Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    May 21, 2021 03:37

    Kamishna wa Mambo ya Ndani katika Umoja wa Ulaya (EU) Ylva Johansson, amesema umoja huo unashauriana na Tunisia na Libya ili kufikia mapatano yatakayowezesha kuzuia wahajiri wasielekee barani ya Ulaya.

  • Rais wa Ufaransa na viongozi kadhaa wa Afrika wahudhuria mazishi ya Rais Deby wa Chad

    Rais wa Ufaransa na viongozi kadhaa wa Afrika wahudhuria mazishi ya Rais Deby wa Chad

    Apr 24, 2021 03:20

    Mazishi ya rais Idriss Deby wa Chad yalifanyika jana Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo N'Djamena, ambapo maelfu ya watu walitoa heshima zao wa mwisho wa kiongozi huyo aliyefariki kutokana na majeraha aliyopata katika mstari wa mbele wa vita wakati akiongoza jeshi lake kukabiliana na shambulio la waasi.

  • Watu wasiopungua 21 wafariki baharini baada ya boti kuzama katika pwani ya Tunisia

    Watu wasiopungua 21 wafariki baharini baada ya boti kuzama katika pwani ya Tunisia

    Apr 17, 2021 02:43

    Watu wasiopungua 21 wamefariki dunia baada ya boti waliyokuwa wameabiri kuzama katika pwani ya Tunisia wakati wakijaribu kuvuka maji ya bahari ya Mediterania ili kufika kwenye kisiwa cha Lampedusa nchini Italia.

  • Rais wa Tunisia apinga kufanyiwa marekebisho Mahakama ya Katiba

    Rais wa Tunisia apinga kufanyiwa marekebisho Mahakama ya Katiba

    Apr 05, 2021 04:28

    Rais wa Tunisia amemtumia ujumbe Spika wa Bunge la nchi hiyo akipinga kufanyiwa marekebisho Mahakama ya Katiba ya nchi hiyo.

  • Chama cha al Nahdha chahimiza kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini Tunisia

    Chama cha al Nahdha chahimiza kuanza mazungumzo ya kitaifa nchini Tunisia

    Apr 02, 2021 06:35

    Chama cha Kiislamu cha al Nahdha nchini Tunisia kimetangaza kuwa, kuna wajibu kwa wanasiasa kuanzisha mazungumzo ya kitaifa ili kupunguza mivutano katika nyuga tofauti za nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na  Israel

    Watunisia waungana na Wapalestina kuadhimisha Siku ya Ardhi na kulaani kuanzisha uhusiano na Israel

    Mar 31, 2021 11:49

    Jumuiya na makundi mbali mbali ya kisiasa na kiraia nchini Tunisia yameadhimisha Siku ya Ardhi ya Palestina na kulaani juhudi na hatua zozote zile za kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Wananchi wa Tunisia waendelea na maandamano ya kulalamikia mgogoro wa kisiasa

    Mar 21, 2021 12:25

    Wananchi wa Tunisia wameendelea na maandamano ya kupinga mgogoro wa kisiasa na matatizo ya kiuchumi na kimaisha nchini mwao.

  • Jumamosi, 20 Machi, 2021

    Jumamosi, 20 Machi, 2021

    Mar 20, 2021 02:32

    Leo ni Jumamosi tarehe 6 ya mwezi Shaaban 1442 Hijria mwafaka na tarehe 20 Machi 2021 Miladia.

  • Spika wa Bunge la Tunisia amkosoa Rais kwa kutotoa idhini kwa mawaziri kula kiapo

    Spika wa Bunge la Tunisia amkosoa Rais kwa kutotoa idhini kwa mawaziri kula kiapo

    Mar 11, 2021 07:17

    Spika wa Bunge la Tunisia Rached Ghannouchi amekosoa hatua ya Rais Kais Saied wa nchi hiyo ya kutowapa idhini mawaziri walioteuliwa katika serikali mpya kula kiapo.

  • Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia waandamana mjini Tunis kuiunga mkono serikali

    Feb 28, 2021 08:02

    Maelfu ya wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano kufuatia mwaliko wa chama tawala cha An Nahdhah na kwa lengo la kuiunga mkono serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS