Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia

    Jul 27, 2021 21:07

    Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Jul 27, 2021 20:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.

  • Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis

    Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis

    Jul 26, 2021 22:49

    Mkuu wa ofisi ya televisheni ya al Jazeerahuko Tunis mji mkuu wa Tunisia amesema polisi wameivamia ofisi hiyo jana Jumatatu.

  • Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge

    Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge

    Jul 25, 2021 22:38

    Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua ya kushtukiza ya kumfuta kazi Spika wa Bunge na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kudhibiti madaraka yote ya nchi.

  • Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel

    Jul 25, 2021 22:09

    Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.

  • Wahajiri 17 wapoteza maisha katika fukwe za Tunisia

    Wahajiri 17 wapoteza maisha katika fukwe za Tunisia

    Jul 22, 2021 03:26

    Shirika la Hilal Nyekundu la Tunisia limetangaza kuwa, wahajiri 17 wamekufa maji katika fukwe za nchi hiyo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupinduka baharini.

  • Tunisia yakadhibisha kushiriki maneva ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi

    Tunisia yakadhibisha kushiriki maneva ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi

    Jun 24, 2021 02:52

    Msemaji rasmi wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia amekadhibisha uvumi ulioenea katika vyombo vya habari kwamba nchi hiyo itashiriki katika maneva ya kijeshi na Marekani na utawala ghasibu wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi.

  • Mahakama Tunisia yaagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani

    Mahakama Tunisia yaagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani

    Jun 16, 2021 03:37

    Vyombo vya mahakama nchini Tunisia vimeagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani, Nabil Karoui, miezi sita baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi na kukwepa kodi. 

  • Maandamano dhidi ya ukandamizaji wa polisi yaendelea huko Tunis, Tunisia

    Maandamano dhidi ya ukandamizaji wa polisi yaendelea huko Tunis, Tunisia

    Jun 15, 2021 22:39

    Maandamano ya usiku ambayo yamekuwa yakifanywa kwa siku kadhaa sasa na wakazi wa mji mji mkuu wa Tunisia, Tunis yameripotiwa kushika kasi. Maandamano hayo yameshuhukiwa katika vitongoji viwili huko Tunis.

  • Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia

    May 31, 2021 02:53

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya amehimiza kurahishishwa mawailiano na sekta ya uchukuzi baina ya nchi yake na Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS