa zamani ataka maandamano makubwa dhidi ya Rais wa sasa Tunisia
Oct 10, 2021 04:11Aliyekuwa rais wa Tunisia amewataka wananchi wa hiyo ya Kiarabu kushiriki kwa wingi katika maandamano yanayotazamiwa kufanyika leo Jumapili, dhidi ya rais wa sasa wa hiyo, Kais Saied, anayemtuhumu kuwa amehodhi madaraka na mamlaka yote ya nchi.
-
Maelfu waandamana kumuunga mkono Rais wa Tunisia
Oct 04, 2021 08:06Zaidi ya watu elfu tano wameshiriki maandamano ya kumuunga mkono Rais Kais Saied wa Tunisia anayetuhumiwa na upinzani kuhodhi madaraka yote ya utendaji ya nchi hiyo.
-
Tunisia yasikitishwa na uamuzi wa Ufaransa wa kupunguza viza kwa raia wake
Oct 04, 2021 00:42Rais Kais Saied wa Tunisia amefanya mazungumzo na simu na Rais mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na kueleza kusikitishwa na umauzi uliochukuliwa na Paris wa kupunguza idadi ya viza zilizokuwa zikitolewa kwa raia wa Tunisia wanaotaka kuelekea Ufaransa.
-
Mgogoro wa kisiasa waendelea kutokota Tunisia baada ya wabunge kuzuiwa wasiingie bungeni
Oct 02, 2021 04:10Serikali ya Tunisia imeweka ulinzi mkali kwenye majengo ya bunge la nchi hiyo na kuwazuia wabunge wasiingie bungeni humo.
-
Harakati ya Ennahda Tunisia yapinga maamuzi ya Rais Kais Saied
Sep 30, 2021 07:59Harakati ya Ennahda nchini Tunisia imepinga hatua ya rais wa nchi hiyo ya kumteua waziri mkuu mpya ikisema kuwa ni sawa na kukanyaga katiba ya nchi na kufanya mapinduzi dhidi ya utawala wa sheria na demokrasia.
-
Baada ya miezi miwili ya kuhodhi madaraka, Rais wa Tunisia ateua waziri mkuu wa kwanza mwanamke
Sep 29, 2021 09:30Rais Kais Saied wa Tunisia amemetua Najla Bouden Romdhane, kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo, baada ya kupita takribani miezi miwili tangu alipohodhi madaraka yote ya nchi, hatua iliyoelezwa na wapinzani wake kama mapinduzi ya kijeshi.
-
Watunisia waandamana dhidi ya serikali katika mji mkuu, Tunis
Sep 26, 2021 11:37Wananchi wa Tunisia leo Jumapili wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis kupinga hatua za karibuni za Rais Kais Saeid.
-
HRW yakosoa hatua za karibuni za Rais wa Tunisia
Sep 26, 2021 01:04Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa hatua zilizochukuliwa na Rais Kais Saeid wa Tunisia.
-
Kuendelea mgogoro wa Tunisia; maandamano ya waungaji mkono na wapinzani wa maamuzi ya Rais
Sep 21, 2021 04:26Mgogoro wa Tunisia umechukua wigo mpana zaidi hivi sasa ambapo waungaji mkono na wapinzani wa maamuzi ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo wamemiminika katika mitaa na barabaraza za miji ya nchi hiyo.
-
Vyama vitano vya siasa Tunisia vyapinga amri ya rais ya kusitishwa Katiba
Sep 15, 2021 08:13Vyama 5 vya siasa nchini Tunisia vimetoa taarifa ya pamoja vikipinga amri ya kusitishwa Katiba na kufanyiwa mageuzi.