-
Vyama na shakhsia wa Tunisia walaani kuuliwa kigaidi Shahidi Fakhrizadeh
Dec 01, 2020 04:32Vyama na shakhsia mbalimbali nchini Tunisia wametoa taarifa na kulaani mauaji ya kigaidi ya Shahidi Mohsen Fakhrizadeh, mwanasayansi mkubwa wa nyuklia na masuala ya ulinzi wa Iran.
-
Mkuu wa Harakati ya An Nahdhah nchini Tunisia ajiengua kugombea nafasi ya mkuu wa chama
Nov 26, 2020 04:36Mkuu wa Harakati ya An Nahadhah ya nchini Tunisia amesema hatagombea nafasi ya mkuu wa harakati hiyo kwa duru ya tatu mtawalia.
-
Moncef Marzouki: Tawala za Kiarabu hazijaanzisha uhusiano na Israel bali 'zimejisalimisha'
Nov 21, 2020 08:02Mohamed Moncef Marzouki, rais wa zamani wa Tunisia amesema kuwa, ni kosa kusema kuwa, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel, bali lililo sahihi na ambalo ndio ukweli wa mambo ni kuwa, mataifa hayo yamejisalimisha kwa utawala huo vamizi.
-
Rais wa zamani wa Tunisia aikosoa vikali Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Nov 07, 2020 10:34Rais wa zamani wa Tunisia Muhammad Moncef al-Marzouki amekosoa vikali kimya cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) na kutolaani kwake mwenendo wa baadhi ya nchi za jumuiya hiyo wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 16, 2020 02:39Duru moja ya kuaminika ndani ya Baraza la Uongozi la Sudan imekanusha taarifa zinazodai kuwa kumefikiwa makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya baraza hilo na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza
Oct 14, 2020 02:23Mamia ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe walipambana na polisi katika mji wa Sbeitla nchini Tunisia jana Jumanne baada ya mamlaka kushambulia kibanda cha sigara ambacho hakina leseni, na kumuua mmiliki wake aliyekuwa amelala ndani yake.
-
Watunisia waandamana kuonyesha uungaji mkono wao kwa Wapalestina
Oct 02, 2020 10:21Kwa mara nyingine tena wananchi na shakhsia mbalimbali wa Tunisia wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Tunis, kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Watunisia wasisitiza kuhuishwa uhusiano na Syria
Sep 26, 2020 02:54Jumuiiya ya Kitaifa ya Kuunga mkono Muqawama na kupambana na utawala wa Kizayuni ya Tunisia imefanya maandamano na kusisitiza kuanzishwa tena uhusiano kati ya nchi hiyo na Syria.
-
Rais wa Tunisia: Baraza la Usalama la UN limekuwa "kibogoyo" kutokana na kutawaliwa na mivutano
Sep 25, 2020 06:37Rais wa Tunisia amesema kwa mivutano ya kisiasa imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa liwe "kibogoyo" na kupunguza uwezo wake wa kutatua migogoro mbalimbali.
-
Rais wa Tunisia ahimiza kulindwa ipasavyo haki za Wapalestina
Sep 22, 2020 11:45Rais wa Tunisia ametoa mwito kwa walimwenguni kushirikiana kuhakikisha kuwa Wapalestina wanakombolewa kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni na wanapata haki zao.