-
Kutokea mapinduzi baridi nchini Tunisia
Jul 27, 2021 21:07Katika hatua inayotathminiwa na wajuzi wa mambo kama mapinduzi baridi, Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua kadhaa kama kumfuta kazi Waziri Mkuu wa nchi hiyo Hichem Mechichi, kuvunja baraza la mawaziri, kusitisha shughuli za Bunge na kinga ya kisiasa ya Wabunge na kisha kudhibiti madaraka yote ya nchi.
-
Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia
Jul 27, 2021 20:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.
-
Polisi yaivamia ofisi ya Al Jazeera huko Tunis
Jul 26, 2021 22:49Mkuu wa ofisi ya televisheni ya al Jazeerahuko Tunis mji mkuu wa Tunisia amesema polisi wameivamia ofisi hiyo jana Jumatatu.
-
Rais wa Tunisia afanya mapinduzi baridi, amfuta kazi Waziri Mkuu, Spika wa Bunge
Jul 25, 2021 22:38Rais Kais Saied wa Tunisia amechukua hatua ya kushtukiza ya kumfuta kazi Spika wa Bunge na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kudhibiti madaraka yote ya nchi.
-
Wanaharakati wa nchi 5 za kaskazini mwa Afrika: Kuna udharura wa kukabiliana na mwenendo wa kuanzisha uhusiano na Israel
Jul 25, 2021 22:09Wanaharakati kutoka nchi tano za kaskazini mwa Afrika ambazo ni Algeria, Tunisia, Morocco, Libya na Mauritania wamesisitiza udharura wa kukabiliana na hatua ya baadhi ya nchi ya kuanzisha uhusiano rasmi wa na utawala ghasibu wa Israel.
-
Wahajiri 17 wapoteza maisha katika fukwe za Tunisia
Jul 22, 2021 03:26Shirika la Hilal Nyekundu la Tunisia limetangaza kuwa, wahajiri 17 wamekufa maji katika fukwe za nchi hiyo baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupinduka baharini.
-
Tunisia yakadhibisha kushiriki maneva ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi
Jun 24, 2021 02:52Msemaji rasmi wa Wizara ya Ulinzi ya Tunisia amekadhibisha uvumi ulioenea katika vyombo vya habari kwamba nchi hiyo itashiriki katika maneva ya kijeshi na Marekani na utawala ghasibu wa Kizayuni katika Bahari Nyeusi.
-
Mahakama Tunisia yaagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani
Jun 16, 2021 03:37Vyombo vya mahakama nchini Tunisia vimeagiza kuachiwa huru kiongozi wa upinzani, Nabil Karoui, miezi sita baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi na kukwepa kodi.
-
Maandamano dhidi ya ukandamizaji wa polisi yaendelea huko Tunis, Tunisia
Jun 15, 2021 22:39Maandamano ya usiku ambayo yamekuwa yakifanywa kwa siku kadhaa sasa na wakazi wa mji mji mkuu wa Tunisia, Tunis yameripotiwa kushika kasi. Maandamano hayo yameshuhukiwa katika vitongoji viwili huko Tunis.
-
Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia
May 31, 2021 02:53Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya amehimiza kurahishishwa mawailiano na sekta ya uchukuzi baina ya nchi yake na Tunisia.