-
Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid
Mar 18, 2017 02:49Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) amejizulu wadhifa wake baada ya Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres kutoa amri ya kufutwa ripoti ya kamati hiyo inayoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi, Apartheid.
-
Tuzo ya filamu ya Oscar 2017 na mafanikio ya filamu ya Forushande (The Salesman)
Mar 05, 2017 08:38Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi cha wiki hii cha Makala ya Wiki ambacho kitatupia jicho sherehe ya tuzo ya filamu ya Oscar nchini Marekani na mafanikio ya filamu ya Forushande (The Salesman) iliyotengenezwa na Muirani. Ni matarajio yetu mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.
-
Iran: Sera za kibaguzi za Trump zimeirejesha Marekani katika karne za kati
Jan 28, 2017 07:46Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Bunge la Iran amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzuia viza za kuingia Waislamu wakiwemo Wairani katika ardhi ya Marekani ni kielelezo kwamba nchi hiyo imerejea katika zama za karne za kati, kwenye sera za kibaguzi na chuki za kidini na kikaumu.
-
Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana
Jan 28, 2017 07:45Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumuiya hiyo ya kimataifa ina wasiwasi mkubwa kuhusu ubaguzi unaowalenga wahajiri na jamii za waliowachache.
-
Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi
Dec 28, 2016 02:50Waingereza weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na ubaguzi katika ajira ambapo wengi wananyimwa kazi kutokana na rangi yao.
-
Jordan avunja kimya, akemea mauaji ya Wamarekani weusi
Jul 26, 2016 16:56Nyota wa zamani wa mchezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan amevunja kimya chake kuhusu mauaji yanayofanywa na polisi wazungu wa nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi na taathira mbaya za mauaji hayo ya kibaguzi.
-
Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi
Jul 19, 2016 07:59Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, Wamarekani wengi weusi wanaamini kuwa ni wahanga wa ubaguzi wa rangi.
-
Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi
Jul 10, 2016 03:55Marekani imegubikwa na wingu zito la maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili na mauaji yanayofanywa na polisi wazungu dhidi ya raia wenye asili ya Afrika.
-
UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar
Jul 02, 2016 08:00Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.
-
Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu
May 28, 2016 03:48Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.