-
Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia UN afutwa kazi ghafla
Sep 12, 2020 00:42Mwakilishi wa kudumu wa Tunisia katika Umoja wa Mataifa ambaye hajatimiza hata miezi sita tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo, amefutwa kazi ghafla tena bila ya kupewa taarifa mapema.
-
Bunge la Tunisia lapasisha baraza jipya la mawaziri
Sep 03, 2020 04:10Baada ya karibu mwezi mmoja tangu Rais Kais Saied alipomteuwa Hisham El-Mechishi kuwa Waziri Mkuu wa Tunisia, El-Mechishi amewasilisha baraza lake la mawaziri bungeni ambalo limepasishwa kwa wingi wa kura.
-
Wananchi wa Tunisia waandamana kulaani mapatano ya Imarati na utawala wa Kizayuni
Aug 24, 2020 02:28Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa kupinga mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.
-
Bunge la Tunisia limelaani mapatano kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni
Aug 18, 2020 06:57Bunge la Tunisia limelaani mapatano yaliyofikiwa ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na utawala ghasibu wa Israel.
-
Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu
Aug 17, 2020 07:38Rais Kais Saied wa Tunisia ameamsha hasira za jumuiya za wanawake za kiliberali baada ya kusisitiza kwamba msingi wa mirathi katika dini ya Uislamu ni uadilifu na insafu na kwamba suala hilo limeshapewa ufumbuzi katika aya za Qu'ani tukufu ambao hauhitajii tena tafsiri wala taawili.
-
Waziri Mkuu mteule wa Tunisia: Nitaunda serikali ya mateknokrati watupu
Aug 11, 2020 11:20Waziri Mkuu mteule wa Tunisia amesema kuwa ataunda serikali ya mateknokrati watupu bila ya kuvishirikisha vyama vingine kufuatia mivutano iliyopo baina vyama vya siasa kuhusu uundaji wa serikali mpya nchini humo.
-
Spika wa Bunge la Tunisia asisitiza ushirikiano zaidi na Uturuki
Aug 03, 2020 03:29Spika wa Bunge la Tunisia amefanya mazungumzo na mwenzake wa Uturuki ambapo ametoa wito wa kuimarishwa uhusiano wa nchi hizo mbili.
-
Spika wa Bunge la Tunisia aponea chupuchupu kuuzuliwa
Jul 31, 2020 02:27Spika wa Bunge la Tunisia ameponea chupuchupu kupigiwa kura ya kutokuwa imani naye baada ya wabunge wanaompinga kushindwa kutimiza idadi ya kura 107 zilizohitajika ili kuweza kumuuzulu wadhifa huo.
-
Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya
Jul 30, 2020 03:18Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kuiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya.
-
Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia
Jul 27, 2020 01:29Kufuatia kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh, rais wa nchi hiyo Kais Saied, amemteua waziri wa mambo ya ndani Hichem Mechichi kuwa waziri mkuu mpya na kumtaka aunde baraza jipya la mawaziri.