-
Watu wasiopungua 30 wauawa katika mapigano kusini mwa Tunisia
Mar 07, 2016 12:48Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mapigano kati ya vikosi vya jeshi la Tunisia na magaidi yaliyotokea kwenye mji Ben Guerdan ulioko karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Libya.
-
Kuwa tayari Tunisia kukabiliana na ongezeko la machafuko Libya
Feb 14, 2016 10:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na ongezeko la machafuko huko Libya.