Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tunisia - Tunis

  • Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla

    Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla

    Sep 12, 2020 00:42

    Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia katika Umoja wa Mataifa ambaye hajatimiza hata miezi sita tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo, amefutwa kazi ghafla tena bila ya kupewa taarifa mapema.

  • Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri

    Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri

    Sep 03, 2020 04:10

    Baada ya karibu mwezi mmoja tangu Rais Kais Saied alipomteuwa Hisham El-Mechishi kuwa Waziri Mkuu wa Tunisia, El-Mechishi amewasilisha baraza lake la mawaziri bungeni ambalo limepasishwa kwa wingi wa kura.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Aug 24, 2020 02:28

    Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa kupinga mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.

  • Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni

    Aug 18, 2020 06:57

    Bunge la Tunisia limelaani mapatano yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala ghasibu wa Israel.

  • Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Aug 17, 2020 07:38

    Rais Kais Saied wa Tunisia ameamsha hasira za jumuiya za wanawake za kiliberali baada ya kusisitiza kwamba msingi wa mirathi katika dini ya Uislamu ni uadilifu na insafu na kwamba suala hilo limeshapewa ufumbuzi katika aya za Qu'ani tukufu ambao hauhitajii tena tafsiri wala taawili.

  • Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu

    Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu

    Aug 11, 2020 11:20

    Waziri Mkuu mteule wa Tunisia amesema kuwa ataunda serikali ya mateknokrati watupu bila ya kuvishirikisha vyama vingine kufuatia mivutano iliyopo baina vyama vya siasa kuhusu uundaji wa serikali mpya nchini humo. 

  • Spika wa Bunge la Tunisia asisitiza ushirikiano zaidi na Uturuki

    Spika wa Bunge la Tunisia asisitiza ushirikiano zaidi na Uturuki

    Aug 03, 2020 03:29

    Spika wa Bunge la Tunisia amefanya mazungumzo na mwenzake wa Uturuki ambapo ametoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa nchi hizo mbili.

  • Spika wa Bunge la Tunisia aponea chupuchupu kuuzuliwa

    Spika wa Bunge la Tunisia aponea chupuchupu kuuzuliwa

    Jul 31, 2020 02:27

    Spika wa Bunge la Tunisia ameponea chupuchupu kupigiwa kura ya kutokuwa imani naye baada ya wabunge wanaompinga kushindwa kutimiza idadi ya kura 107 zilizohitajika ili kuweza kumuuzulu wadhifa huo.

  • Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya

    Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya

    Jul 30, 2020 03:18

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kuiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya.

  • Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia

    Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia

    Jul 27, 2020 01:29

    Kufuatia kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh, rais wa nchi hiyo Kais Saied, amemteua waziri wa mambo ya ndani Hichem Mechichi kuwa waziri mkuu mpya na kumtaka aunde baraza jipya la mawaziri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS