-
Waziri Mkuu mpya ateuliwa nchini Tunisia
Jul 26, 2020 20:59Kufuatia kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Tunisia baada ya kujiuzulu Waziri Mkuu Elyes Fakhfakh, rais wa nchi hiyo Kais Saied, amemteua waziri wa mambo ya ndani Hichem Mechichi kuwa waziri mkuu mpya na kumtaka aunde baraza jipya la mawaziri.
-
Waziri Mkuu wa Tunisia ajiuzulu na kuitumbukiza nchi katika mgogoro wa kisiasa
Jul 15, 2020 23:23Waziri Mkuu wa Tunisia ametangaza kujiuzulu, hatua ambayo imeitumbukiza nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika katika mgogoro mwingine wa kisiasa.
-
Iran na Tunisia zatilia mkazo ulazima wa kustawishwa ushirikiano wa pande mbili
Jul 07, 2020 06:33Balozi wa Iran nchini Tunisia amefanya mazungumzo na waziri wa biashara wa nchi hiyo na pande mbili zimejadiliana njia za kuimarisha na kustawisha uhusiano wa pande mbili hasa wa kiuchumi.
-
Chama cha al Nahdha Tunisia kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya Rais Kais Saied
Jul 06, 2020 03:26Chama cha al Nahdha chenye mielekeo ya Kiislamu nchini Tunisia kimesema kuwa, kinafikiria kuangalia upya msimamo wake kuhusu serikali ya muungano wa vyama kadhaa ya nchi hiyo kutokana na masuala yanayomuhusisha Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Elyes Fakhfakh.
-
Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya
Jun 23, 2020 03:04Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uingiliaji kijeshi wa Ufaransa nchini Libya ni mchezo hatari.
-
Idadi ya walioaga dunia katika ajali ya boti Tunisia yaongezeka
Jun 12, 2020 23:47Idadi ya wahajiri waliopoteza maisha katika ajali ya boti iliyotokea hivi karibuni katika mji wa pwani wa Sfax nchini Tunisia imeongezeka na kufikia watu 54.
-
Tunisia kufungua mipaka yake mwezi mmoja ujao baada ya corona
Jun 02, 2020 06:56Viongozi wa Tunisia wamefikia uamuzi wa kufungua mipaka yao ili kuokoa sekta ya utalii. Mipaka ya ardhini, angani na majini ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika inatarajiwa kufunguliwa mwezi mmoja ujao.
-
Tunisia yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi sita zaidi
May 30, 2020 07:33Ofisi ya Rais wa Tunisia imetoa tangazo maalumu la kurefusha hali ya hatari ya nchi nzima kwa muda wa miezi sita mingine.
-
Jumanne, Mei 26, 2020
May 25, 2020 21:51Leo ni Jumanne tarehe 3 Mfunguo Mosi Shawwal 1441 Hijria, sawa na tarehe 26 Mei, 2020 Miladia.
-
Chama cha al Ghad Tunisia: Kambi ya muqawama ishirikiane vilivyo kukabiliana na Wazayuni
May 22, 2020 22:07Katibu Mkuu wa chama cha al Ghad cha Tunisia amesisitiza kuwa, ni jambo la dharura sana kuimarishwa kambi ya muqawama kadiri inavyowezekana katika kukabiliana na Wazayuni maghasibu.