-
Radiamali hasi ya vyama vya wafanyakazi Tunisia, kupinga uingiliaji wa Marekani
Sep 05, 2021 11:52Vyama vya ushirika, vya wafanyakazi na vya kisiasa vya Tunisia, siku ya Jumatano vilisusia mazungumzo na ujumbe wa Marekani uliokwenda nchini humo kwa madai ya kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Wafanyakazi, viongozi wa kisiasa Tunisia wakataa kukutana na Maseneta wa US
Sep 04, 2021 10:14Muungano mkubwa zaidi wa wafanyakazi nchini Tunisia UGTT na vyama viwili vya kisiasa nchini humo vimesusia mwaliko wa ujumbe wa Maseneta wa Marekani ulioitembelea nchi hiyo ya Kiarabu, kujadili mgogoro na mkwamo wa kisiasa unaoshuhudia nchini humo.
-
Kurefusha Rais wa Tunisia muda wa kusimamishwa shughuli za Bunge
Aug 25, 2021 02:42Licha ya malalamiko ya kila upande, lakini Rais wa Tunisia Kais Saied ametangaza kuwa, shughuli za Bunge la nchi hiyo zitaendelea kusitishwa kwa muda usiojulikana.
-
Rais wa Tunisia arefusha muda wa kusimamishwa shughuli za Bunge
Aug 24, 2021 07:45Rais wa Tunisia Kais Saied ametangaza kuwa, shughuli za Bunge la nchi hiyo zitaendelea kusitishwa kwa muda usiojulikana.
-
Rais Kais Saied wa Tunisia: Kuna mpango wa kutaka kuniua
Aug 21, 2021 08:17Rais Kais Saied wa Tunisia ameyatuhumu makundi ya kisiasa kwamba yanapanga mikakati ya kutoa dhoruba dhidi ya serikali yake ikiwa ni pamoja na mpango wa kutaka kumuua yeye mwenyewe.
-
Chama cha Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia atazame upya maamuzi yake ya kisiasa
Aug 18, 2021 13:15Kwa wiki kadhaa sasa nchi ya Tunisia imekumbwa na machafuko ya kisiasa na maandamano ya wananchi wanaopinga hali inayotawala nchini humo.
-
Rais wa zamani wa Tunisia akosoa maamuzi yanayochukuliwa na utawala wa nchi hiyo
Aug 17, 2021 13:26Rais za zamani wa Tunisia amekosoa maamuzi ya kisiasa yanayochukuliwa na rais wa sasa wa nchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutiwa nguvuni maafisa wa serikali na kuzuiliwa wengine kutoka nje ya nchi.
-
Wahajiri kadhaa wakiwemo watoto waaga dunia kwa kiu Tunisia
Aug 13, 2021 13:00Wahajiri wapatao sita wakiwemo watoto wadogo wanne wamefariki dunia kwa kiu katika Jangwa la Sahara nchini Tunisia, mpakani mwa nchi hiyo na Algeria.
-
Chama cha An-Nahdhah cha Tunisia chalaani ujasusi wa Saudia dhidi ya kiongozi wake
Aug 10, 2021 02:30Kufuatia kufichuliwa na tovuti ya Middle East Eye ujasusi uliofanywa na Saudi Arabia dhidi ya Rashid Ghanushi, Spika wa Bunge la Tunisia ambaye pia ni kiongozi wa chama cha Kiislamu nchini humo cha An-Nahdhah, chama hicho kimetoa taarifa maalum kulaani kitendo hicho cha Riyadh.
-
Rais wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Balozi wa Marekani
Aug 05, 2021 02:33Katika kile kinachoonekana ni kushtadi mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia, Rais Kais Saied wa nchi hiyo ametangaza kumfuta kazi Balozi wa nchi hiyo huko Marekani pamoja na Gavana wa moja ya mikoa ya kistratajia ya nchi hiyo.