-
Waziri Mkuu wa Tunisia ajiuzulu na kuitumbukiza nchi katika mgogoro wa kisiasa
Jul 16, 2020 03:53Waziri Mkuu wa Tunisia ametangaza kujiuzulu, hatua ambayo imeitumbukiza nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika mgogoro mwingine wa kisiasa.
-
Iran na Tunisia zatilia mkazo ulazima wa kustawishwa ushirikiano wa pande mbili
Jul 07, 2020 11:03Balozi wa Iran nchini Tunisia amefanya mazungumzo na waziri wa biashara wa nchi hiyo na pande mbili zimejadiliana njia za kuimarisha na kustawisha uhusiano wa pande mbili hasa wa kiuchumi.
-
Chama cha al Nahdha Tunisia kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya Rais Kais Saied
Jul 06, 2020 07:56Chama cha al Nahdha chenye mielekeo ya Kiislamu nchini Tunisia kimesema kuwa, kinafikiria kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya muungano wa vyama kadhaa ya nchi hiyo kutokana na masuala yanayomuhusisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Elyes Fakhfakh.
-
Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya
Jun 23, 2020 07:34Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uingiliaji kijeshi wa Ufaransa nchini Libya ni mchezo hatari.
-
Idadi ya walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia yaongezeka
Jun 13, 2020 04:17Idadi ya wahajiri waliopoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea hivi karibuni katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia imeongezeka na kufikia watu 54.
-
Tunisia kufungua mipaka yake mwezi mmoja ujao baada ya corona
Jun 02, 2020 11:26Viongozi wa Tunisia wamefikia uamuzi wa kufungua mipaka yao ili kuokoa sekta ya utalii. Mipaka ya ardhini, angani na majini ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika inatarajiwa kufunguliwa mwezi mmoja ujao.
-
Tunisia yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi sita zaidi
May 30, 2020 12:03Ofisi ya Rais wa Tunisia imetoa tangazo maalumu la kurefusha hali ya hatari ya nchi nzima kwa muda wa miezi sita mingine.
-
Jumanne, Mei 26, 2020
May 26, 2020 02:21Leo ni Jumanne tarehe 3 Mfunguo Mosi Shawwal 1441 Hijria, sawa na tarehe 26 Mei, 2020 Miladia.
-
Chama cha al Ghad Tunisia: Kambi ya muqawama ishirikiane vilivyo kukabiliana na Wazayuni
May 23, 2020 02:37Katibu Mkuu wa chama cha al Ghad cha Tunisia amesisitiza kuwa, ni jambo la dharura sana kuimarishwa kambi ya muqawama kadiri inavyowezekana katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu.
-
Chama cha Republican cha Tunisia: Umoja na muqawama, njia pekee ya kuikomboa Palestina
May 22, 2020 08:07Katibu Mkuu wa chama cha Republican cha Tunisia amesema utawala ghasibu wa Israel hauelewi lugha nyingine isipokuwa ya mapambano na kusisitiza kuwa, "umoja na muqawama ndiyo njia pekee ya kuikomboa Palestina."