-
Rais wa Tunisia ampiga kalamu nyekundu Balozi wa Marekani
Aug 04, 2021 22:03Katika kile kinachoonekana ni kushtadi mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia, Rais Kais Saied wa nchi hiyo ametangaza kumfuta kazi Balozi wa nchi hiyo huko Marekani pamoja na Gavana wa moja ya mikoa ya kistratajia ya nchi hiyo.
-
Ennahdha yakadhibisha habari ya kukamatwa kinara wake, Rached Ghannouchi
Aug 03, 2021 20:27Chama cha Ennahdha kimekadhibisha habari inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidai kuwa kiongozi wa chama hicho Rached Ghannouchi ambaye pia ni Spika wa Bunge la Tunisia amewekwa kwenye kifungo cha nyumbani.
-
Ghannouchi akosoa uingiliaji wa nchi za kigeni katika mambo ya ndani ya Tunisia
Aug 03, 2021 01:50Rached Ghannouchi Spika wa Bunge lililosimamishwa la Tunisia amekosoa uingiliaji wa nchi za kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Uchaguzi wa mapema; chaguo la Ennahdha iwapo muafaka wa kisiasa hautafikiwa huko Tunisia
Aug 02, 2021 21:56Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tunisia na ambaye pia ni mmoja kati ya viongozi wa ngazi ya juu wa chama cha Ennahdha amesema kuwa chama hicho kinaunga mkono chaguo la kufanyika uchaguzi wa mapema wa Rais na Bunge iwapo hakutafikiwa mapatano.
-
Matukio ya Tunisia, ajenda kuu ya mazungumzo ya waziri wa mambo ya nje wa Algeria Misri
Aug 02, 2021 05:52Ramtane Lamamra, Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ambaye yuko Misri amekutana na kuzungumza na rais wa nchi hyo kuhusu uhusiano wa nchi mbili na matukio ya Tunisia.
-
Ghannouchi: Imarati imeunga mkono na kufadhili mapinduzi baridi ya Tunisia
Aug 01, 2021 05:38Rached Ghannouchi Spika wa Bunge lililosimamishwa la Tunisia amesema kuwa Imarati imefadhili mapinduzi yaliyotokea nchini humo.
-
Rais wa Tunisia: Mimi siyo dikteta; nilichokifanya hakiwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi
Jul 31, 2021 09:10Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, yeye siyo dikteta na kwamba, hatua alizochukua hivi karibuni nchini humo haziwezi kuhesabiwa kuwa ni mapinduzi.
-
Mgogoro wa kisiasa Tunisia wazidi kutokota, Rais awatimua maafisa wengine wa serikali
Jul 29, 2021 06:35Tunisia imeendelea kutumbukia zaidi katika mgogoro mkubwa wa kisiasa baada ya Rais Kais Saied kuwafukuza kazi maafisa zaidi, siku chache tu baada ya kumtimua waziri mkuu, kusimamisha shughuli za Bunge na kuchukua madaraka yote ya kiutawala.
-
Saudi Arabia yaunga mkono mapinduzi baridi ya Rais wa Tunisia
Jul 28, 2021 22:02Saudi Arabia imeunga mkono uamuzi uliochukuliwa na Rais Kais Saied wa Tunisia wa kumfuta kazi aliyekuwa waziri mkuu na kuvunja Bunge la nchji hiyo ambao umetajwa kuwa ni mapinduzi baridi.
-
Chama cha Ennahdha chamtaka Rais wa Tunisia kutengua maamuzi yake
Jul 28, 2021 02:13Chama cha Ennahdha kimemtaka Rais wa Tunisia atengue maamuzi aliyochukua hivi karibuni ya kumfuta kazi waziri mkuu na kusitisha shughuli za Bunge la nchi hiyo.