Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ubaguzi wa rangi

  • Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Katibu Mtendaji wa ESCWA ajiuzulu baada ya UN kufuta ripoti inayoitambua Israel kuwa ni utawala wa Apartheid

    Mar 18, 2017 02:49

    Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Katibu Mtendaji wa Kamati ya Kiuchumi na Kijamii ya Asia Magharibi katika Umoja wa Mataifa (ESCWA) amejizulu wadhifa wake baada ya Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres kutoa amri ya kufutwa ripoti ya kamati hiyo inayoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala wa kibaguzi, Apartheid.

  • Tuzo ya filamu ya Oscar 2017 na mafanikio ya filamu ya Forushande (The Salesman)

    Tuzo ya filamu ya Oscar 2017 na mafanikio ya filamu ya Forushande (The Salesman)

    Mar 05, 2017 08:38

    Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi katika kipindi cha wiki hii cha Makala ya Wiki ambacho kitatupia jicho sherehe ya tuzo ya filamu ya Oscar nchini Marekani na mafanikio ya filamu ya Forushande (The Salesman) iliyotengenezwa na Muirani. Ni matarajio yetu mtaendelea kuwa nami hadi mwisho wa kipindi hiki.

  • Iran: Sera za kibaguzi za Trump zimeirejesha Marekani katika karne za kati

    Iran: Sera za kibaguzi za Trump zimeirejesha Marekani katika karne za kati

    Jan 28, 2017 07:46

    Msemaji wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Bunge la Iran amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzuia viza za kuingia Waislamu wakiwemo Wairani katika ardhi ya Marekani ni kielelezo kwamba nchi hiyo imerejea katika zama za karne za kati, kwenye sera za kibaguzi na chuki za kidini na kikaumu.

  • Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Guterres: Mitazamo inayowabagua Waislamu inahuzunisha sana

    Jan 28, 2017 07:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema jumuiya hiyo ya kimataifa ina wasiwasi mkubwa kuhusu ubaguzi unaowalenga wahajiri na jamii za waliowachache.

  • Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Waingereza wenye asili ya Afrika wanabaguliwa katika kazi za uhandisi

    Dec 28, 2016 02:50

    Waingereza weusi au wenye asili ya Afrika wanakabiliwa na ubaguzi katika ajira ambapo wengi wananyimwa kazi kutokana na rangi yao.

  • Jordan avunja kimya, akemea mauaji ya Wamarekani weusi

    Jordan avunja kimya, akemea mauaji ya Wamarekani weusi

    Jul 26, 2016 16:56

    Nyota wa zamani wa mchezo wa mpira wa kikapu nchini Marekani, Michael Jordan amevunja kimya chake kuhusu mauaji yanayofanywa na polisi wazungu wa nchi hiyo dhidi ya Wamarekani weusi na taathira mbaya za mauaji hayo ya kibaguzi.

  • Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Uchunguzi wa Pew: Wamarekani weusi, wahanga wa ubaguzi wa rangi

    Jul 19, 2016 07:59

    Uchunguzi mpya wa maoni unaonesha kuwa, Wamarekani wengi weusi wanaamini kuwa ni wahanga wa ubaguzi wa rangi.

  • Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Wamarekani waendelea kupinga ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi

    Jul 10, 2016 03:55

    Marekani imegubikwa na wingu zito la maandamano ya wananchi wanaopinga ukatili na mauaji yanayofanywa na polisi wazungu dhidi ya raia wenye asili ya Afrika.

  • UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 02, 2016 08:00

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.

  • Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    Kulalamikiwa vitendo vya kibaguzi vya Uingereza dhidi ya Waislamu

    May 28, 2016 03:48

    Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Kiislamu ya nchini Uingereza imeulalamikia vikali uamuzi wa kibaguzi wa saerikali ya nchi hiyo wa kuunda timu ya kuchunguza namna ya utekelezaji wa sheria na kanuni za Kiislamu nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS